Dini imeleta neema au ni mzigo kwa nchi za Afrika?

Dini imeleta neema au ni mzigo kwa nchi za Afrika?

Hili hata halikupaswa kuwa swali....Nyerere alitakiwa kufuta dini zote kabla hazijaota mizizi kama sasa.
Angeweza vipi nae alikuwa jasusi wa kikatoliki? Yaani Vasco da gama na uzindiki wake alipobombard mji wa kilwa (mji ulikuwa umestaarabika zaidi duniani) hakuweza seuse Mwl julius mtoto wa chifu aliekana uzanaki na kuuvaa ugalatia? Hivi huko shuleni huwa mnaenda kusoma ujinga?
 
Angeweza vipi nae alikuwa jasusi wa kikatoliki? Yaani Vasco da gama na uzindiki wake alipobombard mji wa kilwa (mji ulikuwa umestaarabika zaidi duniani) hakuweza seuse Mwl julius mtoto wa chifu aliekana uzanaki na kuuvaa ugalatia? Hivi huko shuleni huwa mnaenda kusoma ujinga?
Sawa sheikh.
 
Jambo la msingi ni kuwa Yule mwenye mamlaka mbinguni na duniani akitamka neno, kumbuka kuwa hiyo ni amri tosha. Tamko la Rais tu linaheshimika kuwa kama sheria, sembuse Yule mwenye mamlaka kamili mbinguni, duniani na kuzimu!?

Kauli ya mwenye mamlaka kamili ya kiungu si kauli ya kidini, bali ni kauli ya Mungu mwenyewe Muumbaji na Mwokozi, Mwanzo na Mwisho, Mungu na MwanaKondoo yaani, Mungu na Kuhani Mkuu wa Agano Jipya, naye ndiye asili ya kila kitu kilichopo mbinguni na duniani.

Nafikiri nukuu ifuatavyo itaweka ukuu na mamlaka yake bayana;

MATHAYO 28

18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Afrika ililetewa imani ya kweli na ya kiungu, na wala siyo dini. Fundisho la dini ni la kibinadamu, lakini kuhusu fundisho la imani ni amri ya kiungu. Haijalishi ni nani ambaye ataukubali ukweli huu. Ila ni ukweli pia ana hasara kubwa yule ambaye hata uamini ukweli huu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je, dini imekuja kuikomboa Afrika au kuiangusha?
View attachment 2417824

ishu sio dini bali ni akili za mtu mweusi!


kama ni dini: unadhani tungekuwa tunaabudu mizimu na mapango ndo tungekuwa na maendeleo sasa?


hao wazungu wengi pia hawana dini au hawaifati kama unavofikiri!!!

akili mkuu, akili!


mfano hapa JF nyuzi zenye mashabiki wengi ni zile za ngono na udaku, nyuzi za maendeleo hazina watu.

hapo ndipo shida ilipo!
 
Fallacy au tuite false dilemma, mzee jitahidi utafafanulie
1.Boko Haram wanavyoua watu kwa kisingizio cha dini hiyo siyo laana?
2. Al Shabaab Somalia, Mozambique
3. Kibwetere
4. IS west Africa?
5. Hawa manabii fake hapa Tanzania wanaohubiri injili za mafanikio huku wakikusanya sadaka hizo siyo laana
 
1.Boko Haram wanavyoua watu kwa kisingizio cha dini hiyo siyo laana?
2. Al Shabaab Somalia, Mozambique
3. Kibwetere
4. IS west Africa?
5. Hawa manabii fake hapa Tanzania wanaohubiri injili za mafanikio huku wakikusanya sadaka hizo siyo laana
Ndio maana nikakwambia ni false dilemma au iite false dichotomy, huwezi kuwa limited kwa mifano kiasi hicho kisha ukatuwekea conclusion ya kidwanzi
 
Ndio maana nikakwambia ni false dilemma au iite false dichotomy, huwezi kuwa limited kwa mifano kiasi hicho kisha ukatuwekea conclusion ya kidwanzi
Leta wewe maelezo mazuri Kisha uweke conclusion isiyo ya kidwanzi. Au wewe ndiyo mtoaji wa sadaka ya kujimaliza akili?
 
Dini ndio kila kitu kwangu,shikamoo sabato
Sabato sio dini, ni siku ya kuabudu ambayo yaweza kua cku yoyote kwako ukaabud na kupumzika! Kwa maana Biblia ipo waz kbs imesema cku ya saba ni ya kuabudu na kupumzika. Pia kweny Biblia hakuna jumamosi wala jpili kama kuna mstari upo nauomba hapa, la mwisho... Ni nan alizipa majina hizi cku tulisonazo?
 
Naunga mkono hoja, ila kuna mazuri na mabaya, mazuri ya hizi dini ni zimeleta modern covilization kwa jamii nyingi za Kiafrika, ubaya ni zime puuza mila zetu zote za kiasili na kuziita ni za kishenzi, na kulaani imani zote za asili kuziita ni za kipagani, wakati in reality kuna baadhi ya mila za kiasili ni nzuri, zio zote ni za kishenzi, moja ya mila yetu nzuri ya kiasili ni ile ya mwanaume kuoa as many women as he can, provided he can pay the bride price, and feed, shelter, and service them.

Mwanamume mwenye wake wengi, mfano Chief Burito, wake 22 na concubines 5, watoto wote wanaozaliwa na wake zako, ni watoto wako, hata kama ulisaidiwa!.

Mpaka leo, mpaka kesho, ni wanaume wachache sana wa Kanda ya Ziwa ambao wana mke mmoja tuu!.

Hivyo nilimshauri Blaza, tuanzishe the church of Africa, tuoe wake wengi, "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
Hapa naunga mkono hoja 🤝!! Tumepewa vifungo bila sababu eti tuoe mke mmoja tu.
 
Naunga mkono hoja, ila kuna mazuri na mabaya, mazuri ya hizi dini ni zimeleta modern covilization kwa jamii nyingi za Kiafrika, ubaya ni zime puuza mila zetu zote za kiasili na kuziita ni za kishenzi, na kulaani imani zote za asili kuziita ni za kipagani, wakati in reality kuna baadhi ya mila za kiasili ni nzuri, zio zote ni za kishenzi, moja ya mila yetu nzuri ya kiasili ni ile ya mwanaume kuoa as many women as he can, provided he can pay the bride price, and feed, shelter, and service them.

Mwanamume mwenye wake wengi, mfano Chief Burito, wake 22 na concubines 5, watoto wote wanaozaliwa na wake zako, ni watoto wako, hata kama ulisaidiwa!.

Mpaka leo, mpaka kesho, ni wanaume wachache sana wa Kanda ya Ziwa ambao wana mke mmoja tuu!.

Hivyo nilimshauri Blaza, tuanzishe the church of Africa, tuoe wake wengi, "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
Wewe ni kiboko aisee.
 
Back
Top Bottom