Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Albert Einstein's quote, "There are only two ways to live your life. One is as though nothing is a miracle. The other is as though everything is a miracle," invites us to contemplate two contrasting perspectives on life.

Let's examine each viewpoint and provide some examples:

Living as though nothing is a miracle:
This perspective suggests perceiving the world through a lens of scepticism and rationality, focusing on the mundane aspects of life. People who adopt this viewpoint may rely solely on empirical evidence and scientific explanations, dismissing any notions of wonder or spirituality.

A person who believes that everything in life can be explained by science and rejects any notion of divine intervention or supernatural occurrences.

A scientist who approaches research with strict adherence to empirical evidence and disregards any subjective experiences or unexplained phenomena.

Living as though everything is a miracle: This perspective encourages embracing a sense of awe, wonder, and gratitude for the world around us. It involves finding beauty, meaning, and significance in even the smallest aspects of life.

A nature enthusiast who sees every flower, bird, or sunset as a magnificent expression of beauty and finds joy in the simplest natural occurrences.

An artist who finds inspiration in the everyday world, viewing every moment as an opportunity for creativity and self-expression.
Unaweza ukawa na awe and wonder bila kuamini dini uchwara.. next point plz
 
Maana halisi ya miujiza ni mambo ambayo sio ya kawaida
Yaani mambo ambayo yako kinyume na sheria za kisayansi na huambatana na supernatural

Ingawaje kwenye matumizi sasa unaweza kulichomekea kuonyesha uzito wa jambo hata kama sio miujiza

Kwenye sayansi hakuna miujiza
Kila unachokiona ni muujiza

Kama unaamini muujiza ni kitu kisicho cha kawaida ni ujinga wako binafsi
 
Mungu yupi huyo anayeonekana mkuu

Kuna miungu zaidi ya milioni moja dunia nzima
Nikikuona usoni tu naona mfano wa Mungu

Kama unatafuta miungu hiyo mingine milioni 1 endelea utaiona siku 1
 
Unajuaje tofauti?
Simply,..matatizo ya afya ya akili huwa yanatokana na environmental, biological na psychological factors ambazo zinapelekea shida kwenye afya ya akili ya muhusika.

Tofauti na mtu kuwa Demon possessed, ambapo utakuta vitendo vya mtu husika vinakua controlled au influenced na kiumbe mwingine....

So, hivyo vitu viwili haviendani kabisa.
 
Kila unachokiona ni muujiza

Kama unaamini muujiza ni kitu kisicho cha kawaida ni ujinga wako binafsi

Tatizo lenu watu wa “imani” kila kitu mnaona kinawezekana
 
Kuwa demon possessed na Tatizo la afya ya akili ni vitu viwili tofauti...

Au wewe ukiwaona wale walemavu wa afya ya akili ndiyo unawachukulia kama demon possessed?

Sizungumzii afya ya akili kwa maana ya kichaa hajitambui

Nabii wa Mungu walisema amekua possessed na demon

Waganga wa kienyeji wakasema the same

Wewe ni nani hadi ukatae mkuu?
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Rubbish.

Life and its diversity is too intricate to be a result of Mindless and blind evolution.
 
Back
Top Bottom