Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Why Mungu muweza yoooote, Allah aliyeumba kila kitu ashindwe kuwafanya watu tu waamini in Shia au Sunni na sio kuvurugana mpk kutoana macho? Je, hawa wote c wanakumia Kuran mnayoamini ni kitabu bora na kikishushwa na Allah?

Huko ndani ndani ndo hakufai kbs
 
Kwenye kisa chako kuna uongo wa mganga tu hapo....hakuna muujiza rafiki. Hata haihitaji sayansi ya maabala kuwa mganga alikoleza tukio ili kukuaminisha uongo wake!
 
Dawa ilikua kwenye mvuke, just like kujifukiza, hilo la chura ulipigwa mkuu!
 
Something outside the laws of nature...
Unajuaje kwamba iko outside na laws of nature ?

Je kama hiyo nayo iko inside na laws of nature lakini tu haujaijua kama iko miongoni mwa laws of nature ?

Kwa sababu kitu ambacho kinaleta matokeo chanya maana yake kinaenda sambamba na laws of nature.

Na hata hizo lawas of nature zimeitwa laws of nature kwa sababu zinalwta matokeo chanya.
 
Demon possesed???[emoji38][emoji38]

Ile kitu ni brain issue tu, hakuna cha demon. Ubongo ukiguswa na kupata hitilafu center husika basi ndo tunapata machizi, vilaza, wehu n.k
 
halafu wakishawapuna pesa wajinga wanaichangia CCM....[emoji38]
 
Hii conversation ipo moto..[emoji1787]Mbona jamii forums kila kukicha threads za kupinga dini afu mtaani kila mtu anaenda msikitini na kanisani..[emoji16]Hawa ma atheists mbona mtaani hawaonekani..au tunanafkiana
Umewahi kuona mitaa inakauka siku za kuabudu? Kila mtu anaishi maisha yake bana
 
Tuambie Sayansi inasemaje kuhusu asili ya wema na ubaya? Na nani anaamua lipi jema na lipi baya? Je unaonaje kama hakuna Mungu binadamu tusiishi kwa sheria basi maan hakuna muamuzi wa lipi jema lipi baya. So let's murder, rape , have sex randomly with each other. Tuwaachie huru wafungwa wote basi maana hakuna utaratibu wa kuishi.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kuwa demon possessed na Tatizo la afya ya akili ni vitu viwili tofauti...

Au wewe ukiwaona wale walemavu wa afya ya akili ndiyo unawachukulia kama demon possessed?
Bro jipe nafasi ya walau kusoma elimu ya Ubongo vzr, utaelewa kila kitu. Soma anatomy of the brain! kuna majibu yote
 
Kila unachokiona ni muujiza

Hata wewe mwenyewe ni muujiza

Ila kama umeshiba maharage pita hivi
Mkuu wacha makasiriko...tujadili kwa upendo. Weka hoja kutetea kile uaminicho! kuwa huru
 
how do u know kuna kiumbe kingine kinamcontrol? unaweza kuthibitisha pasi na shaka uwepo wa kiumbe hicho?
 
unaifahamu dhana ya ukoloni mamboleo? Ukoloni kupitia dini unaendelea. Wkt mzungu anaendelea kuvuna mali kwa ujinga wetu wa dini, sie tunaendelea kuwa masikini wa fikra na mali! wao dini washatupilia mbali, imebaki kimkakati tu!
 
vumbuzi nyingi tu zinapingana na vitabu vya dini ,smartphone tu zilipokuja Tz kuna mpka walokole walikesha kukemea freemason.
halafu leo hao hao wafia dini walozipinga smartphones ndo wanazo tatu tatu...na hawastuki kuwa wanapigwa[emoji12]
 
There is nothing about life after death...once dead it is over!
Je justice kwa watu walioget away with it haiji kupatikana? Mfano there is a say with facts in Us kwamba Oj Simpson(Juicy) aliua kweli lakini kutokana na uchumi akaweza kuhire best lawyers akina Robi Kardashian akashinda case ikiwa mtaani vigezo vinaonesha kaua kweli.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Okay define a miracle...na mfano wake..na inatofauti gani na a natural occurrence?
Twende kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…