Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Miracles ni nini na unajuaje hii ni miracle na si kitu kisicho miracle ambacho wewe hukifahamu tu?

Nitakupa mfano, mababu zetu ambao hawakujua sayansi ya wazungu, walipoletewa vitu vya umeme kama redio, wakaona hiki kiboksi kinatoa sauti ya mtu, waliona miracle.

Walivyoona magari yanakwenda bila kusukumwa na wanyama, waliona miracle.

Walipoona watu wanaweza kutabiri kupatwa kwa jua, waliona miracle.

Lakini, kiukweli, hakuna miracle hapo, ni sayansi tu inafanya kazi. Hakuna supernatural power, zote ni natural power.

Ni wao tu walikuwa hawajui hizo natural powers zinafanya kazi vipi.

Sasa, na wewe utakaposema hii ni miracle, hata kama hakuna mtu yeyote duniani anayejua hicho kitu kikoje, utajuaje hiyo ni miracle kweli, na si sayansi/natural power tu ambayo wewe bado hujaijua?

Yani unaweza kuona kitu ukafikiri ni miracle/supernatural power, kumbe ni natural science tu, ila wewe hujaijua.

Sasa, utajuaje kuwa, chochote unachokiita miracle ni miracle kweli, na si kitu kisicho na miracle ambacho wewe hujakijua tu?

Unaweza kuambiwa na mtu kuwa "mimi ni mchawi, ninaweza kumuua mtu bila kumgusa". Halafu huyo anayejiita mchawi akapita sehemu, akaua mtu kweli bila kumgusa.

Ukasema hiyo ni miracle, ni supernatural powers.

Kumbe huyo jamaa unayemuita mchawi ni mtu anayejua Chemistry tu, kaangalia upepo unaenda wapi, kanyunyuzia sumu ya hewani ya Cyanide, sumu ikampata mlengwa, mlengwa akafa bila kuguswa.

Wewe usiyejua Chemistry, ukiangalia unaona miracle. Unaona uchawi. Unaona supernatural power. Unaona this is beyond science, mtu kauawa bila kuguswa.

Kumbe hamna miracle yoyote, hakuna uchawi, hakuna supernatural power, ni Chemistry tu.

Sasa, wewe unaposema hii ni miracle, utajuaje ni miracle kweli na si natural power usiyoijua tu?
Hi inaweza kuwa ni namna unavyotaka kutafsiri miracle nadhani. Sababu katika imani kuna miracle za aina mbili kuna za direct kama ile Yesu kutembea juu ya maji halafu kuna miracle za longterm ambazo Mungu anaingiza taratibu katika maisha ya mwanadamu kupitia watu mbali mbali. Kwa mfano amri kumi za Mungu alizepewa Mussa ilikuwa ni miracle lakini watu walijifunza na zikawa sehemu ya maisha yao. Au kuzaliwa kwa Yesu kulikuwa miracle kupitia kwa Mariam lakini watu waliishi nae miaka 33 na mafundisho yake yaliyokuwa miracle yanapoletwa nae akiwa hai ila tunaishi nayo hadi leo. Je huoni kuwa kitendo cha baadhi ya wanadamu kupewa neema ya kugundua nature inavyofanya kazi na kutuletea tuishi nayo katika maisha yetu ya kila siku kama vile umeme sio sehemu ya longterm miracles?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Tuambie Sayansi inasemaje kuhusu asili ya wema na ubaya? Na nani anaamua lipi jema na lipi baya? Je unaonaje kama hakuna Mungu binadamu tusiishi kwa sheria basi maan hakuna muamuzi wa lipi jema lipi baya. So let's murder, rape , have sex randomly with each other. Tuwaachie huru wafungwa wote basi maana hakuna utaratibu wa kuishi.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Let's be honest...
1. So wewe bila kitabu Cha muarabu au myahudi kukuambia usiue, usibake coz utaenda motoni so wewe utafanya hivyo au sio? If yes, then shida ipo kwako mwenyewe
2. Multiple studies shows that nchi zenye low levels of religiousness ndo zinaongoza kwa low crime rates, peace, democracy, various freedoms, women and minority rights, low levels of torture n unnecessary murders or conflicts(wars) na nchi zenye high levels of religiousness ni vice versa...which proves dini haimfanyi mtu awe mwema ila dini inaweza fanya mtu abake(mapadri na waislamu kwa wanawake), aue(magaidi wa kiislamu), na vingine
No one anaamua wat is right or wrong lakini wat matters is unachofanya hakileti unnecessary suffering to others
 
Je justice kwa watu walioget away with it haiji kupatikana? Mfano there is a say with facts in Us kwamba Oj Simpson(Juicy) aliua kweli lakini kutokana na uchumi akaweza kuhire best lawyers akina Robi Kardashian akashinda case ikiwa mtaani vigezo vinaonesha kaua kweli.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Asa ukiimagine justice ndo itatokea ama... Itabaki kwenye imagination yako tu...heaven n hell ni ideas tu kwenye imagination hazina reality yoyote what's so ever..ndo maana kila dini Ina mfumo wake Accord to story zao za mababu
 
Hi inaweza kuwa ni namna unavyotaka kutafsiri miracle nadhani. Sababu katika imani kuna miracle za aina mbili kuna za direct kama ile Yesu kutembea juu ya maji halafu kuna miracle za longterm ambazo Mungu anaingiza taratibu katika maisha ya mwanadamu kupitia watu mbali mbali. Kwa mfano amri kumi za Mungu alizepewa Mussa ilikuwa ni miracle lakini watu walijifunza na zikawa sehemu ya maisha yao. Au kuzaliwa kwa Yesu kulikuwa miracle kupitia kwa Mariam lakini watu waliishi nae miaka 33 na mafundisho yake yaliyokuwa miracle yanapoletwa nae akiwa hai ila tunaishi nayo hadi leo. Je huoni kuwa kitendo cha baadhi ya wanadamu kupewa neema ya kugundua nature inavyofanya kazi na kutuletea tuishi nayo katika maisha yetu ya kila siku kama vile umeme sio sehemu ya longterm miracles?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂😂😂Tuletee history bana sio hekaya za abunuasi eti bikra kazaa
 
Quran ni editing ya Vitabu vya wayahudi, imani za wachawi wa Uarabuni (mambo ya majini) na mawazo ya Muhammad, nothing new mle!

Vitabu vya dini ni ngano na stories za jamii za kale!
 
Nimekuuliza, tukio ambalo hatulielewi leo na halina majibu ya kisayansi, ukasema ni uchawi.

Kesho tukalielewa na tukapata majibu ya kisayansi ambayo hayahitaji dhana ya uchawi kulielezea hilo tukio, bado utaliita uchawi?

Ukiliita uchawi, huoni kwamba hapo utakuwa umevuruga definition yako ya uchawi?

Ukisema hili si uchawi, kwa maana tumepata maelezo ya kisayansi ya kulielezea vizuri, bila kuhitaji dhana ya uchawi, huoni kwamba hapo unaweza kuita mambo mengi uchawi leo kwa sababu hatujayajua kisayansi, wakati kiukweli mambo hayo si uchawi, hatujayajua vizuri kisayansi tu, na tukiweza kuyajua tutaona si uchawi?

Nimetoa mifano ya mababu zetu walivyoona mambo mengi ya wazungu uchawi, redio, magari, bunduki, kutabiri kupatwa kwa jua etc.

Lakini leo tumeyajua haya mambo kisayansi, tumejua si uchawi.

Huoni kwamba hiyo definition yako ya uchawi inakuweka katika position waliyokuwapo hao mababu zetu walioamini teknolojia ya wazungu ni uchawi, kwa sababu hawakuielewa tu?

Huoni kwamba na wewe umejipa tabia ya kuvipa vitu usivyovielewa jibu la rahisi la uchawi, wakati kuna uwezekano mkubwa si uchawi, ni mambo ambayo hujayaelewa vizuri tu?
Na je vipi kwa mambo ambayo sayansi iliweka msingi wake kuwa jambo fulani haliwezekani ila likawezekana kwa wakati fulani kwa namna fulani? Kwa mfano mtu akathibitika kutembea juu ya maji au kukaa chini ya maji ya barafu kwa siku tatu bila vifaa vyovyote?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Sijasema Mungu hayupo n I didn't say I'm an atheist...ukiamini Mungu yupo sawa..buh just because sijui lyf imeanzaje doesn't mean niamini story yoyote iliyotungwa kuexplain it.. evolution doesn't explain it well pia lakini it's based on facts n evidence through biology, archaeology n other fields..evidences ranges kwenye mambo ya genetics, breeding, fossil record, mutations, pia kwenye miili ya some organisms Kuna features that show evolutionary proofs kama in whales hata in humans.. etc..asa it's up to u kufuatilia utaelewa coz ni vigumu yes na haviexplain atheism mungu anaweza akawa ameset the process in motion lakini kusema u don't believe it kisa unaamini story ya sumerian creation myths iliyoigwa na Judaism na kupachikwa na Christianity n Islam as god's word is not a smart idea
Brother I have already done my homework, Evolution and Bing-bang aren't news to me, have you read a book called "The world according to physics" by Prof. Jim Al-khalili?? Well Its a very fascinating book, lotsa interesting facts in it, I know these things to a very wider extent brother, and the more I read about them, the more i believe in God, I'm not sure which God, maybe it was Zeus(greek mythology), Odin(norse mythology), Allah(Islamic), Brahma(Hinduism) or Jesus(christians) I don't know, im not 100% sure, but what I'm 100% sure is that the universe was not a result of a chain of events, mindless and blind without any direction or purpose, that they will come and create what we have today, A PREFECTLY INTRICATE UNIVERSE GOVERNED BY PHYSICAL LAWS WITH SUCH PACE AND BALANCE.
Did you know that if the universal gravitational embrace was slightly higher the universe as we know will collapse and if it was slightly lower solar systems will cease to exist, galaxies will cease to exist, the expansion rate of the universe would be stupendous, formation of life would be unlikely on those conditions.
Did you know that if the strong and weak nuclear forces were slightly higher or slightly lower, atoms would not form(they would collapse), and if atoms can't form, what about the universe, of which everything in it is made of a atoms?
The ecosystem is so perfect, the processes and scenarios happening in front of our eyes, whether you acknowledge or not, the environment and the complex processes that were happening before you get food into your stomach are so majestic, I'M IN AWE.
I just can't explain everything I know, if you're interested allow me to your PM.

THESE THINGS CANT JUST RUN FOR THEMSELVES, THEY'RE SO PERFECTLY PUT TOGETHER, WORKING TOGETHER, ASSISTING ONE ANOTHER IN A VERY SPECIAL WAY, THERE IS NO MAGIC EVOLUTION OR MAGICAL CHAIN OF EVENTS THAT LED TO THESE AWESOME CONDITION, THERE MUST BE A BRILLIANT CREATOR, A SMART INSTRUCTOR, AN ORCHESTRATOR, A DESIGNER WITH SUCH AN AMAZING TASTE.....I WON'T FINISH.

I KNOW EVERYTHING I NEED TO KNOW ABOUT EVOLUTION, BING-BANG THEORY, ASTRONOMY AND ARTIFICAL BREEDING BUT EVERYTIME I CHOOSE TO BELIEVE IN THE CREATOR.
 
𝑁𝑎 𝑢𝑗𝑎𝑛𝑗𝑎 𝑢𝑗𝑎𝑛𝑗𝑎 𝑢𝑛𝑎 𝑚𝑤𝑖𝑠ℎ𝑜, 𝐾𝑎𝑘𝑜𝑏𝑒 𝑏𝑎𝑏𝑎 𝑤𝑎 𝑚𝑖𝑢𝑗𝑖𝑧𝑎 𝐹𝑒𝑘𝑖 𝑘𝑎𝑖𝑠ℎ𝑖𝑎 𝑤𝑎𝑝𝑖? 𝐺𝑤𝑎𝑗𝑖𝑚𝑎 𝑚𝑓𝑢𝑓𝑢𝑎 𝑚𝑖𝑠𝑢𝑘𝑢𝑙𝑒 𝑚𝑎𝑖𝑔𝑖𝑧𝑜 𝑦𝑎𝑘𝑒 𝑦𝑎𝑚𝑒𝑖𝑠ℎ𝑖𝑎 𝑤𝑎𝑝𝑖? 𝑖𝑙𝑎 𝑚𝑡𝑎𝑗𝑖 𝑤𝑎𝑜 𝑏𝑎𝑑𝑜 𝑢𝑝𝑜 𝑚𝑘𝑢𝑏𝑤𝑎 𝑎𝑠 𝑤𝑎𝑗𝑖𝑛𝑔𝑎 ℎ𝑎𝑤𝑎𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑇𝑧
Mbona mjinga hapo ni wewe aisee. Ukiambiwa ueleze ni jinsi gani dini inampa mtu umasikini huwezi hata kidogo. Nitajie sehemu katika uchumi imeandikwa religion kama kikwazo cha uchumi? Lete proof idadi ya masikini duniani iliyosababishwa na dini. Eti sijui china sijui vity gani unasahau kuwa hata kabla ya kuja mzungu wewe mwafrica hasa chini ya jangwa la sahara ulikuwa masikini fresh tu. Kwanini wazungu ambao kwa asilimia kubwa walijenga dini zao kama ucatholic hawakuwa masikini? Na kama utasema waafrica tuliletewa dini tutawaliwe kwanini kulikuwa na vita kama maji maji mkwawa merere na machief wengine? Na je waafrica walikuwa wanasali wapi wakati walikuwa hawawezi kusali kanisa moja na wazungu?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
𝑘𝑤𝑎 𝑡𝑎𝑎𝑟𝑖𝑓𝑎 𝑦𝑎𝑘𝑜 ℎ𝑎𝑡𝑎 ℎ𝑖𝑧𝑖 𝑔𝑢𝑛𝑑𝑢𝑧𝑖 𝑘𝑢𝑏𝑤𝑎 𝑚𝑓 𝑆𝑖𝑚𝑢, 𝑛𝑑𝑒𝑔𝑒 ,𝐴𝐼 𝑤𝑎𝑡𝑢 𝑙𝑜𝑐𝑎𝑙 ℎ𝑢𝑢𝑖𝑡𝑎 𝑢𝑐ℎ𝑎𝑤𝑖 𝑤𝑎 𝑘𝑖𝑧𝑢𝑛𝑔𝑢!
Tuambie ni maandiko gani yamekataza miujiza kugunduliwa na wanadamu? Kwa mfano muujiza namba moja katika mkristo ni uumbaji wa mbingu na nchi, je hakuna ugunduzi wowote wa uumbaji kama vile dunia?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lenu mnao amini supernatural mnaamini kila kitu kinawezekena........ na ndio watu mnaongoza kudanganywa na kutapeli na wachungaji na waganga feki

Mtu mzima kabisa na akili zako timamu unaamini ulitapika chura kwa trick uliofanyiwa ukiwa mtoto....... hakika imani ni shambulio la akili

Nimekuambia mimi nimeona mazingaombwe mtu anatapika njiwa nikiwa primary school

Mnapenda kujifariji na kujificha kwenye elimu ambayo haipo
Okay mganga kawezaje kufanya hizo illusion? Je huyo chura anakuwa kamficha wapi mpaka anaefanyiwa asimuone?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not

Katika uso wa Dunia hii, kiuhalisia hakuna watu wajinga na wenye kufikiria mambo kitoto kuwazidi Atheists. Yaani hakuna.
 
Hawa matapeli wanasaidiwa na serikali ya CCM. Serikali siku zote imekuwa ikifyatua wajinga ambao kimbilio lao ni kwa hawo manabii wa unongo huku kizazi kizima kikizidi kutumbukia kwenye mazingaombwe ya mitume na manabii feki huku wakikamuliwa fedha za sadaka ya kujimaliza kila kukicha.
Hivi hizo sadaka ni shingapi watu wanatoa mbona mnaropoka sana vitu vya hovyo namna hiyo sababu ya chuki. Yani kweli elfu mbili elfu tano elfu 10 kwa wiki ndo imfirisi mtu duh. Ila mtu kunywa pombe za laki moja katika mshahara wa laki mbili safi sadaka ya elf mbili anafirisika. Bangi za elf 5 kila siku safi ila sadaka ya buku mbili hasara anafirisika. Hayo makanisa yana hela hujui tu kuna watu wanatoaga sadaka kubwa za kutisha na wengi kama hujui sio masikini kama wewe jpo sikujui. Nshawahi hudhuria kanisa la Nabii Flora pale mbezi beach alikuja dada mmoja toka uingereza alimkabidhi million 100 cash alitoa ushuhuda kapata mume. Na hapo kama wiki imepita kazawadiwa mashangingi manne zero kilomita toka kwa jmaa wa uingereza pia ambayo akauza yote na kuanza na ujenzi. Nenda kaangalie hata kwa Mwamposa aina ya watu wanaoingia endelea pigiwa story vijiweni.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Ukikubali Mungu wa miujiza ambaye hapingiki wala kuthibitishika kisayansi umeshapingana na sayansi.

Ukikubali Mungu anayepimika na kuthibitishika kisayansi, umeshamuondoa huyo Mungu kwenye uungu na kumuweka kwenye kanuni ya sayansi tu.
Someni vitabu vya dini.
 
Tofautisha dini na nguvu za kiroho ,dunia hii mtu mwenye pesa ndo mwenye akili ,sasa ukiweza kawaulize jinsi nguvu za kiroho zinavyofanyakazi usitafute millionaire tafuta bilionea muulize atakueleza
Na bila kuwa na nguvu za kiroho, ni ngumu kuwa billionaire.

Watu wanadhani utajiri ni kuwa na utajiri, wanasahau utajiri ni kuulinda utajiri ulionao.
 
Uko vizuri kijana, dini ni umasikini ndio maana matajiri wote huonekana hawana utu makatili. Iko hivi kabla wakoloni hawajaja Afrika kulikuwa na vitangulizi vya ukoloni, walikuwepo wapelelezi, wakaja wafanyabiashara halafu wakaja WAMISIONARI , hawa nimewaandika kwa herufi kubwa kwani ndio walikuja kumaliza mchezo, wakaanza kuwaaminisha watu mambo ya samehe 7x70, kwamba kuna maisha baada ya kifo na waliokukosea watahukumiwa huko. Hii ikafanya babu zetu wavumilie mateso wakiamini kuna siku adui zao wataangamizwa na moto. Mkoloni akaendelea kutamba na zaidi baadhi ya wakoloni walikaa bega kwa bega na waafrika kiasi wakawaamisha wako pamoja nao na kuwaongezea imani kuwa dini itawalipia maadui zao.
Na mbona kulikuwa kuna vita kama za maji maji na ile ya mkwawa na merere. Je , huoni dini ilikuokoa kuanza na kipigo direct?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Religion is an insult to human dignity. With or without it, you’d have good people doing good things and evil people doing bad things, but for good people to do bad things, it takes religion.
Who decides what is right and what is wrong? How do you call certain people evil people? Because If there is no greater power than humans in this world why shouldn't we let everyone do as it please them ?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hapo umefanya logical fallacies mbili za logical non sequitur.

Kwanza, kwa muktadha wa uzi huu, umelazimisha chanzo kiwe Mungu. Hili si lazima.

Inawezekana mtu asipinge uwepo wa chanzo, lakini chanzo kikawa si Mungu.

Pili, umelazimisha chanzo kiwepo. Hili si lazima.

Katika sayansi, suala la chanzo si la lazima.

Vitu vinaweza kuwepo kwa quantum causal loop. Maana yake chanzo A kinaweza kusababisha matokeo B ambayo hayo matokeo B pia yakawa ndiyo chanzo cha matokeo A.

This is science, katika quantum physics causality breaks down na suala lako la chanzo ukilifanya la msingi, utakuwa unajionesha tu kuwa hujui quantum physics.

Kama unataka tuchambue zaidi maandiko ya kitaalamu ya sayansi kuhusu hili, naweza kukuwekea hapa.

So yes, watu walioisoma sana quantum physics wanapinga dhana nzima ya kwamba chanzo ni kitu cha msingi.

Kwa sababu dhana nzima ya cause and effect, inayokwambia kitu A ndicho chanzo kilichopelekea kitu B kuwapo, ukiitqzama hiyo dhana kwa undani at the quantum level, inavunjika katika quantum causal loop.

Google that.
Nmeshawahi kukwambia wewe ni mateka, ( Mtumwa wa kifikra )

Unatumia fikra za watu wengine kujenga hoja zako. ( Kwako elimu imekuharibu zaidi maana imeondoa uwezo wako wote binafsi wa kufikiri )
 
Back
Top Bottom