Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Anatomy of the brain hailezei ni Kwa namna gani mtu anaweza kuwa demonically possessed.

Labda kama una source tofauti uliyosoma.

NB:- hivi vitu vipo observed kwenye jamii hata Mimi nimeshuhudia mtu akiwa demonically possessed...utakuta mtu anakua na uwezo au ujuzi wa jambo ambalo yeye binafsi hana,. au wengine utakuta wanapokea maelekezo kabisa toka Kwa viumbe wengine kuhusiana na jambo Fulani.

Ndiyo maana wenzetu kwenye definitions zao wakasema ni hali ya matendo ya mtu kuwa controlled au influenced na kiumbe mwingine.
😂😂Si subconscious mind jamani...mbona tunabishana utoto lakini
 
Who decides what is right and what is wrong? How do you call certain people evil people? Because If there is no greater power than humans in this world why shouldn't we let everyone do as it please them ?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
If u think it's ryt to rape and kill because there is no god to tell u not to....then stay away from us..u ain't a nice human u are just a puppet of culture
 
😴
Una uhakika gani hakufahamika na wengi we bwana? Nadhani ni maswala ya uelewa wa bible ndo changamoto kwa hapo. Kilichoandikwa kwenye bible ni kiini cha maisha ya wadanadamu nd maan kikawa centered katika taifa la Israel kama kielelezo kikuu. Lakini watu waliokuwa wanasali walikuwa dunia nzima ndo maana mfano mfalme wa Ethiopia enzi hizo za Yesu alisikia habari za Yesu na akafunga safari kwenda kuonana nae. Pia usichanganye na ramani za sahivi zitakupoteza dunia zamani ilikuwa tofauti kabisa.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Na mfalme wa wamasaai?
 
... Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"
...
Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.
...
Atheists make sense than who are not
Uchambuzi wako ni sahihi kabisa.

Ni kweli waumini wa dini ni watu wenye akili ndogo (small minds) ambao hujadili watu (discuss people) na biblia ni hadithi za watu kuanzia Adam na Hawa hadi maisha ya Yesu. Kuran ni maisha ya Muhammad.

Viongozi wa dini hutumia ufukara wa fikra za waumini kama mtaji wao kula maisha bila jasho.
 
Sio mimi tu jamii zetu zilikuwa hivyo na madhara yalikuwa makubwa mfano adulterers wauaji mfano wachuna ngozi za binadamu sababu ya ushirikina mauaji ya albino upigaji wa nondo ukeketaji. Je hivi vitu bila kuambiwa nani angejua ni vibaya sababu hakuna ubaya bila sheria. Halafu unazungumzia dini as mfumo au matendo ya watu yanayotokana na kutoelewa dini? Na pia ambacho ujue shetani hushambulia sana watu wa dini kuliko wengine sababu ana uhakika na wafuasi wake na ndo maana hata wanafunzi wa Yesu na hasa Yesu mwenyewe walipitia mateso makali sana wakati huo.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂Hayo Mambo sijui kuchuna ngozi sijui kuua albino yameondolewa coz of kusoma mambo ya haki sawa kwa binadamu wote...kwani civics ulifundishwa usiue albino kisa Allah au Yesu hapendi au kwa sababu na wao ni binadamu hawatakiwi kuteswa..😂acheni kuuchukulia utu wa kibinadamu ambao kila mtu anao naturally Kama kitu kidogo na kumpa credit jitu ambalo in his book kaua 2 million people (exclusively of great flood and Sodom), katengeneza an evil world with an evil justice system n forces everyone to love him and call him good
 
Nmekumbuka jambo, Kuna wagonjwa huwa haijulikani anaumwa ugonjwa gani nini...Mtu anapelekwa hospitali kubwa huko India lakini haijulikani ugonjwa wake ni nini haswa, Ndugu wanaamua kumrudisha nyumbani wakisubiri kifo chake....EMU naomba unielezee hili jambo huwa kuna shida gani mpaka science inashindwa kung'amua ugonjwa kwa watu kama hawa ?
😂1. Hizi ni story za waumini wa wachungaji matapeli, eti umeenda hospital zote.. hospital zote unazijua?
2. Just because shida haijulikani doesn't mean it's magic? Ukisema it's magic unajifunga coz how do u prove that asa...how do u test it ili ikitokea Tena unajua solution ni magic...
 
Sasa kwanini nifuate msimamo wako mtu uliekosa hope katika maisha yako. Yani watu wafanye ubaya makusudi then tufe eti habari imeisha hapo na wakati watu wamepambana na nafsi zao waushinde ubaya. Kumbe nyinyi ni maiti zinazotembea sababu there is no eternal hope and you have no purpose in this world. Nyinyi then hamna tofauti na kumbi kumbi cause you are born to die usikute masikini ya Mungu na unateseka na maisha na huna purpose yyte kwanini usichukue njia random ya maisha fanya mauchafu yote bila kujali sababu it doesn't matter to you.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
1. You make ur own purpose
2. My purpose in life ni kuishi maisha mazuri ambayo yatakumbukwa kwa kuweza kusaidia kubadilisha maisha ya watu wengi, kupunguza mateso ya watu na kufanya jamii iwe sehemu Bora ya kuishi
3. Unachofanya wewe Unanipa black n white fallacy, unanipa two options either ni imagine Kuna heaven au mi ni kumbikumbi... 😂It's a logical fallacy
4. Kwani we ukifanya mauchafu(whatever that means to u) hasara utapata wewe au watu wanaokuzunguka...so again kila action Ina equal and opposite reaction utaiona...
5..ndo maana kila kukicha wanadamu wanajaribu kutengeneza justice system ambayo ni fair yenye kuhukumu watu vizuri na pia sheria zinazotuweza tuishi vizuri Kama jamii..it's not perfect lakini it's better than justice system ya Mungu wa biblia au Quran kwamba uamini hekaya za mababu or else unakaangwa...
All in all..maisha ni yako.. purpose ni yako mwenyewe..mtu asikupangie eti u r purposeless kisa huamini imagination zake...buh ukiamini pia sawa Ila heshimu mitazamo ya watu pia
 
Haikubali kwa maneno tu au imewahi kuweka uthibitisho wa kisayansi kuwa Mungu wa miujiza hayupo?
Je, kuna uthibitisho wa Mungu wa miujiza katika Biblia au Kuran?

Baadhi ya miujiza iliyohadithiwa kwenye hivyo vitabu imethibitishwa kisayansi na mingine inabaki ni simulizi tu.
 
Kipi rahisi bikra kuzaa au nguvu ya upendo alioacha aliezaliwa na bikra kuweza kumneemesha mwanadamu mpaka leo? Unaishi na miracle zaidi ya bikra kuzaa ila unashangaa hilo duh

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Huo upendo huwezi kupata bila kuamini kuwa bikra kazaa?
Buddha ana same principles za sijui love ur neighbor etc Kama Yesu..😂mbona husemi Buddhism ni miujiza...au kisa haujatawaliwa nao...so hujui...Babu yako hajakuambia..
 
Nmekumbuka jambo, Kuna wagonjwa huwa haijulikani anaumwa ugonjwa gani nini...Mtu anapelekwa hospitali kubwa huko India lakini haijulikani ugonjwa wake ni nini haswa, Ndugu wanaamua kumrudisha nyumbani wakisubiri kifo chake....EMU naomba unielezee hili jambo huwa kuna shida gani mpaka science inashindwa kung'amua ugonjwa kwa watu kama hawa ?
Twende na mantiki.

Unakubali kwamba, tunaweza kujua jibu hili si sahihi, kabla hata hatujajua jibu sahihi ni lipi?

Yani unaelewa kwamba ukiniletea mwanamme wa miaka 30 leo, Juma, ukaniletea na binti mchanga wa miezi 6 leo, Suzy, ukaniambia huyu binti wa miezi 6 leo ndiye mama mzazi wa huyo mwanamme mwenye miaka 30 leo, naweza kujua habari hii si sahihi, binti wa miezi 6 leo hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme mwenye miaka 30 leo, bila hata kumjua mama mazazi wa huyo mwanamme mwenye miaka 30 leo ni nani?

Shida haijajulikana. Hilo halinizuii mimi kujua kwamba majibu fulani si majibu sahihi.

Kwani body of work ya sayansi inasema inajua kila kitu leo ?

Kwani sayansi kutojua kitu maana yake tatizo ni uchawi au supernatural reason?

Mbona kabla ya sayansi kujua bacteria na viruses, magonjwa ya bacteria na viruses yalijuwapo, sasa wakati huo haya magonjwa yalisababishwa na supernatural causes?

Kwa nini inakuwa vigumu sana kusema "huu ugonjwa hatuujui, inatubidi tuuchunguze tuuelewe kwanza, halafu tutaudhibiti baada ya kuuelewa" ?

Kwa nini tukikutana na kitu hatukielewi, tunakimbikia kwenye uchawi na supernatural reasons?

Mbona magonjwa mengi tu hapo awali hatukuyajua, lakini tulifanya utafiti mpaka tukayaelewa?

Sasa, na leo tukikutana na ugonjwa hatuuelewi, kwa nini tunakimbilia habari za uchawi na supernatural reasons badala ya kufanya uchunguzi tuelewe mambo within a natural framework?

Unaelewa kwamba tunaweza kujua kuwa jibu fulani si sahihi, kabla hata ya kujua jibu sahihi ni lipi?

Unaielewa hiyo dhana kwamba tunaweza kujua jibu fulani si sahihi, kabla hata ya kujua jibu sahihi ni lipi?
 
I don't know...u don't know and we can't know...na just because of that doesn't mean ukubali tu jibu lolote ilimradi jibu
Nilijua Sayansi imekuthibitishia. Kama hujui na unahisi wengine hawajui basi wewe ni mmoja ya wale wanaoishi kwenye ulimwengu wa peke yao. Kwa sababu hiyo, kuzungumzia hili jambo na wewe ni kujisumbua.
 
Nilijua Sayansi imekuthibitishia. Kama hujui na unahisi wengine hawajui basi wewe ni mmoja ya wale wanaoishi kwenye ulimwengu wa peke yao. Kwa sababu hiyo, kuzungumzia hili jambo na wewe ni kujisumbua.
Unakubali kwamba, hata pale ambapo hujui jibu, inawezekana ukajua kwamba jibu fulani si sahihi?

Yani, jibu hujui. Lakini, hata kama hujui jibu, ukipewa jibu fulani, unaweza kujua kwamba, hata kama sijui jibu ni lipi, lakini najua jibu hili nililopewa si sahihi.

Unakubali hilo?

Yani, inawezekana mtu mwanamme wa miaka 30 leo, Juma, ambaye hamjui mama yake mzazi, akaletewa binti mchanga wa miezi 6 leo, Suzy, halafu akaambiwa kuwa, huyo binti mchanga wa miezi 6 leo ndiye mama yake mzazi Juma, mwanamme wa miaka 30 leo.

Je, Juma mwenye miaka 30 leo anaweza kujua kwamba huyu binti mchanga Suzy wa miezi 6 leo hawezi kuwa mama yake mzazi, hata kama Juma hamjui mama yake mzazi ni nani?

SimbaMpole123 anakwambia kwamba, kutojua jibu si sababu ya kukubali jibu lolote.

Juma, mwenye miaka 30, hata kama hamjui mama yake mzazi, akiletewa binti wa miezi 6, akaambiwa huyo binti mchanga ndiye mama yake mzazi, anaweza kujua hili jambo si kweli, bila hata ya Juma kumjua mama yake mzazi ni nani.

Kwa sababu Juma anajua kwamba mama yake mzazi ni lazima awe mkubwa kuliko yeye Juma kwa miaka ya kutosha kumzaa, na huyo binti wa miezi 6 hajafikisha sharti hilo.

So, kutokujua jibu sahihi hakukulazimishi ukubali jibu lolote unalopewa, unaweza kuwa hujui jibu sahihi, lakini una principle ya kukuonesha jibu fulani si sahihi na kukuongoza kwenda kwenye jibu sahihi kwa elimination method.
 
Back
Top Bottom