Mbona gravity imekuwa proven na wana sayansi hao hao kuwa haina influence yyte kwenye movement za vitu au umechelewa kujua?Gravity ni theory...if it's false kajirushe ghorofani ujikute na bikra 72 mbinguni sawa...
Vipi dini ya uyahudi?Je unafahamu Poland [emoji1200] Croatia has katika IT wapo mbali kuliko mataifa mengi ulaya? , nitajie nchi iliyokolea dini yenye maendeleo makubwa ? Usinitajie dubai ,Saudi, au Kuwait coz hao hakuna kitu kwenye dini ni unafki tu.
Kwani Africa ilitawaliwa na taifa la wayahudi?Unataka kusema kabla ya ujio wa wakoloni waafrika walikuwa hawasali kwa imani zao?
Kinacho kufanya uone imani za wazungu ni bora kuliko za mababu zako ni nini?
Hizo dini zenu za kuletwa, zime wapumbaza hizo akili zenu.
Kipindi cha ukoloni babu zako hawakupewa huduma nzuri za Afya, huduma nzuri za kielimu, huduma nzuri za makazi na chakula.
Kinacho fanya useme ulipewa Dini nzuri ni nini?
Mbona wao wenyewe walikwenda kinyume na mafundisho ya dini zao?
Ikiwa wewe unaongea lugha ya wanyama na unajua wanaishije na wnaongea na nani wakati gani sio? Muwe mnatoa logic za msingi basi halafu kitendo cha kutofautiana kati yetu na wanyama ni moja ya maswali. Kwanini isingetokea baadhi ya wanyama wapige stori na wanadamu na kuna wanadamu wasielewe kabisa story za wenzao why is it so systematic?Mpumbavu kama wewe ndiyo unaamini kuwa kunamaisha baada ya kufa,hujiulizi mbona mbwa,kuku,samaki,ngombe,punda,miti,mawe,nk havihubiliwi neno la Mungu ili viende mbinguni au viwe na maisha mengine baada ya kufa,si vinauhai pia?
Wafrika wajina ndiyo bado wanaamini katika ujinga wa kufufuka au kuwa na maisha mapya baada ya kufa
Kwanini pamoja na kujilinda kwao kwa silaha bdo wanakufa baadhi yao mpaka kesho? Silaha zingetosha kwanini waendelee kufa?Ndiyo maana amekwambia nyie wenye low minded hamjifikirishi hata kuhoji tu kuwa kama unafundishwa kuwa yesualikufa msalabani kwaajili yenu na kufuta dhambi zote sasa iweje leo dhamvi ziongezeke au atakuja yesu mwingine?
Kwanini ufundishwe dini na usiijue tu naturaly unapozaliwa kama SEX ambayo hata mbwa anaijua bila kufundishwa?
Hao israel mnaowaamini kwani wanaeleza mjiminge kwa biblia wakati wao wanatumia silaha nzito kujilinda na palestina?
Kipi Bora umkubali Mungu au uikubali sayansi?Sayansi haikubali miujiza, hivyo ukimkubali Mungu wa miujiza umepingana na sayansi.
Vitabu gani? Biblia na Quran vimejaa contradictions ambazo zinaonesha ni vitabu vilivyoandikwa na watu tu, ni siasa za watu tu.Someni vitabu vya dini.
Una uhakika gani hakufahamika na wengi we bwana? Nadhani ni maswala ya uelewa wa bible ndo changamoto kwa hapo. Kilichoandikwa kwenye bible ni kiini cha maisha ya wadanadamu nd maan kikawa centered katika taifa la Israel kama kielelezo kikuu. Lakini watu waliokuwa wanasali walikuwa dunia nzima ndo maana mfano mfalme wa Ethiopia enzi hizo za Yesu alisikia habari za Yesu na akafunga safari kwenda kuonana nae. Pia usichanganye na ramani za sahivi zitakupoteza dunia zamani ilikuwa tofauti kabisa.Ina maana Mungu huyo au Yesu huyo hakujua kwamba anapaswa kufahamika na watu wote ulimwenguni kwa wakati mmoja?
Kwa nini afahamike na wachache kisha hao wachache wawasambazie wengine habari hizo?
Mungu muumba wa vyote, Alishindwaje kutambulika duniani kote na viumbe wote kwa wakati mmoja?
Hata kama hayo unayoandika ni kweli, huo uwezekano wa mtu yeyote kuwa mateka na mtumwa wa fikra nao ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Nmeshawahi kukwambia wewe ni mateka, ( Mtumwa wa kifikra )
Unatumia fikra za watu wengine kujenga hoja zako. ( Kwako elimu imekuharibu zaidi maana imeondoa uwezo wako wote binafsi wa kufikiri )
Kama Mungu hayupo, kumkubali Mungu ni kukubali uongo.Kipi Bora umkubali Mungu au uikubali sayansi?
Sio mimi tu jamii zetu zilikuwa hivyo na madhara yalikuwa makubwa mfano adulterers wauaji mfano wachuna ngozi za binadamu sababu ya ushirikina mauaji ya albino upigaji wa nondo ukeketaji. Je hivi vitu bila kuambiwa nani angejua ni vibaya sababu hakuna ubaya bila sheria. Halafu unazungumzia dini as mfumo au matendo ya watu yanayotokana na kutoelewa dini? Na pia ambacho ujue shetani hushambulia sana watu wa dini kuliko wengine sababu ana uhakika na wafuasi wake na ndo maana hata wanafunzi wa Yesu na hasa Yesu mwenyewe walipitia mateso makali sana wakati huo.Let's be honest...
1. So wewe bila kitabu Cha muarabu au myahudi kukuambia usiue, usibake coz utaenda motoni so wewe utafanya hivyo au sio? If yes, then shida ipo kwako mwenyewe
2. Multiple studies shows that nchi zenye low levels of religiousness ndo zinaongoza kwa low crime rates, peace, democracy, various freedoms, women and minority rights, low levels of torture n unnecessary murders or conflicts(wars) na nchi zenye high levels of religiousness ni vice versa...which proves dini haimfanyi mtu awe mwema ila dini inaweza fanya mtu abake(mapadri na waislamu kwa wanawake), aue(magaidi wa kiislamu), na vingine
No one anaamua wat is right or wrong lakini wat matters is unachofanya hakileti unnecessary suffering to others
Nmekumbuka jambo, Kuna wagonjwa huwa haijulikani anaumwa ugonjwa gani nini...Mtu anapelekwa hospitali kubwa huko India lakini haijulikani ugonjwa wake ni nini haswa, Ndugu wanaamua kumrudisha nyumbani wakisubiri kifo chake....EMU naomba unielezee hili jambo huwa kuna shida gani mpaka science inashindwa kung'amua ugonjwa kwa watu kama hawa ?Hujaelewa somo.
Hata kama si kifafa, unawezaje kujiridhisha kuwa hakuna ugonjwa, au kemikali au kitu kingine chochote chenye maelezo mazuri tu ya kisayansi kilichowafanya waanguke?
Hao watoto wameanguka wapi? Lini? Habari za kuanguka kwao zimeandikwa wapi?
Sasa kwanini nifuate msimamo wako mtu uliekosa hope katika maisha yako. Yani watu wafanye ubaya makusudi then tufe eti habari imeisha hapo na wakati watu wamepambana na nafsi zao waushinde ubaya. Kumbe nyinyi ni maiti zinazotembea sababu there is no eternal hope and you have no purpose in this world. Nyinyi then hamna tofauti na kumbi kumbi cause you are born to die usikute masikini ya Mungu na unateseka na maisha na huna purpose yyte kwanini usichukue njia random ya maisha fanya mauchafu yote bila kujali sababu it doesn't matter to you.Asa ukiimagine justice ndo itatokea ama... Itabaki kwenye imagination yako tu...heaven n hell ni ideas tu kwenye imagination hazina reality yoyote what's so ever..ndo maana kila dini Ina mfumo wake Accord to story zao za mababu
Kipi rahisi bikra kuzaa au nguvu ya upendo alioacha aliezaliwa na bikra kuweza kumneemesha mwanadamu mpaka leo? Unaishi na miracle zaidi ya bikra kuzaa ila unashangaa hilo duh[emoji23][emoji23][emoji23]Tuletee history bana sio hekaya za abunuasi eti bikra kazaa
Old testament ndiyo ni bible tupu mimi mpaka nimesikiliza scripture zake kwa lugha ya hebrew almeric na tafsiri yake kila kitu kama kwenye bible so hizo za sijui nini ni story za vijiweni tu.Kuna Kabila la Jew linalotumia Bible?
Nani kakwambia kuwa China haina dini? au wewe unafikiri dini ni ukristo na uislamu tu.Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.
Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"
Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!
Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.
Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!
Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.
Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?
Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?
Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?
Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.
Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!
Atheists make sense than who are not
Anatomy of the brain hailezei ni Kwa namna gani mtu anaweza kuwa demonically possessed.Bro jipe nafasi ya walau kusoma elimu ya Ubongo vzr, utaelewa kila kitu. Soma anatomy of the brain! kuna majibu yote
Kuthibitisha vipi unamaanisha,,..nikuonyeshe huyo kiumbe kwa macho umuone au?how do u know kuna kiumbe kingine kinamcontrol? unaweza kuthibitisha pasi na shaka uwepo wa kiumbe hicho?
😂😂Duu...so una appeal to popularity... skia have logical conversations with me... otherwise tunapotezeana mda...Hilo swali si nimeuliza mimi ?
Na kumbuka haujamaliza kujibu maswali yangu niliyouliza hapo juu.
Kwangu mimi muujiza ni jambo la kiasili ambalo wengi hawajalizoea.
😂 Umerudi kwenye fine tuning argument, ni argument nzuri buh fails to accountBrother I have already done my homework, Evolution and Bing-bang aren't news to me, have you read a book called "The world according to physics" by Prof. Jim Al-khalili?? Well Its a very fascinating book, lotsa interesting facts in it, I know these things to a very wider extent brother, and the more I read about them, the more i believe in God, I'm not sure which God, maybe it was Zeus(greek mythology), Odin(norse mythology), Allah(Islamic), Brahma(Hinduism) or Jesus(christians) I don't know, im not 100% sure, but what I'm 100% sure is that the universe was not a result of a chain of events, mindless and blind without any direction or purpose, that they will come and create what we have today, A PREFECTLY INTRICATE UNIVERSE GOVERNED BY PHYSICAL LAWS WITH SUCH PACE AND BALANCE.
Did you know that if the universal gravitational embrace was slightly higher the universe as we know will collapse and if it was slightly lower solar systems will cease to exist, galaxies will cease to exist, the expansion rate of the universe would be stupendous, formation of life would be unlikely on those conditions.
Did you know that if the strong and weak nuclear forces were slightly higher or slightly lower, atoms would not form(they would collapse), and if atoms can't form, what about the universe, of which everything in it is made of a atoms?
The ecosystem is so perfect, the processes and scenarios happening in front of our eyes, whether you acknowledge or not, the environment and the complex processes that were happening before you get food into your stomach are so majestic, I'M IN AWE.
I just can't explain everything I know, if you're interested allow me to your PM.
THESE THINGS CANT JUST RUN FOR THEMSELVES, THEY'RE SO PERFECTLY PUT TOGETHER, WORKING TOGETHER, ASSISTING ONE ANOTHER IN A VERY SPECIAL WAY, THERE IS NO MAGIC EVOLUTION OR MAGICAL CHAIN OF EVENTS THAT LED TO THESE AWESOME CONDITION, THERE MUST BE A BRILLIANT CREATOR, A SMART INSTRUCTOR, AN ORCHESTRATOR, A DESIGNER WITH SUCH AN AMAZING TASTE.....I WON'T FINISH.
I KNOW EVERYTHING I NEED TO KNOW ABOUT EVOLUTION, BING-BANG THEORY, ASTRONOMY AND ARTIFICAL BREEDING BUT EVERYTIME I CHOOSE TO BELIEVE IN THE CREATOR.