Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Another question to add here. Darwinian evolution starts from a cell now they should tell us where the cell came from since they have not been able to create a single cell in a laboratory till now and the more they think they closer the more complexity arises. Also how evolution was able to switch from species cells to the more comlex human cell like the RNA.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo na wewe ni low minded kwasababu tayari uko trapped na hauwezi kiji-untrap
 
Hata mtu kuwa demonically possessed ni Sayansi,..ila Kwa kuwa huelewi inavyotokea au wale unaowaamini hawajakuambia kuwa hiyo ni sayansi ndiyo maana unasema sio sayansi.


Kwakuwa wewe umeisoma anatomy of the brain in deep,..tuelezee according to brain anatomy,. how mtu anakuwa kwenye hali ambayo watu wanaiita demonic possession kimakosa kama unavyodai....
 
π‘π‘–π‘˜π‘’π‘—π‘–π‘π‘’ π‘›π‘œ 1. 𝐾𝑀𝑒𝑛𝑦𝑒 𝑓𝑖𝑒𝑙𝑑 π‘¦π‘Ž π‘šπ‘’π‘‘π‘–π‘π‘–π‘›π‘’ π‘˜π‘’π‘›π‘Ž π‘˜π‘–π‘π‘’π‘›π‘”π‘’π‘™π‘’ π‘šπ‘’β„Žπ‘–π‘šπ‘’ π‘β„Žπ‘Ž π‘˜π‘’π‘™π‘–π‘›π‘‘π‘Ž π‘π‘Ÿπ‘–π‘£π‘Žπ‘π‘¦ π‘¦π‘Ž π‘šπ‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž, π‘›π‘‘π‘–π‘œ π‘šπ‘Žπ‘Žπ‘›π‘Ž β„Žπ‘Žπ‘‘π‘Ž π‘˜π‘Žπ‘π‘™π‘Ž π‘¦π‘Ž π‘œπ‘π‘’π‘Ÿπ‘Žπ‘‘π‘–π‘œπ‘› π‘™π‘Žπ‘§π‘–π‘šπ‘Ž π‘šπ‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž π‘Žπ‘Ÿπ‘–π‘‘β„Žπ‘–π‘’ π‘‘π‘’π‘›π‘Ž π‘˜π‘€π‘Ž π‘˜π‘’π‘ π‘Žπ‘–π‘›π‘– (π‘Žπ‘›π‘Žπ‘€π‘’π‘§π‘Ž π‘˜π‘’π‘Ÿπ‘–π‘‘β„Žπ‘–π‘Ž 𝑛𝑑𝑒𝑔𝑒 π‘€π‘Ž π‘˜π‘Žπ‘Ÿπ‘–π‘π‘’) π‘†π‘Žπ‘ π‘Ž π‘˜π‘’π‘π‘Žπ‘˜π‘– π‘›π‘Ž π‘šπ‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž π‘˜π‘€π‘Ž π‘Žπ‘—π‘–π‘™π‘– π‘¦π‘Ž π‘‘π‘Žπ‘“π‘–π‘‘π‘– β„Žπ‘Žπ‘–π‘€π‘– π‘˜π‘–π‘Ÿπ‘Žβ„Žπ‘–π‘ π‘– 𝑑𝑒 π‘˜π‘Ž π‘’π‘›π‘Žπ‘£π‘¦π‘œπ‘Žπ‘›π‘‘π‘–π‘˜π‘Ž. π‘Šπ‘Žπ‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž π‘€π‘Ž π‘‘π‘Žπ‘“π‘–π‘‘π‘– π‘€π‘Žπ‘π‘œ π‘˜π‘–π‘π‘Žπ‘œ. π‘ƒπ‘–π‘Ž 𝑠𝑖 π‘™π‘Žπ‘§π‘–π‘šπ‘Ž π‘šπ‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž π‘Žπ‘  π‘€β„Žπ‘œπ‘™π‘’ π‘Žπ‘€π‘’π‘π‘œ, π‘–π‘›π‘Žπ‘€π‘’π‘§π‘Žπ‘˜π‘’π‘β„Žπ‘’π‘˜π‘’π‘™π‘–π‘€π‘Ž π‘ π‘Žπ‘šπ‘π‘’π‘™π‘– π‘˜π‘‘π‘” 𝑑𝑒 π‘“π‘œπ‘Ÿ 𝑠𝑑𝑒𝑑𝑦. π‘ƒπ‘–π‘Ž 𝑛𝑑𝑒𝑔𝑒 π‘€π‘Žπ‘‘π‘Žπ‘π‘’π‘€π‘Ž β„Žπ‘’π‘ β„Žπ‘–π‘šπ‘Ž π‘¦π‘Ž π‘˜π‘’π‘’π‘›π‘‘π‘’π‘™π‘’π‘Ž π‘›π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘‘π‘’π‘›π‘§π‘œ π‘¦π‘Ž π‘šπ‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž π‘π‘Žπ‘Žπ‘‘π‘Ž π‘¦π‘Ž π‘‘π‘–π‘π‘Ž...
 
π‘šπ‘‘π‘’ π‘Žπ‘˜π‘–π‘€π‘Ž π‘›π‘‘π‘Žπ‘›π‘– π‘¦π‘Ž π‘˜π‘Žπ‘›π‘–π‘ π‘Ž π‘“π‘’π‘™π‘Žπ‘› π‘Žπ‘˜π‘Žπ‘˜π‘’π‘§π‘–π‘‘π‘– π‘’π‘β„Žπ‘’π‘šπ‘– π‘›π‘‘π‘œ π‘π‘Ÿπ‘œπ‘œπ‘“ π‘¦π‘Ž π‘’π‘€π‘’π‘π‘œ π‘€π‘Ž 𝑀𝑒𝑛𝑔𝑒? π‘ˆπ‘›π‘Žπ‘“π‘Žβ„Žπ‘Žπ‘šπ‘’ π‘˜π‘Žπ‘šπ‘Ž π‘‘π‘Ÿπ‘’π‘” π‘‘π‘’π‘Žπ‘™π‘’π‘Ÿπ‘  π‘›π‘β„Žπ‘– π‘§π‘Ž πΆπ‘œπ‘™π‘œπ‘šπ‘π‘–π‘Ž, 𝑀𝑒π‘₯π‘–π‘π‘œ β„Žπ‘Žπ‘‘π‘Ž β„Žπ‘’π‘šπ‘’ π΄π‘“π‘Ÿπ‘–π‘π‘Ž β„Žπ‘’π‘€π‘Ž π‘€π‘Žπ‘›π‘Žπ‘—π‘’π‘›π‘”π‘Ž π‘˜π‘Žπ‘π‘–π‘ π‘Ž πΆπ‘Žπ‘‘β„Žπ‘’π‘‘π‘Ÿπ‘Žπ‘™π‘  π‘˜π‘’π‘‘π‘œπ‘˜π‘Žπ‘›π‘Ž π‘›π‘Ž π‘π‘’π‘ π‘Ž π‘§π‘Ž π‘’π‘›π‘”π‘Ž?

π‘ˆπ‘›π‘Žπ‘“π‘Žβ„Žπ‘Žπ‘šπ‘’ π»π‘’π‘¦π‘œ 𝑀𝑀𝑖𝑔𝑒𝑙𝑒 β„Žπ‘–π‘¦π‘œ π‘π‘’π‘ π‘Ž π‘Žπ‘™π‘–π‘–-π‘π‘Žπ‘™π‘Žπ‘›π‘π‘’ π‘€π‘Žπ‘π‘–?
 
𝐻𝑖𝑣𝑖 π‘˜π‘’π‘›π‘Ž π΅π‘–π‘π‘™π‘–π‘Ž π‘π‘–π‘™π‘Ž π΄π‘”π‘Žπ‘›π‘œ π‘—π‘–π‘π‘¦π‘Ž??
 
𝐼 π‘ π‘Žπ‘–π‘‘ π‘π‘’π‘“π‘œπ‘Ÿπ‘’, β„Žπ‘Žπ‘˜π‘’π‘›π‘Ž π‘˜π‘–π‘‘π‘’ π‘˜π‘–π‘›π‘Žπ‘–π‘‘π‘€π‘Ž π·π‘’π‘šπ‘œπ‘›π‘–π‘ π‘π‘œπ‘ π‘ π‘’π‘ π‘–π‘œπ‘›, π‘ π‘œ π‘›π‘–π‘‘π‘Žπ‘’π‘™π‘’π‘§π‘’π‘Žπ‘—π‘’ π‘˜π‘–π‘‘π‘’ π‘˜π‘–π‘ π‘–π‘β„Žπ‘œπ‘˜π‘’π‘€π‘’π‘π‘œ?
 
Aisee, hii comment naiwekea lamination. Umepiga kwenye Mshono kabisa
 
Msingi wa bible ni watu haijalishi wanaishi wapi mataifa yamekuja juzi tu hapa ndo maan hata Israel huko huko kuna dhambi pia. Mbona wametajwa watu kama akina Mussa walioishi Misri. Mbona mitume wengi kama Paul walikuwa wakiishi ulaya. Israel ni jina la mtu kaa ukijua so ni mtu aliempendeza Mungu ndo maan ukoo wake ukachaguliwa Yesu kuzaliwa sababu babu yake Ibrahim alipewa ahadi so hata wewe ukimtumikia Mungu utapewa ahadi vile vile na itakuwa njema acha wivu na zawadi aliopewa mwenzio kwa kujinyenyekeza kwa Mungu.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Sasa hilo sio tatizo la dini sababu hakuna sehemu mkristo anaagizwa atoe kitu kumpa mchungaji sababu hata Yesu alikuwa hana nyumba binafsi ya kuishi wala gari pamoja na wanafunzi wake japo alikuwa anaweza kuwa navyo. Mbona kwenye sayansi huko huko kuna mtu katengeneza pombe ,madawa ya kulevya na watu wanafirisika sababu ya hivyo vitu ila hatuoni mkikemea hiyo sayansi. So hapa emu uzungumzie mfumo na sio watu binafsi maana kuna watu wamefirisiwa na waganga wa kienyeji je huo nao ni ukristo? Yesu alisema uzeni mali zenu muawagawie masikini hakusema wapeni makuhani au viongozi wa dini.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hiyo tafsiri ya muujiza uko nje ya sayansi ni nani kakupa hiyo tafsiri? Mbona zamani kulikuwa kuna muujiza wa kunena kwa lugha ya watu wa jamii nyingine mbona leo hii Mungu kaleta google translate je huu si muujiza uliogunduliwa? We unadhan kipindi cha Yesu hakukua na sayansi kabisa ni miujiza tu mwanzo mwisho? Mbona kuna muujiza wa Nuhu kujenga safina na baadae Yesu akaja kupanda mashua na hakushangaa.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
1. Kuna mambo mengi ya ethics, consent, economy etc yanayoweza kuzuia utafiti. Utafiti wa kiutabibu haufanyiki ovyo ovyo tu. Pia, kuna sehemu nyingi wanafanya tafiti. Hospitali moja au mbili za India hazi represent "science". Unahitaji kuelewa science ni nini kwanza. Science ni nini?

Science si hospitali fulani iliyopo India!

2. Nimekwambis kwamba, unaweza kuwa hujui jibu sahihi, lakini ukajua jibu fulani si sahihi.

Vivyo hivyo, huhitaji kujua kila kitu ili kujua jibu fulani si sahihi. Wewe hujui kila kitu, lakini, hilo halikuzuii kujua majibu fulani si sahihi.

Ni muhimu sana uelewe dhana hii, kwamba, ukiambiwa "tafuta square root ya 2". Halafu ukajua kuwa, square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, huhitaji kuhesabu namba zote ili kujua kuwa 10 si square root ya 2. In fact, katika step ya kwanza ya "elimination method", unaziondoa namba zote zilizo kubwa kuliko 2 na kusema "jibu langu haliwezi kupatikana huko, jibu ni lazima liwe dogo kuliko 2".

Huhitaji kujua namba zote ili kujua kuwa 10 si square root ya 2.

Swali lako ni kama unaniuliza mimi hivi "Wewe umesema hujui namba zote, unajuaje kuwa 10 si square root ya 2?".

Naweza kujua kuwa 10 si square root ya 2 bila kujua namba zote, tena bila kujua square root ya 2 ni nini. Kwa kujua tu kwamba square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2. Namba yoyote kubwa zaidi ya 2 haiwezi kuwa square root ya 2. Kwa sababu ita contradict kanuni muhimu kwamba square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2.

Niilitoa mfano, mwanamme wa miaka 30 leo, Juma, ambaye hamjui mama yake mzazi, hajui kila kitu, hamjui hata mama yake mzazi, lakini, akiletewa binti mchanga wa miezi 6 leo, Suzy, na kuambiwa kuwa huyo Suzy ni mama yake mzazi Juma mwenye miaka 30, anaweza kujua kuwa huyo Suzy si mama yake mzazi, bila kujua kila kitu, bila hata ya kumjua mama yake mzazi.

Juma mwanamme mwenye miaka 30 leo hahitaji kujua kila kitu ili kujua kuwa Suzy, binti mchanga mwenye miezi 6 leo, si mama yake mzazi, hawezi kuwa mama yake mzazi, kwa sababu Juma kamzidi Suzy kwa miaka 29.5.

Sasa, swali unaloniuliza hapo, la kwamba sayansi inajuaje Mungu hayupo kama haijui kila kitu, ni sawa na kuniuliza, Juma anajuaje Suzy si mama yake mzazi wakati hajui kila kitu?

Huhitaji kujua kila kitu, wala huhitaji kujua jibu sahihi, ili kujua jibu fulani si sahihi.

Juma kajuaje Suzy si mama yake mzazi bila Juma kumjua mama yake mzazi wala kujua kila kitu?

Simple, kwa sababu jibu la Suzy kama mama mzazi wa Juma lina violate kanuni ya logical consistency. Ili Suzy awe mama mzazi wa Juma, inabidi kwanza Suzy atimize sharti la kuwa mkubwa kumpita Juma kwa miaka ya kuweza kumzaa. Suzy si tu hajampita Juma kwa umri huo, bali ni mdogo kuliko Juma kwa miaka 29.5. Hivyo tunajua Suzy hawezi kuwa mama mzazi wa Juma.

Suzy kumzaa Juma ni contradiction ya timeline ya maisha yao. Contradictiin hii inaonesha Suzy hawezi kuwa mama mzazi wa Juma.

Vivyo hivyo, kujua Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu huu ambao unaweza kuwa na mabaya hayupo, tunatumia mantiki hiyo hiyo ya proof by contradiction.

1. Mungu ni mjuzi wa yote
2. Mungu ni mwenye uwezo wote
3. Mungu ni mwenye upendo wote
4.Mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kuwepo.

1,2,3 na 4 zote haziwezi kuwa kweli bila ya contradiction, Mungu mwenye sifa za 1, 2 na 3 kuumba ulimwengu wa 4 ni contradiction.

Contradiction hii inatuonesha Mungu huyo hayupo na hawezi kuwepo, huyo Mungu ni hadithi za watu tu katika siasa zao.

Tunaweza kujua Mungu huyo hayupo bila kujua kila kitu, kwa proof by contradiction, kama tunavyoweza kujua kuwa Suzy, binti mchanga mwenye umri wa miezi 6 leo, hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme Juma mwenye miaka 30 leo.

Kwa kuangalia mantiki na contradiction.

Tatizo, wangapi wana uwezo wa kuielewa hiyo contradiction, kuikubali, kuondoka saikolojia ya "cognitive dissonance", kuondoa majadiliano yanayoongozwa na hisia badala ya kuongozwa na logic na fact?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…