Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Una umri gani kwani !? [emoji848]So, nikikusanya vitabu vya Bekket, Abbort, Manser na kile cha Obama tayari inakua ni Biblia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una umri gani kwani !? [emoji848]So, nikikusanya vitabu vya Bekket, Abbort, Manser na kile cha Obama tayari inakua ni Biblia?
Duh! Humu tunajadili na watu wa ajabu sana!! Chief uelewa wako nani amekushikia ? Utafute haraka sana.[emoji23][emoji23]Si umesema mshike elimu sijui bible imesema...mbona unakimbia kimbia mkuu
That's not my job... kama scientist waliofanya research na publication zenye peer review zikawa published kwenye mitandao na majarida mbali mbali.. na bado huamini unamuamini muarabu aliyoamka akasema ametumwa na Mungu Tena muarabu huyo aliishi kipindi hata yeye hajui jua linaenda wapi usiku anasema Mara tope Mara kumuomba Allah ruhsa..afu unakuja unasema unataka upewe elimu...Mimi ndo utanisikiliza Sasa? Hebu nitokeeUnafananisha character wa kwenye movie na vitu ambavyo vinatokea kwenye uhalisia.
Hiyo sio namna ambayo high-minded people wanatakiwa kujadili vitu.
Atleast ungetuelimisha kwamba➡️ Demonic possession ni concept inayotumika kimakosa kuelezea hali ambayo inatokana na shida kwenye subconscious mind....kisha mtaalamu utuambie ni Kwa namna gani subconscious mind inapelekea mtu kuwa na hali ambayo sisi na ujinga wetu tunaiita Demonic possession,... simple👊
Mimi naweza kua mkristo kwa sababuThat's were you're wrong, hujui hata mchango waliofanya wakristo waliomwamini mungu kweny hii science.
Unadhani ukimwamini mungu ndo upo close minded?
,😂😂Huna hoja banaDuh! Humu tunajadili na watu wa ajabu sana!! Chief uelewa wako nani amekushikia ? Utafute haraka sana.
Research na Publication kuhusu nini?That's not my job... kama scientist waliofanya research na publication zenye peer review zikawa published kwenye mitandao na majarida mbali mbali..
Akikujibu nitagNadhani ingependeza zaidi ungetuambia wewe binafsi ni kitu gani umevumbua baada ya kuachana na hizo dini.
Ili tuamini kwamba kuna uhusiano hasi Kati ya dini na uvumbuzi.
Acha uongo zamani kulikuwa na atheists wengi tuu kuliko hata asaiv1. Nikisema mi ni atheist jamii itanipinga na katika society kipindi hicho walikuwa wanauwawa kabisa
Mambo yote unayopinga...starting with evolution..na all the evidence against the man made stories of the bible n quranResearch na Publication kuhusu nini?
Walikuwa hawana freedom Kama saa Hivi acha ubishi... fuatilia..😂usibishane kwa hisia manAcha uongo zamani kulikuwa na atheists wengi tuu kuliko hata asaiv
Wewe hoja zako ziko wapi ?,[emoji23][emoji23]Huna hoja bana
If u don't know something it's best to say u don't know kuliko kuassume majibu uchwaraWewe hoja zako ziko wapi ?
Hisia za nn??Walikuwa hawana freedom Kama saa Hivi acha ubishi... fuatilia..😂usibishane kwa hisia man
Kina Gwajiboy na Mwingira wanawapuna tu! hakuna wachungaji pale...Naona umeanza kubumba bumba maneno ambayo wewe mwenyewe hauelewi,, Tutajie mfano wa hao watu ( waumini ) ambao wanaenda kwajili ya projects za kuwapiga low minded ?
vyeti vyote vya ndoa ni vya serikali, so ndoa za dini ni utaratibu tu kama wa kimila...nothing tangibleKuna mahusiano yalivunjika eti mmoja hataki ndoa ya serikali, kwake ni kosa. Hayo ni mawazo finyo ya kukumbatia imani ambayo wala huijui kwani sio utamaduni wako. Imani bila kutumia akili ni utumwa.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Okay mganga kawezaje kufanya hizo illusion? Je huyo chura anakuwa kamficha wapi mpaka anaefanyiwa asimuone?
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Who decides what is right and what is wrong? How do you call certain people evil people? Because If there is no greater power than humans in this world why shouldn't we let everyone do as it please them ?
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app