Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

😓So unajuaje umeumbwa?
 
Wapumbavu kama nyinyi ndiyo mnasema hakuna mungu ila mmechanja chale za waganga wa kienyeji hadi matakoni ...unakuta mtu mshirikina wa waganga wa kienyeji(witchdoctor) ila anasema mungu hakuna
😅Mkuu hamna mtu kasema Mungu hayupo...ni kwamba hoja zenu hazina mashiko
 
Mimi najua mafumbo yote ya biblia hayo maandiko ni fumbo tena yapo sahihi ...kuna jamaa aliuliza kitu kama chako hapa nikamjibu na hakuwa na hoja tena ...aliuliza je watu waliokufa kabla ya kufikiwa na dini watahukumiwa vipi nikampa jibu kamili
😴Siku hizi kila mkanganyiko au makosa ya biblia watu wanakimbilia kusema fumbo..😂afu wanatafsiri kivyao tafkiri mmeandika nyie au aliyeandika alikwambia ni nahau cjui kitendawili?
 
Umeulizwa kuhusu contradictions za uzao..😂
 
😴uislamu ni dini kongwe kwa sababu wameiba story ya wayahudi wakamwiba mtu wao wa kwanza afu wakamwita muislam..😂ni sawa marvel waibe superhero wa DC afu waseme ni wao
 
Mababu zako waliamini jua linazama kwenye tope usiku na dunia ni flat na nyota ni ndogo kuliko mwezi, jua kuzunguka dunia...mvua kusababishwa na miujiza kutoka mbinguni etc... Kama unataka kufanana level za elimu na hao..sawa
 
1. Unajuaje Mungu ndo kakileta na sio tu watu wenye agenda zao
2. Biblia Ina makosa kibao ndo maana Kuna madhehebu zaidi ya laki kila moja ikijaribu kuelewa kinamna vyake.
3. Why Mungu atumie watu kuandika kitabu Cha uzima, watu ambao wanaweza kukikosea
4. Unasema bible ni Cha Mungu ..wahindi wanasema kitabu chao waislamu wanasema Quran...so kipi ni Cha Mungu na kipi fake na why
5. Unasema bible ni Cha Mungu lakini hakina any useful information ambayo binadamu hawakuwa nayo back then... knowledge ya kizamani ndo Ile Ile...hawajaongelea germ theory, rain formation, tectonic plates, solar system, etc wanachosema ni dunia kuwa flat, anga kuwa ceiling, dunia kuwa na milingoti, jua kuzunguka dunia na nyota kuweza kuanguka(coz walijua ni vidogo)..
 
Okay sawa wewe uko upande Gani Sasa
Una Imini Bible AU laa
 
[emoji42]Siku hizi kila mkanganyiko au makosa ya biblia watu wanakimbilia kusema fumbo..[emoji23]afu wanatafsiri kivyao tafkiri mmeandika nyie au aliyeandika alikwambia ni nahau cjui kitendawili?
Soma tafsiri zangu ...hata wenye kuuliza maswali awarudi tena baada ya kukutana na tafsiri sahihi .....mimi siyo mkristo wala muislamu ila dini ya kweli ni ukristo sema siyo huu uliopo leo duniani ...huu uliopo ni uhuni wa ukristo
 
😴uislamu ni dini kongwe kwa sababu wameiba story ya wayahudi wakamwiba mtu wao wa kwanza afu wakamwita muislam..😂ni sawa marvel waibe superhero wa DC afu waseme ni wao
Shida huwa inaanzia hapa, unaandika mambo ambayo hata nikikuuliza swali huwezi kunijibu kama ulivyo shindwa huko mwanzo, sababu unachokiandika huna unuzi nacho.

Thibitisha ukweli wa hichi ulichokiandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…