Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Dhehebu ni haramu mkristo wa kweli awezi kuanzisha dhehebu wala kuwa na dhehebu[emoji42]Bac anzisha dhehebu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhehebu ni haramu mkristo wa kweli awezi kuanzisha dhehebu wala kuwa na dhehebu[emoji42]Bac anzisha dhehebu
😂Asa unatakaje mfano..maana una namna yako ya kuelewa biblia unaona ni sahihi...same as everyone elseDhehebu ni haramu mkristo wa kweli awezi kuanzisha dhehebu wala kuwa na dhehebu
Ninazo sababu za msingi ...mfano madhehebu je jesu ni mlokole je yesu ni msabato je yesu ni mkatoriki? Je ingetokea yesu karudi leo kufundisha dini angewaambia watu wawe wakatoliki au wasabato au yeye angekwenda kanisa gani?[emoji23]Asa unatakaje mfano..maana una namna yako ya kuelewa biblia unaona ni sahihi...same as everyone else
Na angemtokea kila mtu na akafa sababu ya Mungu jinsi anavyoichukia dhambi ungesema Mungu muonevu kwanini asiwatokee watu wachache watakatifu ili sisi wengine tupone. Wakati Mungu anamtokea Mussa kumpa zile mbao mbili hivyo hivyo wafuasi wake waliomba waongee na Mungu direct radi zilizopiga pale sio kawaida mpaka wote wakaogopa wakasema ongea nae we mwenyewe Mussa. Na Mungu angefanya kadri wanadamu mnavotaka huyo asingekuwa Mungu maana angekuwa anaakili sawa na binadamu.Ndio..coz bila binadamu Mungu hawezi exist..Mungu anamtegemea binadamu kuexist...Mungu angekuwa mkuu kuliko binadamu asingetegemea binadamu ili ajulikane angemtokea kila mtu..
Usiniulize Mimi asa...waulize wakristoNinazo sababu za msingi ...mfano madhehebu je jesu ni mlokole je yesu ni msabato je yesu ni mkatoriki? Je ingetokea yesu karudi leo kufundisha dini angewaambia watu wawe wakatoliki au wasabato au yeye angekwenda kanisa gani?
😂Usiniletee mfano ndani ya Novel bana...hao watakatifu tunajuaje kweli wametokewa na sio agenda kututawala...😂we Mungu mmoja ulimwengu wote anatokea watu buku na kuwapa maneno buku tofauti..biblia tu Ina story buku tofauti kuhusu Mambo mbalimbali..bado Kuna Hawa manabii feki..bado Kuna dini nyingine nyingi...hii ni product ya kila mtu kuamka na kusema ametokewa na Mungu kumbe ni kichwa chake tuNa angemtokea kila mtu na akafa sababu ya Mungu jinsi anavyoichukia dhambi ungesema Mungu muonevu kwanini asiwatokee watu wachache watakatifu ili sisi wengine tupone. Wakati Mungu anamtokea Mussa kumpa zile mbao mbili hivyo hivyo wafuasi wake waliomba waongee na Mungu direct radi zilizopiga pale sio kawaida mpaka wote wakaogopa wakasema ongea nae we mwenyewe Mussa. Na Mungu angefanya kadri wanadamu mnavotaka huyo asingekuwa Mungu maana angekuwa anaakili sawa na binadamu.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kwahiyo hao waislamu wanajua sana historia ya wayahudi kuliko hata wayahudi wenyewe? Maana wayahudi biblia yao inatumia maandiko sawa na agano la kale la biblia takatifu.Hiki ulichokiandika kimeonyesha wazi huijui Historia. Wana w Israili wamepitia katika vipindi vitatu kwa mujibu wa wanahistoria. Cha kwanza ni kipindi cha makadhi, Cha makadhi kipindi hiki kilisimamiwa na Yusha bin Nuun, kikaja kipindi cha Muluki yaani ufalme hapa wakapelekewa mfalme Jaluta kwa Mayahudi wanamuita Shauli, kipindi cha tatu ni Inqisam (Mgawanyiko) ambapo hapa walifanya mtoto wa Suleyman na yule mwingine.
Historia yako ya dini unaisoma wapi ? Nitakuuliza swali kipindi hicho unachosema Cha ufalme nani alikuwa Mfalme katika dola hizo mbili ? Leta ushahidi wako na Mimi nikuwekee ushahidi wangu.
Sahihi kabisa Yahudha alikuwa mtoto wa Yakubu na ni ndugu wa Yusufu Hawa walikuwa kabla ya Musa. Yusufu alipopta uongozi kule Misri akaamua kumuita baba yake na ndugu zake wakatoka Palestina kwenda Misri. Ukoo huu wa Israili (Yakubu) waliishi kwa amani sana pale Misri kipindi Yusufu yupo hai, baada ya kufariki Yusufu, Wana wa Israili waliishi kwa tabu sana na dhiki sana, ndipo akatumwa Musa kuwakomboa na kuwatoa Misri kuwarudisha kwao, kabla ya kuwafikisha Palestina Musa alifariki na Yusha bin Nuun, akalifanikisha lengo lao la kuwarudisha Palestina, kisha akawagawanya katika makundi kumi na kila kundi akaliwekea kadhi yaani mtu wa kuwahukumia majambo yao.
Kipindi cha dhuria wa Yahudha na bin Yamini, si kipindi cha Ufalme kijana ni kipindi cha mgawanyo wa dhuria wa ndugu hao wawili wa Yusufu.
Mimi natumia vyanzo vya wanachuoni wa kiislamu, vyanzo ambayo ni sahihi zaidi kuliko vyanzo vingine, sababu wamzihakiki kwa umakini Historia kuliko watu wengine wote. Hili ukitaka ushahidi pia nakupa.
Tazama hizo Historia za Wakristo zimeandikwa lini na waandishi hizo Historia wametoa wapi Historia zao.
Sasa wewe ndio unatakiwa uihakiki Historia yako unayo iweka hapa.
Wewe mwafrika umeibiwa na sayansi kuliko dini ila bado unaitetea na kuishobokea hapa. Watu wamaefikaje hapa africa kirahisi(sayansi) wamechimbaje vya kuchimba vyetu( sayansi) wameachaje neo colonialism ( sayansi) wamewezaje kukutamanisha wewe na kizazi chako fantasy world ikiwa na wao wanastruggle( sayansi) . Waliwatandikaje risasi babu zako( sayansi), wakatengenezaje mifumo ya kukutawala kwa misaada na malimbikizo makbwa ya madeni( sayansi). Je, vipi kuhusu kitendo cha kukuulia kizazi chako kwa magonjwa kama ukimwi na kuendelea kukupa madawa yanayoharibu kizazi chako( sayansi) na madudu kibao ni sayansi ila wewe kwako dini ndo inaiba sana.We umeshashikwa relax endelea kushikwa. Umejiuliza kwa nini viongozi wa makanisa ni matajiri walio wengi , it is a business.
Sayansi sio dini...elewa ...Wewe mwafrika umeibiwa na sayansi kuliko dini ila bado unaitetea na kuishobokea hapa. Watu wamaefikaje hapa africa kirahisi(sayansi) wamechimbaje vya kuchimba vyetu( sayansi) wameachaje neo colonialism ( sayansi) wamewezaje kukutamanisha wewe na kizazi chako fantasy world ikiwa na wao wanastruggle( sayansi) . Waliwatandikaje risasi babu zako( sayansi), wakatengenezaje mifumo ya kukutawala kwa misaada na malimbikizo makbwa ya madeni( sayansi). Je, vipi kuhusu kitendo cha kukuulia kizazi chako kwa magonjwa kama ukimwi na kuendelea kukupa madawa yanayoharibu kizazi chako( sayansi) na madudu kibao ni sayansi ila wewe kwako dini ndo inaiba sana.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂naelewa mkuu namwambia huyo anajisifia anajua mambo ya kirohoDhehebu la nini? yaani kuongeza kilinge kingine cha kulishana ideas za movies za Marvels na za Mazombie??
Ishi kwa upendo, jali watu, saidia wasio jiweza, epuka maovu, imetosha!
Poa. Siku nyingine uwe unakijua unachokijadili.Nishakuchoka...sijibu post zako tena
Wapi ? Tuliza akili usome na uelewe nilichokiandika.*Amesema mudi
Kazi yangu nimemaliza.Sawa
Lwiva namuita na SimbaMpole123 apitie pia hapaWewevumedanganywa makanisani ndiyo maana unaona makosa ila injili ya kweli mimi naijua na logic yake naijua
Hlafu ndo dini walioambiwa kwenye Biblia nashangaa wanataja Ukristo...Dhehebu la nini? yaani kuongeza kilinge kingine cha kulishana ideas za movies za Marvels na za Mazombie??
Ishi kwa upendo, jali watu, saidia wasio jiweza, epuka maovu, imetosha!
Unaelewa historia ya Ireland? Kule wakatoliki na Anglikana walitoana macho. Si sawa na Shia na Suni? Kuna tofauti gani?Why Mungu muweza yoooote, Allah aliyeumba kila kitu ashindwe kuwafanya watu tu waamini in Shia au Sunni na sio kuvurugana mpk kutoana macho? Je, hawa wote c wanakumia Kuran mnayoamini ni kitabu bora na kikishushwa na Allah?
Huko ndani ndani ndo hakufai kbs
Two wrongs doesn't make a rightUnaelewa historia ya Ireland? Kule wakatoliki na Anglikana walitoana macho. Si sawa na Shia na Suni? Kuna tofauti gani?