Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Maswali yako yote ni ya kitoto sana ila nitakujibu hivyo hivyo na utoto wako

1. Mshahara wa dhambi ni mauti, lakini ukimwamini Yesu hakuna mauti, utapata neema na rehema.

Dhambi zipo ili kulinda ustawi wa jamii

2. Ndiyo Yesu alifuta dhambi zote pale msalabani, ndiyo maana hatuna kafara tena za wanyama zaidi ya damu na Jina la Yesu

Vita, maradhi, umaskini, na ujinga ni mambo ya kibinadamu na Mungu amempa UWEZO binadamu wa kushughulika na haya yote.

3. MATABAKA yapo ili maisha yawezekane, bila MATABAKA hakuna maisha. Imagine kila mtu awe Tajiri nani atakubali kuajiriwa? Hakuna boss anaweza kufanya kazi zake mwenyewe. Hata vidole vya mikono yako mwenyewe havifanani ukubwa wake

4. Binadamu siyo dhaifu, udhaifu ni matokeo ya binadamu kutotumia akili yake sawa sawa.

5. Shetani hajamzidi nguvu binadamu, Shetani ni dhaifu sana mbele ya binadamu, tatizo binadamu hajuwi jinsi alivyo na nguvu nyingi
Wewe unaamini yesu aliletwa na wakoloni kwaajili ya waafrikana wajinga au ulimwengu wote?

Kama ni ulimwengu wote kwanini kwingine asipelekwe kwa nguvu iwe Afrika tu?
 
We jamaa Una matatizo Gani Lakin
Wewe ndiyo unamatatizo kutokujitambua na kugundua kuwa walioleta habari za yesu ndiyo walewale walioleta habsri kuwa waafrika wametokana na manyani nacwakati huo huo wakidai ametokana na adam na hawa.

Hapa huna haja ya kutaka kutumia nguvu nyingi kutambua habari nyingi za hawa watu ni uongo
 
Kwanini Bible ikosee, wakati ni kitabu kilochotoka Kwa mungu,?

Je mungu anakosea,? Je ni mitume wake ndio wanao kosea? ,na ni kwanini mitume wa mungu wakosee maagizo walio pewa na mungu.?

Je mungu anajua Haya makosa ,yaliotokea ?, Je mungu amechukua HATUA Gani kuthibiti Haya makosa.?

Je mungu anatambua Athari zitokanazo na makosa yaliyopo kwenye kitabu chake cha Bible?

Au tusema mungu kaacha Bora liende,je nani atakaye laumiwa baadae?
Mjinga hawezi badilika hasa anapozaliwa na kukulia ktk familia inayoamini ujinga.

Hivi umewahi kujiuluza biblia imeshushwa au imeandikwa mwaka gani?

Kwahiyo Mungu alishusha biblia kupitia kwa wakoloni kuileta Afrika na alishindwa nini kuishusha Afrika mojamoja?

Je huko china,India,japani,nk umewahi kujiuliza kuwa walishusha kitabu gani????
 
Mkuu unajua scientists wengi walikuwa Christians na walimwamini Mungu?
mf.Galileo Galilei, Johaness Kepler, Gregor Mendel, Robert Boyle,James Maxwel,Braise Pascal, John Fleming, George Washington Craver, nk
Tafuta historia ya hawa jama then utakuja kuleta mrejesho hapa.
Changamoto iliyopo ni kuwa nchi zilizoendelea baada ya mapinduzi ya viwanda zilitumia dini kutu colonize kwa maslahi yao!
Acha uongo bwana wanasayansi wengi walimuamini Mungu kupitia imani zao siyo imani ya kikiristu na kunawengine walikuwepo kabla ya ukristu.

Usiishi kwa kukariri jaribu kujiongeza na kutafakari wewe mwenyewe na kupima ukweli.
 
Maandiko yana historia yake ndefu sana hadi kuna mikono ya wanadamu ndani yake ambao wameingiza mambo yao kwa tamaa zao za kidunia na kutafuta utukufu binafsi ndiyo maana leo kuna madhehebu pia ni upotovu ulio ingizwa na wanatamu kwa matamania yao binafsi hivyo unatakiwa kutumia akili kujua dini ni nini na mungu anataka nini kimsingi
Kwahyo kama maandiko yamepotolewa sasa unawezaje kuamini kwamba hata hicho unachosadiki kimepotolewa...
 
Umejibu sawa na kile ulicholishwa na viongozi wako wa dini....

Nothing tangible, nothing involved brain cracking!

Namba 4, Yes! ina-hold water!

Majibu mengine ulotoa yanaonesha namna ambavyo imani inakinzana na nguvu za huyo Supernatural unayemuamini!
Kafara siyo dhambi ni sehemu ya ibada na inajibu kwa wanaoiamini ilimradi isiwe na madhara,wewe unachoamini umekirithi kwa wazazi wako kama ulivyorithishwa hutaki hata kujiongeza au kuisumbua akili yako
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Kwenye title yako umesema dini ni kwa low minded people, genious cant be trapped hivyo kati ya low minded na genious hapa katikati hamna wengine...like us ordinary who we dont claim to genious and we dont see ourself as low minded!!?
 
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.

Zaburi 53:1
Nina swali Kama Kichaa akikuita wewe Daktari wake Ni kichaa na akakazia kabisa...Nani kati yenu atakuwa kichaa?
 
Bhasi hapa nasadiki kuwa Kiranga na SimbaMpole123 wako sahihi kusema unatakiwa uachwe kwa sababu..
Kwa mtu mwenye akili angeanza Kudoubt the existense ya Yesu kwa hizo logic arguemnts..
Mfano uliotoa hauendani logical arguements nilizokupa.

Ngoja nikupe mfano na pengine hii itakuwa the last argument kwa sababu naona weww sio mtu wa kuweka hoja ila kubishana...

Mfano: Juma alifahamika kutoka katika ukoo wa kifalme na alitakiwa arithi ufalme kwakuwa ni King's lineage aliyebaki sasa baada ya kuchunguza kwa makini tukagundua kuwa juma Hana shina lolote linalomuunganisha yeye na huo Ufalme na Amejaribu kuongeza uongo katika ukoo wake ili afanane na watoto wa kifalme lakini wazee wa ikulu wakapitia makabrasha wakasema kwamba hao watu anaowataja hawajawahi kuwepo kama Lineage ya kifalme....
Unafikiri Bado juma ataendelea kuwa mfalme?
Unafikiri Nani atamwamini Tema juma kwa kuwa ameweka uongo katika ukoo wake..
Mkuu,

Kuna mtu nilimwambia kuhusu contradictions zilizo katika Biblia. Nikamuwekea mamia ya aya zinazoji contradict hapa.

Jamaa kakimbia hajajibu.

Mtu yeyote anayekubali Biblia ni kitabu cha Mungu kisicho na makosa anatakiwa kujibu hizo contradictions.
 
Mkuu,

Kuna mtu nilimwambia kuhusu contradictions zilizo katika Biblia. Nikamuwekea mamia ya aya zinazoji contradict hapa.

Jamaa kakimbia hajajibu.

Mtu yeyote anayekubali Biblia ni kitabu cha Mungu kisicho na makosa anatakiwa kujibu hizo contradictions.
Sidhani kama kuna mtu ataweza kuzijibu kama umeona huyo jamaa kabadili kauli mwanzo alisema biblia haina makosa wala contradiction...
Sanasana huo ukoo wa yesu uko clean kabisa...
Nimempa contradiction kasema biblia imechafuliwa na watu kwa faida zao ila zaman haikuwa hivyo...

Sasa nashangaa kitu kimoja kama unaamini kama biblia imechafuliwa na bado unaiamini tukiwaita wao kuwa Low Minded people kwanini wanakataa?

kuna mambo yanafikirisha sana yani mtu anakubaki kuna makosa na anajua pia ni kosa ila hataki kukubali kwamba hayo makosa ndo njia ya yeye kuutafuta ukombozi wa kifikra kuona alipo si sahihi..
 
Sidhani kama kuna mtu ataweza kuzijibu kama umeona huyo jamaa kabadili kauli mwanzo alisema biblia haina makosa wala contradiction...
Sanasana huo ukoo wa yesu uko clean kabisa...
Nimempa contradiction kasema biblia imechafuliwa na watu kwa faida zao ila zaman haikuwa hivyo...

Sasa nashangaa kitu kimoja kama unaamini kama biblia imechafuliwa na bado unaiamini tukiwaita wao kuwa Low Minded people kwanini wanakataa?

kuna mambo yanafikirisha sana yani mtu anakubaki kuna makosa na anajua pia ni kosa ila hataki kukubali kwamba hayo makosa ndo njia ya yeye kuutafuta ukombozi wa kifikra kuona alipo si sahihi..
Niliandika awali kuhusu saikolojia ya "cognitive dissonance" kwa watu wanaoamini Mungu.

This is exactly what I was talking about.
 
Sidhani kama kuna mtu ataweza kuzijibu kama umeona huyo jamaa kabadili kauli mwanzo alisema biblia haina makosa wala contradiction...
Sanasana huo ukoo wa yesu uko clean kabisa...
Nimempa contradiction kasema biblia imechafuliwa na watu kwa faida zao ila zaman haikuwa hivyo...

Sasa nashangaa kitu kimoja kama unaamini kama biblia imechafuliwa na bado unaiamini tukiwaita wao kuwa Low Minded people kwanini wanakataa?

kuna mambo yanafikirisha sana yani mtu anakubaki kuna makosa na anajua pia ni kosa ila hataki kukubali kwamba hayo makosa ndo njia ya yeye kuutafuta ukombozi wa kifikra kuona alipo si sahihi..
Topic hii itakuwa tough sana kwao kwasababu hawaruhusiwi kuuliza maswali wala kukosoa.

Wanatakiwa waamini tu. Zaidi ya hapo wataambiwa wamekufuru.
 
Kwahyo kama maandiko yamepotolewa sasa unawezaje kuamini kwamba hata hicho unachosadiki kimepotolewa...
Jibu ni jepesi jua msingi wa dini halisi ambao upo katika kujua mema na mabaya na kufuata mema na kutokutenda mabaya ......haki na kweli ni moja wapo ya misingi ya dini
 
Uislam upi unaousema kuwa ni dini ya kwanza?

Msiwe mnakiriri kila kitu mlichohadithi bwana,wewe sema ni dini ya kuja uliyoiangukia kwa ujinga wako dini ya kwanza duniani nimekuwekea hapa chiniView attachment 2825731
Sasa hapa umefanya nini kijana ? Hii dini ya miaka 3000 B.C ilikuwa inaitwaje ? Habari hizi zimeandikwa na nani na wewe umezipata wapi ?
 
Maandiko yana historia yake ndefu sana hadi kuna mikono ya wanadamu ndani yake ambao wameingiza mambo yao kwa tamaa zao za kidunia na kutafuta utukufu binafsi ndiyo maana leo kuna madhehebu pia ni upotovu ulio ingizwa na wanatamu kwa matamania yao binafsi hivyo unatakiwa kutumia akili kujua dini ni nini na mungu anataka nini kimsingi
😂😂😂Mungu anitokee ndo aniambie Sio nisome vitabu uchwara...bible imeundwa na watu ili itumike kutawala na kutumikisha watu
 
Back
Top Bottom