Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Hiyo ipo ndani ya moyo wa mwanadamu hata kama ajui mungu ila ndani ya moyo wake ujua mema na mabaya ....kujua mema na mabaya kupo hata katika logic ya kuwatendea wengine yale ambayo wewe unapenda kutendewa na kuto watendea wengine yale ambayo wewe upendi kutendewa.
Safi kabisa hapa wote tuko sawa kabisa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mungu anitokee ndo aniambie Sio nisome vitabu uchwara...bible imeundwa na watu ili itumike kutawala na kutumikisha watu
Ndiyo.maana kasema yeye yupo pamoja na watenda haki hivyo unatakiwa kutenda haki na mema kama alivyo sema naye atakuonyesha na kukueleza mambo makuu yasiyo semeka
 
Tafsiri zangu ni sahihi asilimia mia ndiyo maana hata wale wakristo wakija na ujinga wao nawakarisha bila ubishi ...yupo shehe alisema mimi nimepotea kudhani ukristo ndiyo dini sahihi ...nilimkalisha mwenyewe alikubali hoja zangu wewe ujawai kuzisikia popote ...huu ukristo uliopo leo ni upumbavu wakristo na waislamu wa leo awajui hata maana ya mtume ...mfano wakristo wa leo wanasema mtume ni kutumwa na mungu ...maana hiyo ni potovu....wakristo wa leo wanadanganya kuwa mungu anazo nafsi 3 huo ni uputovu .....wakristo wa leo wanadanganyana kuwa kristo alisurubiwa kwa ajili ya dhambi ya asili huo nao ni uongo na upotofu ....wakristo wa leo wanadanganyana kuwa kuna dhambi ya asili huo ni uongo na upotofu hayo ni baadhi tu na nina hoja zisizo na shaka juu ya hayo ... wakristo wa leo hawajui hata amri kumi za mungu ...ukiwauliza mbona amri ya usiue ilipo kuja mitume na manabii waliua hadi vitoto vichanga hawana majibu ....wakristo wa leo wanapotosha amri ya .. waeshimu baba yako na mama yako ...wao wameipotosha maana wameifanya hiyo amri kana kwamba mungu kasema wazazi hawana wajibu wa kuwaeshimu watoto wao ...lakini ukisoma maandiko hata mungu mwenye anasema "ukinieshimu nitakueshimu" basi ikiwa mungu mwenyewe anawaheshimu wadogo ninani aliye wafundisha wakristo kuwa heshima ni swala la mtoto kumweshimu mkubwa au mzazi tu ....huu ni baadhi ya upotofu na udharimu uliopo kwa wakristo wapumbavu
Dada yangu liva,, Topic ilio mezani inasema >>>Dini ni kwa ajili ya ""low minded people""Genius can't be trapped>>>>
Mbona hujikiti kwenye mada unaandika vitu visivyokuhusu na usivyovijua?? Mbona nikitizama majibu yako yote hayajibu maada ilio jukwaani,,wewe ni Muislam fundisha watu uislam wako,,,ukristo usioupenda,,unaoudharau na usiouelewa unakuhusu nini??? Fundisha hao unaoandikiana nao uislam unaoujua na simamia misingi yako wakuelewe,,,huyo uliemueleza dharau yako juu ya ukristo unadhani anamuamini Mungu??
Ushauri wangu kwako....
...Kafanye checkup ya afya yako kwa ujumla,,ikiwezekana hadi afya ya akili yako.
...Jitahidi kila baada ya wiki tatu ule dawa nzuri ya minyoo,,kutokana na kwamba minyoo imekuwa na usugu na pia
imebainika kwamba minyoo imekuwa na tabia ya kula hadi ubongo wa binadamu pale inapokosa chakula
tumboni huwa inakimbilia kichwani.
...Pia kunywa zaidi chai ya tangawizi kali maana nayo huwa inasaidia kuuwa minyoo.
....Kuna kitu wazungu wanaita vacation,,pata mda mzuri upumzishe mwili wako ule vyakula vizuri {balanced diet}
na hapa jamii forum kuna jukwaa la Jf Doctors,,Kuna watu makini wakupe mwongozo mzuri kwenye lishe hasa inayoimarisha mfumo wa fahamu kwa ujumla.
Kindly Regards
Yevgeny.
 
achana na mambo ya squreroot jibu swal nipe ukwel.wa alikotokea Kiranga alitokeqje tokeaje nipe factvna siyo kuzunguqqka swalnna bra bra
Kiranga ametokea kwa wazazi wake.

Huko kwingine kwenye mwanzo wa dunia, watu na viumbe, kwani wapi niliwahi kukuambia kwamba nina majibu ya maswali hayo?

Nimekwambia kwamba najua chanzo si Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote, na ninaweza kujua hilo bila hata kujua chanzo ni nini, kwa kutumia logical elimination.

Usichoelewa ni nini?
 
Mkuu unaelewa hapo unatumia science kuandika kuwa scuence is overrated?

Acha kutumia internet andika "science is overrated" kwenye mfumo usiotumia science.

Vinginevyo unakuwa wale watu wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Unasema "Science is overrated" wakati hapo hapo unaitumia kila siku.
Kiranga haujaacha maneno mengi.
point ni kwamba Science imeshindwa kuelezea mambo mengi sana wakati huo huo inachukuliwa kama ndio utaratibu unaoweza kuelezea kila kitu.

Mfano, kifo.
 
Dada yangu liva,, Topic ilio mezani inasema >>>Dini ni kwa ajili ya ""low minded people""Genius can't be trapped>>>>
Mbona hujikiti kwenye mada unaandika vitu visivyokuhusu na usivyovijua?? Mbona nikitizama majibu yako yote hayajibu maada ilio jukwaani,,wewe ni Muislam fundisha watu uislam wako,,,ukristo usioupenda,,unaoudharau na usiouelewa unakuhusu nini??? Fundisha hao unaoandikiana nao uislam unaoujua na simamia misingi yako wakuelewe,,,huyo uliemueleza dharau yako juu ya ukristo unadhani anamuamini Mungu??
Ushauri wangu kwako....
...Kafanye checkup ya afya yako kwa ujumla,,ikiwezekana hadi afya ya akili yako.
...Jitahidi kila baada ya wiki tatu ule dawa nzuri ya minyoo,,kutokana na kwamba minyoo imekuwa na usugu na pia
imebainika kwamba minyoo imekuwa na tabia ya kula hadi ubongo wa binadamu pale inapokosa chakula
tumboni huwa inakimbilia kichwani.
...Pia kunywa zaidi chai ya tangawizi kali maana nayo huwa inasaidia kuuwa minyoo.
....Kuna kitu wazungu wanaita vacation,,pata mda mzuri upumzishe mwili wako ule vyakula vizuri {balanced diet}
na hapa jamii forum kuna jukwaa la Jf Doctors,,Kuna watu makini wakupe mwongozo mzuri kwenye lishe hasa inayoimarisha mfumo wa fahamu kwa ujumla.
Kindly Regards
Yevgeny.
Nani muisiharamu?...pia nani dada ? hapo tu umeonyesha hauna akili walio leta uzi wenyewe wanaelewa ninajibu nini tena nipo kwenye mada labda wewe kichwa ng'ombe ndiyo umeshindwa kujua.
 
Hayo makosa ukiwa na akili yanajulikana biblia inasema wacha magugu yakuwe pamoja na nafaka ....magugu yanajulikana mfano madhehebu ni gugu ....mungu kuwa na nafsi 3 ni gugu ....watu wenye uchu na pesa kujiitamitume ni gugu nk
😂😂😂Sawa mwamposa mwenye akili profesa wa biblia
 
Hao watoto wadogo wenye matatizo ni nehema kwao na wanaokufa utotoni maana awata hesabiwa dhambi ...wewe utawaonea wivu siku ya hukumu ..ukitamani na wewe ungekuwa kama wao duniani
😂😂😂Bac kwa Nini na Mimi nihukumiwe sawa na mtoto mdogo aliyeishi miaka miwili hata kudinda hajui...,😂 how is ur god fair...
 
Hapo umerudi kwenye dhana potovu ya madhehebu maana ndiyo watu wanatumikishwa na wanadamu wenzao ...ila ukristo wa kweli ni kumtumikia bwana tu yesu mwenyewe kasema usiwepo mtu yoyote wa kuwa bwana isipokuwa mungu
Ukristo ni dini...why Mungu mmoja dini buku...kwa nini uislamu au uhindu usiwe ukweli
 
Kiranga haujaacha maneno mengi.
point ni kwamba Science imeshindwa kuelezea mambo mengi sana wakati huo huo inachukuliwa kama ndio utaratibu unaoweza kuelezea kila kitu.

Mfano, kifo.
Science ni nini kwanza? Tuanzie hapo.

Pia, kwa nini unafikiri sayansi inatakiwa kuweza kuelezea kila kitu leo?

Na sayansi umeisoma wapi iliposhindwa kuelezea kifo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Bac kwa Nini na Mimi nihukumiwe sawa na mtoto mdogo aliyeishi miaka miwili hata kudinda hajui...,[emoji23] how is ur god fair...
Wewe uwezi kuhukumiwa sawa na watoto wadogo ....nani kasema wewe utahukumiwa sawa na watoto wadogo ....ukisoma hoja soma kwa kutumia na akili siyo macho tu
 
Ukristo ni dini...why Mungu mmoja dini buku...kwa nini uislamu au uhindu usiwe ukweli
Dini maana yake ni njia ya haki impendezayo mungu..... dini ni moja tu ukristo ni ufuasi nilishaeleza neno wakristo ni sawa na neno waisrael ni sawa na neno wamuhamadi ni majina ya wafuasi wa mungu ....hivyo dini ya kweli ni moja tu ila ina mitume mbalimbali na wafuasi wao
 
Kila mtu Hujaribiwa na Tama yake mwenyewe..
Soma Yakobo..
Na kingine mkuu inawezaje uchuje Mbu na Umeze Ngamia (Yesu pia aliwahi kuwambia hili)
Yaani uchukue baadhi ya mafundisho useme haya yako sawa (Kama hapo umetaja Kujaribiwa kwa yesu ambapo papo kwenye Vitabu hivyo vilivyopotolewa)
Kuna wakati inahitaji kujitoa akili ili kutetea...

Soma biblia Yeremia 8:8

"Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo."

soma biblia
Mathayo 23:24
[24]Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia...

Yesu kujaribiwa...nafikiri soma Refference hapa.chini

Yesu alijaribiwa na Tamaa yake mwenyewe baada ya kushinda siku 40 Bila kula skaona njaaa hiyo njaa ndo iliyomjaribu..

Mathayo 4:2-3

Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa. Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.

Ukisoma katika Yakobo utaunganisha Dot mwenyewe


Yakobo 1:13-16

Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu. Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti. Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike.


Sasa malizia na Hii

1 Yohana 2:16

Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.
Kuchuja mbu na kumeza ngamia ni zao la unafiki moyoni mcha mungu wa kweli awezi kuwa mnafiki
 
Kuchuja mbu na kumeza ngamia ni zao la unafiki moyoni mcha mungu wa kweli awezi kuwa mnafiki
Lakini unakumbuka yesu alivyosema kuwa.."Haki yenu isipozidi haki ya mafarisayo hamtauona ufalme wa mbinguni" ....na hao walioambiwa wanachuja mbu ni mafarisayo....usisahau..

Mt 5:20

"Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni."
 
Huyo muhuni ...mtu yoyote akikuambia kuwa yesu alikufa kwa sababu ya dhambi ya asili huyo ni mpumbavu
We utamwita upumbavu na wewe utaongea upumbavu pia...nobody knows haya ni mastory tu yamewekwa wekwa... so kila mtu anajikuta ana roho mtakatifu sijui wa kuelewa
 
Wewe uwezi kuhukumiwa sawa na watoto wadogo ....nani kasema wewe utahukumiwa sawa na watoto wadogo ....ukisoma hoja soma kwa kutumia na akili siyo macho tu
😂😂😂😂Si ndo kuhukumiwa sawa...yaani not by matokeo...by criteria...yaani kwa Nini maisha ya mtoto mwenye miaka 2 ambayo Accord to u unasema Hana dhambi yawekwe pamoja na Mimi mwenye 70 plus ambayo nimepitia maisha afu mi niende motoni afu ye peponi wakati labda angekua angekuwa ka Mimi tu...na ukisema Mungu tayari anajua, why aniumbe asa Kama atanichoma...so aumbe watu wake wema sisi wabaya tusizaliwe..no matter how yu twist it...it's still bullshit justice system...
 
Back
Top Bottom