Dada yangu liva,, Topic ilio mezani inasema >>>Dini ni kwa ajili ya ""low minded people""Genius can't be trapped>>>>
Mbona hujikiti kwenye mada unaandika vitu visivyokuhusu na usivyovijua?? Mbona nikitizama majibu yako yote hayajibu maada ilio jukwaani,,wewe ni Muislam fundisha watu uislam wako,,,ukristo usioupenda,,unaoudharau na usiouelewa unakuhusu nini??? Fundisha hao unaoandikiana nao uislam unaoujua na simamia misingi yako wakuelewe,,,huyo uliemueleza dharau yako juu ya ukristo unadhani anamuamini Mungu??
Ushauri wangu kwako....
...Kafanye checkup ya afya yako kwa ujumla,,ikiwezekana hadi afya ya akili yako.
...Jitahidi kila baada ya wiki tatu ule dawa nzuri ya minyoo,,kutokana na kwamba minyoo imekuwa na usugu na pia
imebainika kwamba minyoo imekuwa na tabia ya kula hadi ubongo wa binadamu pale inapokosa chakula
tumboni huwa inakimbilia kichwani.
...Pia kunywa zaidi chai ya tangawizi kali maana nayo huwa inasaidia kuuwa minyoo.
....Kuna kitu wazungu wanaita vacation,,pata mda mzuri upumzishe mwili wako ule vyakula vizuri {balanced diet}
na hapa jamii forum kuna jukwaa la Jf Doctors,,Kuna watu makini wakupe mwongozo mzuri kwenye lishe hasa inayoimarisha mfumo wa fahamu kwa ujumla.
Kindly Regards
Yevgeny.