SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Nani?Wal
Walikuwepo thus hata maeneo yao yenye kubeba uthibitisho wa uwepo wao yapo hadi kesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani?Wal
Walikuwepo thus hata maeneo yao yenye kubeba uthibitisho wa uwepo wao yapo hadi kesho
Mungu ni energy kama ni energy means yupo🤣🤣🤣🤣Unatoa false analogy....mi sijasema nione...kwani upepo unaonekana? ila si upo...sauti inaonekana? Ila si ipo...u can't prove god exist...hayo Mambo ya baba na mama kuwepo huwezi zaliwa kutoka kwa yai la kuku lazma utatoka tumboni kwa mwanamke na kutokana na sperm ya mwanaume na hili halipingwi coz hata wewe Leo hii na mke wako mnaweza tengeneza mtoto so hata asipowaona doesn't mean hawakuwepo...the problem with Mungu Sasa ni imani, haina ushahidi wa aina yoyote Ile na ukisema kila kitu kina mwanzo bac na huyo Mungu ana chanzo la sivyo unaforce ubishi ambao hauuwezi
Yesu na MuhammadNani?
Can u prove kwamba Mungu ni energyMungu ni energy kama ni energy means yupo
Hizo historical sites zimeundwa baadae ili kuvuta watalii...labda Muhammad ila za uyahudi nyingi ni fake ka unabisha fuatilia mtandaoniYesu na Muhammad
Feki kivipi wakati hadi kwenye maandiko zipo.Hizo historical sites zimeundwa baadae ili kuvuta watalii...labda Muhammad ila za uyahudi nyingi ni fake ka unabisha fuatilia mtandaoni
🤣🤣🤣Biblia imeundwa 10th century broda acha uhuniFeki kivipi wakati hadi kwenye maandiko zipo.
Biblia Ina Zaid ya miaka elf 2 tangu kuwepo kwake Duniani
Ilipoanza kwenye maandishi🤣🤣🤣Biblia imeundwa 10th century broda acha uhuni
Waje wakujibu wanakondooKuiywa mwana-kondoo ni ishara ya UNYENYEKEVU WA KIJINGA wa Waafrika wasiojitambua.
Hivi kwenye biblia MWANAKONDOO ametafasiriwaje?
Naje ktk lugha ya kiingereza iliyotumika mwanzo kuingizia huu ujinga kwa Waafrikana inatafairiwaje?
We don't know...Hadi Leo haijulikani ni lini na nani aliandika vitabu vitano vya mwanzoIlipoanza kwenye maandishi
Chimbuzi zipoWe don't know...Hadi Leo haijulikani ni lini na nani aliandika vitabu vitano vya mwanzo
KivipiChimbuzi zipo
Logical non sequitur.Wewe unaweza kuthibitisha uwepo wa Babu yake wa Babu yake wa Babu yake Babu yako iwapo haukumuona?
Kwanza kabisa, hakuna mwanadamu.Thibitisha kwamba uislamu sio chimbuko la mwanadamu.