Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Mungu ni energy kama ni energy means yupo
 
Hizo historical sites zimeundwa baadae ili kuvuta watalii...labda Muhammad ila za uyahudi nyingi ni fake ka unabisha fuatilia mtandaoni
Feki kivipi wakati hadi kwenye maandiko zipo.
Biblia Ina Zaid ya miaka elf 2 tangu kuwepo kwake Duniani
 
Kuiywa mwana-kondoo ni ishara ya UNYENYEKEVU WA KIJINGA wa Waafrika wasiojitambua.

Hivi kwenye biblia MWANAKONDOO ametafasiriwaje?

Naje ktk lugha ya kiingereza iliyotumika mwanzo kuingizia huu ujinga kwa Waafrikana inatafairiwaje?
Waje wakujibu wanakondoo
 
Bila kumsahau Ibrahim na Musa wote walimwona Mungu. Hao ni wale wanaobisha kwa mistari ya kusomewa na Mchungaji au Padri lakin infact wao hawaijui biblia.
 
Wewe unaweza kuthibitisha uwepo wa Babu yake wa Babu yake wa Babu yake Babu yako iwapo haukumuona?
Logical non sequitur.

Kutoweza kuthibitisha kitu kikichokuwepo hakuthibitishi kitu ambacho hakipo kipo.

Mungu anayesemwa kuwa wenye sifa za kuwa muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote, na muumba wa huu ulimwengu anathibitishikabkuwa hayupo, kimantiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…