Kwa nini kuamini kuwe ni jambo muhimu?Kabla ya kukuthibitishia, je, unaamini kwamba Mungu yupo?
Kwasababu kumjua Mungu hakuhitaji akili za kibinadamu, ko nitakapokuwa nathibitisha kwamba Mungu aliwahi tembea dunia kama binadamu utakataa kwakuwa hakutakuwa na ushahidi wa kuonekana kwa macho.Kwa nini kuamini kuwe ni jambo muhimu?
Ikiwa mimi kuamini au kutoamini hakuwezi kubadili ukweli.
Kama Mungu yupo, halafu mimi naamini hayupo, hilo halibadilishi ukweli kwamba yupo. Imani yangu ina umuhimu gani hapo?
Kama Mungu hayupo, halafu mimi naamini yupo, hilo halibadilishi ukweli kwamba hayupo. Imani yangu ina umuhimu gani hapo?
Kwa nini unaona imani ni kitu muhimu wakati imani si lazima iwe katika kweli?
Kea nini unapngelea imani, badala ya fact?
Kama kumjua Mungu hakuhitaji akili za binadamu wewe umemjua kwa akiki gani, za popobawa?Kwasababu kumjua Mungu hakuhitaji akili za kibinadamu, ko nitakapokuwa nathibitisha kwamba Mungu aliwahi tembea dunia kama binadamu utakataa kwakuwa hakutakuwa na ushahidi wa kuonekana kwa macho.
Lakini pia nitatumia biblia kama kitabu cha rejea nitakapokuwa nakuthibitishia hilo jambo.
Je, unakubaliana na maandiko yaliyomo katika biblia kwamba sio visa vya kubuni?
Imani ni bayana ya mambo ya kiroho..ukielewa hapo tu hatutabishana tena.
Sibishani.Wee pia unabishana
Umeongea kulingana na uelewa wako,! Dini sio kigezo cha wewe kutokua na akili ya ubunifu. Unaweza fanya vitu vikubwa na bado ukawa na dini yako.Kuna dini zilianza Miaka zaidi ya 300,000 kabla ya Ukristo, why uamini Ukristo ndi ukweli? Kwa nn Mungu asiweke dini moja na miungu isiabudiwe kabisa?:Si anao uwezo huo? Hii mikanganyiko ya nani yupi sahihi na nani hayupo sahihi ndo inaleta maswali...
Hizo ni story za kusadikika Tu 😂, afla ulela ulelaHebu fikiria kwa makini kuhusu "mbinguni na motoni " ni mbinu tu za hawa wemye makampuni ya dini ili kutishia watu hasa wale wa dunia ya tatu.
Binaadamu kiumbe jeuri sana.Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.
Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"
Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!
Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.
Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!
Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.
Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?
Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?
Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?
Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.
Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!
Atheists make sense than who are not
hata mimi nahisi ivo.! hakuna life tena.!Kwanini kifo kiwe ending game? Do you believe that there is no chance of life after death?
Mungu ni roho na sayansi ni vitu vyenye kushikika. Kinachofikirisha ni ukweli kwamba hao wanasayansi Ijumaa au Jumapili wanaamkia misikitini na makanisani.Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.
Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"
Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!
Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.
Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!
Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.ju
Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?
Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?
Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?
Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.
Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!
Atheists make sense than who are not
Jeuri kaipata ukubwani baada ya kupata akili timamu. Mungu ni roho haonekani lakini adhabu zake zipo hai hajazisitisha.Binaadamu kiumbe jeuri sana.
Umeumbwa kutoka kwenye tumbo la mamaako kama tone la manii kisha ukawa pande la damu kisha pande la nyama mpaka kua kiumbe kamili, umezaliwa ukiwa huna unalolijua.
Eti baada ya kua na ufahamu unakanusha uwepo wa Mungu aliekuumba [emoji3]
Hii dunia miaka 1500 tu iliopita hakukua na hao wanasayansi wenu watu waliishi wakaja wengine mpk leo tupo sisi na miaka zaidi ya 100,000 imepita.
Ardhi na mbingu havikuumbwa ili tu uje uishi ustarehe kisha ufe ukidhani ndo umemaliza.
Hawawi sawa wenye akili na wasio na akili, na kila mmoja atalipwa kwa haki kwa alioyatenda.
Nachosema tu ni kwamba baada ya kifo ndo utajua Mungu yupo au hayupo.
Kwa huo mfano wa Covid 19, unamaanisha ndio ukuu wa Mungu katuonyesha au umemaanisha nini sijakupata.Mungu ni roho na sayansi ni vitu vyenye kushikika. Kinachofikirisha ni ukweli kwamba hao wanasayansi Ijumaa au Jumapili wanaamkia misikitini na makanisani.
Ukiugua hata ukiwa mwanasayansi muda mfupi kabla hujaaga dunia ukiwa mkatoliki unaitiwa Padre kwa ajili ya upako wa mwisho.
Ukuu wa Mungu ni mkubwa kuliko uwezo wa wanasayansi wa kuja na majibu kwa shida za ulimwengu huu, Mfano hai ni namna Covid 19 ilivyotesa na kuua mamilioni mwishoni mwa muongo uliopita na mwanzoni mwa huu wa sasa.
Punguza kufuru, naamini umri wako ni mdogo kuna mengi utakuja kuyajua miaka ijayo.
Tuiheshimu nguvu kubwa ya muumba ipo siku zote. Tatizo la binadamu la kusahau mapema.Kwa huo mfano wa Covid 19, unamaanisha ndio ukuu wa Mungu katuonyesha au umemaanisha nini sijakupata.
Ni watu Wana depression kutokana na magonjwa ya Muda mrefu, hasa cancer, HIV, ujoblessKinachoniacha hoi hata watu wenye akili wanaenda kwa Mwamposa.
Mkuu , umeachanga ma file vibaya Sana.Tuiheshimu nguvu kubwa ya muumba ipo siku zote. Tatizo la binadamu la kusahau mapema.
Kule Italia muda mfupi kabla ya ugonjwa kuibuka walifanya ushenzi mwingi sana wa ushoga, ikafika wakati wa adhabu iliyo kuu wakafa maelfu kila kukicha.
Mwanasayansi ikifika Jumapili au Ijumaa anakuwa wa kwanza kanisani au msikitini, ndio ujue nguvu ya Mungu ilivyo.
Kiburi na ukosefu mzima wa unyenyekevu ndio sababu ya kwanza ya mipango yetu mingi kufia njiani.
Tumheshimu Mungu tusidanganywe na kiburi cha sayansi.Mkuu , umeachanga ma file vibaya Sana.