Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Hebu fikiria kwa makini kuhusu "mbinguni na motoni " ni mbinu tu za hawa wemye makampuni ya dini ili kutishia watu hasa wale wa dunia ya tatu.
Na walioleta hii 'dhahania' hawana time nayo sasa, ila tuloletewa sasa...hatutaki kustuka
 
Kama kumjua Mungu hakuhitaji akili za binadamu wewe umemjua kwa akiki gani, za popobawa?

Biblia ina contradiction kibao, nikikuwekea hapa huwezi kuzitatua.

Bisha.
Haya weka Contradictions hata mbili tu nianze nazo.
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Unasema kifo ndio mwisho je unajua kifo amekileta Nan? mpaka uwe mwisho wetu
 
Hii mada mukifikia hitimisho!!!! niko pale. Dini ni ya waumini na dunia ni ya wasioamini. Muumini hana mafanikio duniani, ila ana maendeleo, ila asieamini, anapambana apate mafanikio, hakika hatopata ila maendeleo. Kwan mafanikio hayako duniani. Swali ni je asieamini kuwa kuna maisha baada ya dunia ataelewa nachokisema? Jibu ni hapana. Kwahvyo maisha ni kuchagua imma uchague dini ikupe maendeleo leo na mafanikio hereafter au uchague dunia ikupe maendeleo leo bila mafanikio kesho. Acheni utani nyie watu mungu yupo, alikuepo, na atakuepo. Hv hamuogopi???
 
Ukiwa mwongo ujue namna ya kuwa na kumbukumbu. China hawana dini..? Nachojua china wana dini yao.

Halafu pia kuna wana sayansi km albert eistein walikua na imani kubwa saana kwa Mungu.

Soo hata sayansi inategemea imani ili kuwa na nia ya kutafuta chanzo mpaka hitimisho.

Dini ni ya watu wenye akili sema vichaa ndio hawana dini
Well said!!
 
Mkuu miongoni mwa watu wenye upeo mkubwa wa kujibu maswali yanayotatiza miongoni mwa watu na kuonekana kana kwamba hayawezi kujibika ww umeweza kuyajibu kwa usahihi zaidi..

Kuhusu sayansi haiwezi kujibu mambo yote kuhusiana na maisha.

Ikiwa leo kila kitu kinajiendesha kwa utaratibu uliopangwa kwa maana yupo mpangaji(muanzilishi) itawezekanaje kila kitu kwa dunia?

Maana ukisema hakuna dini ni sawasawa na kusema hakuna muumba.

Swali la msingi ni kujua tu ni ipi dini sahihi na ipi sio sahihi, hapa ndipo panapohitajika tafiti za kielimu pasina kuendeshwa na utashi wa nafsi.
Uko sahihi
 
Ukimsoma Karl Marx kwa makini utagundua dini haina maana. Acha kufanya kazi ufunge bila kula kwa maombi ili upate!!! Mungu wa kweli (sio huyu wa mchongo wa Wayahudi) hataki kuwapa mateso watoto wake. Karl Marx alienda mbali na kusema "hakuna Mungu".
 
Mchanganyo wa Quran unaanzia pale aliposhushiwa Muhammad ili aje atusambazie Dunia nzima! Harafu humohumo kwenye Quran imeandikwa Kwa kumsifia Mungu Ni mwenye haki na usawa asiye na ubaguzi right?sasa ilikuwaje ampe mtu mmoja habari muhimu kama hizi za kumjua yeye na Sheria zake ili aje atusambazie na sie !inashangaza Sana, hii Ni sawasawa uwe na watoto sita Kisha unaamua kumpenda na kumsomesha mtoto mmoja huku uwezo wa kuwasomesha wote unao huu ni ubaguzi ambao hata kibinadamu tu ni impossible! kitu kingine tutamuaminije Muhammad kama kweli alishushiwa na Mungu Hayo maandiko ya Quran pasi na Shaka?hii mikanganyiko ya kuhusu Dini aliyeileta Ni Mungu mwenyewe Kwa kuleta ubaguzi kwenye kufikisha taarifa utampaje mtu mmoja na duniani tuko billions of people?dini zote ni ujanja ujanja tu tupo kama tunapiga ramli Hakuna mwenye uhakika😁😁
Kuna watu ambao Hadi wanafariki hawataongea na Mungu Wala kusikia sauti yake. Lakini wengine wapo wengi tu ambao huisikia sauti yake na tena kuhojiana nae. Au wewe mwenyewe umewahi mshukuru Mungu kwakuzaliwa binadamu badala ya mbwa? Ni upendo wake kuwa hivi tulivyo. Biblia ingeandikwa na mwanadamu lazima angetaka ajulikane tu ili asifiwe. Tofauti Ni kwamba hata waandishi walihimiza utukufu kwa mwingine.
 
Hakika ni akili ndogo ndio inayoweza kuacha utamaduni wake na kukumbatia utamaduni wa kigeni. Wachina walikataa na kuendelea na utamaduni wao.
 
Kuna watu ambao Hadi wanafariki hawataongea na Mungu Wala kusikia sauti yake. Lakini wengine wapo wengi tu ambao huisikia sauti yake na tena kuhojiana nae. Au wewe mwenyewe umewahi mshukuru Mungu kwakuzaliwa binadamu badala ya mbwa? Ni upendo wake kuwa hivi tulivyo. Biblia ingeandikwa na mwanadamu lazima angetaka ajulikane tu ili asifiwe. Tofauti Ni kwamba hata waandishi walihimiza utukufu kwa mwingine.
ivi mungu ni zaifu.? mbona watu ndo humtetea mungu na dini take watu nauwa wenzao walio ikataa dini kwakigezo eti wanatetea dini yamungu au huyo mungu sio muweza wa yote na Kuna mengi hawezi?
 
ivi mungu ni zaifu.? mbona watu ndo humtetea mungu na dini take watu nauwa wenzao walio ikataa dini kwakigezo eti wanatetea dini yamungu au huyo mungu sio muweza wa yote na Kuna mengi hawezi?
Imani chanzo chake Ni kusikia na kusikia huja kwa neno la Mungu. Ufalme wake umo ndani yetu kwahiyo lazima tumtangaze
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not

Kwa hivyo wewe unakubali mwanaume mwenzako akuwoe ?? maana inayokataza ni dini , wasiofuata dini wanaruhusu
 
Kwa hivyo wewe unakubali mwanaume mwenzako akuwoe ?? maana inayokataza ni dini , wasiofuata dini wanaruhusu
Hili limeingiaje ? Mtu akiwa atheist na ushoga wapi na wapi?
🤣Watu mnaforce kuchangia mada kwa kupenyeza ushoga tu
 
Hili limeingiaje ? Mtu akiwa atheist na ushoga wapi na wapi?
🤣Watu mnaforce kuchangia mada kwa kupenyeza ushoga tu

Mtu Akiwa atheist ina maana haamini inachosema dini. Dini inakataza ushoga, kumwoa mama yako mzazi, dada yako nk Kwa hivyo unapoipinga dini ina maana unakubaliana na kuruhusika kuyafanya hayo yaliyokatazwa
 
Mtu Akiwa atheist ina maana haamini inachosema dini. Dini inakataza ushoga, kumwoa mama yako mzazi, dada yako nk Kwa hivyo unapoipinga dini ina maana unakubaliana na kuruhusika kuyafanya hayo yaliyokatazwa
Atheist ni mtu asiye na imani ya Mungu.
Mambo ya kumuoa mama yako si katiba yako na Sheria za nchi zinakataza. Na kwani we mpaka mtu stand ya makumbusho akuhubirie kwamba usimle mama Ako ndo hautamla.. mbona unajishusha hadhi kutoka kua binadamu mpaka kua sijui mnyama Gani. So unabidi sheikh akuambie usali mara Tano kwa siku ndo hapo hutamtamani mama Ako.. bila wewe kuzaliwa dini ya mzee wako ungekuwa shoga, unakula mama dada
🤣Afu mbona umebase kwenye ngono tu...ndo akili yako ilipoishia. Inaonekana ndo unavyotaka unaumia watu wanafaidi..duu bac amini tu mungu sijui dini mama wa watu asiliwe
 
Back
Top Bottom