Gef
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 500
- 433
Kuna miaka fulani nilifanya kazi Hospitali 1 kubwa sana ya Kanisa ipo mikoanya Kaskazini kule, sasa pale wakaja doctors from USA kwa project moja hivi tukawa tunaoshi nao na tukazoeana kbsa bcoz program zao tulikua tunafanya pa1 sasa kuna Sister mmoja ni Mnigeria nae alikuwepo miongoni mwa wanaproject 1 day anawaambia wale wazungu Kesho ni muda wa kwenda Kanisani tena anawalazimisha kabisa (WANIGERIA SI MNAWAJUA WALIVYO WAKOROFI?) Wale wazungu wakamwitikia lkn kichwani mwao walikua wanamg’ong’aYes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.
Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"
Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!
Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.
Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!
Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.
Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?
Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?
Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?
Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.
Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!
Atheists make sense than who are not
Mmoja akanifata kuniambia Sr. Z anatuambia maneno ya kwenda Kanisani wakati anasema yeye sasa mzungu huyo “Mimi nina miaka 27 sikumbuki kanisani nilienda lini labda mama alinipeleka nikiwa mdogo” Mm sifagilii kabisa kuhusu hizo mambo😂 ndio utaamini waafrika wengi sisi ni makolo tunaamini mavitu tuliyomezeshwa ambayo yanatugharimu muda na hela nyingi sana