Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini inakataza uovu, lkn sio kwamba mwanadini hawezi kutenda dhambi hasha! Ambacho kinaliliwa hapa Ni ile hofu yakutenda maovu na ambayo inatokana na Dola pamoja na Mungu. Mwanadamu bila contro Ni mnyama amini nakwambia. Chukulia huamini Mungu then unawatoto unawapa maadili yanayotokana na Nini? Sayansi au!!
Mbona unafanya false dichotomy...so sayansi ni nini kwako...mbona unaitaja sana. So assuming we upo na mama yako sehemu ambao serikali haiwezi kukupata na huamini mungu so automatically utadinda na kumbaka au.. mbona unakuwa ka kichaa.. kama wewe ni mnyama (whatever that means) ni wewe usilazimishe. Ila that shows mtu halisi. So dini yangu ambayo isharuhusu utumwa na ubakaji pamoja na ubaguzi wa kila aina unaiona ina mamlaka kubwa kuliko ubinadamu. Kwenye amri kumi ni mbili tu ambazo ni Sheria ya nchi, je ni wajinga. Kwa nini hawajaweka Sheria ya kupumzika siku ya sabato kisa Fulani alimaliza kuumba ulimwengu ndani ya siku sita? Mbona hamna Sheria ya kutotengeneza sanamu? Tulia utumie akili sio unaropoka
 
Mbona unafanya false dichotomy...so sayansi ni nini kwako...mbona unaitaja sana. So assuming we upo na mama yako sehemu ambao serikali haiwezi kukupata na huamini mungu so automatically utadinda na kumbaka au.. mbona unakuwa ka kichaa.. kama wewe ni mnyama (whatever that means) ni wewe usilazimishe. Ila that shows mtu halisi. So dini yangu ambayo isharuhusu utumwa na ubakaji pamoja na ubaguzi wa kila aina unaiona ina mamlaka kubwa kuliko ubinadamu. Kwenye amri kumi ni mbili tu ambazo ni Sheria ya nchi, je ni wajinga. Kwa nini hawajaweka Sheria ya kupumzika siku ya sabato kisa Fulani alimaliza kuumba ulimwengu ndani ya siku sita? Mbona hamna Sheria ya kutotengeneza sanamu? Tulia utumie akili sio unaropoka
Wewe jamaa! Hivi Ni shit au fact zinazokufanya kuelezeka?

Hiyo sayansi inayokutoa povu now, imekuja kwa ndege vilevile. Ifike hatua atheists muungane kuanzisha kitabu tutakutana kwenye followers.

Sheria za nchi zimechukua amri nyingi tu za Mungu. Kuna usiue, usiibe , usizini, usiseme uongo. Sasa wewe toa ushahidi wa uongo uone Kama utaachwa.

Acha wivu ndugu yangu, kuona wanadini wanafaidi. Wenye akili wanasogeza mkono kwenye sahani angalau kuona kama watapata chochote kitu. Shauri yako, utabaki na povu zako sisi tunabaki na sadaka zetu.
 
Wewe jamaa! Hivi Ni shit au fact zinazokufanya kuelezeka?

Hiyo sayansi inayokutoa povu now, imekuja kwa ndege vilevile. Ifike hatua atheists muungane kuanzisha kitabu tutakutana kwenye followers.

Sheria za nchi zimechukua amri nyingi tu za Mungu. Kuna usiue, usiibe , usizini, usiseme uongo. Sasa wewe toa ushahidi wa uongo uone Kama utaachwa.

Acha wivu ndugu yangu, kuona wanadini wanafaidi. Wenye akili wanasogeza mkono kwenye sahani angalau kuona kama watapata chochote kitu. Shauri yako, utabaki na povu zako sisi tunabaki na sadaka zetu.
🤣🤣🤣Sayansi unaijua ni nini kwanza ? Au unaongea. Niambie science na atheism au dini vimeingiaje. Niambie Sheria ya nchi ambayo inanipangia pa kukojoa na style za kumkunja demu wangu..
 
🤣🤣🤣Sayansi unaijua ni nini kwanza ? Au unaongea. Niambie science na atheism au dini vimeingiaje. Niambie Sheria ya nchi ambayo inanipangia pa kukojoa na style za kumkunja demu wangu..
Kuzini Kuna njia nyingi za kukosea kisheria. Kuna ugoni ambao japo polisi hawadili nao lkn mahakamani Ni kesi.

Unawaza kuwakunja wanawake tu. Na hiyo ndio sababu iliyokutoa kwenye dini, coz Kama ulishindwa kuzishika amri kumi, ubinadamu utauwezea wapi wewe ndugu yangu? Ukishakuwa na hisia za ubinadamu tayari unaingia kwenye dini moja kwa moja pasipo wewe kujua.
 
Kuzini Kuna njia nyingi za kukosea kisheria. Kuna ugoni ambao japo polisi hawadili nao lkn mahakamani Ni kesi.

Unawaza kuwakunja wanawake tu. Na hiyo ndio sababu iliyokutoa kwenye dini, coz Kama ulishindwa kuzishika amri kumi, ubinadamu utauwezea wapi wewe ndugu yangu? Ukishakuwa na hisia za ubinadamu tayari unaingia kwenye dini moja kwa moja pasipo wewe kujua.
🤣🤣🤣🤣Jinsi ya kucontrol watu ni kuzuia wasijue vitu, kuwapangia wa kulala nae, kuweka rewards/punishments kwa vitu vidogo na kuweka Sheria lukuki na ngumu kufuta. Nilikuwa nafanya mapenzi kabla ya kuacha dini kama ulivyo wewe unafanya na wengine wote.. Kuna watu wanaliwa jmoc club afu jpili wanaenda kanisani asa maisha Gani hio... Nchi huru ishi kibinadamu si tushatoka huko kwa mtu uarabuni kuamka kusema muumbaji kanituma niwaambie hivi.. hatutaki udalali
 
Kuna ule upugi, mtu kanunua kitabu cha dini, anaamua kukichoma au kukikojolea, halafu nchi nzima watu wanauana, wanachoma magari, nyumba n.k kisa eti mtu kachoma kitabu cha mungu...huu ni ujuha na ujinga wa viwango vya lami. Low minded kabisa. Dini zinatupumbaza badala ya kutusaidia

Uongo kvp? Ina maana wewe mkuu unafanya kila unachoweza kufanya kisa tu unaweza kufanya au unafanya unachotaka kufanya ambacho una uwezo nacho?
mungu hawezi kuitetea dini take na yeye mwenyewe.? asa anatetewa na watu ambao dhaifu sio powerful Kama yeye.!
 
mungu hawezi kuitetea dini take na yeye mwenyewe.? asa anatetewa na watu ambao dhaifu sio powerful Kama yeye.!
Kwani hiyo dini ya Mungu ni kwa ajiri ya nani? Halafu hao ambao wanaishambulia hiyo dini ni watu powerful kama Mungu au nao ni dhaifu?
 
Dini ni utapeli au kuna matapeli kwa mgongo wa dini? Maana utapeli upo hadi mahospitalini na unatapeliwa na madaktari kabisa, sasa hapo utasema udaktari ni utapeli?
Watu awajui maana ya neno dini ndiyo maana wanalipinga kwa ujumla ...neno dini maana yake HAKI YA MUNGU AU NJIA YA HAKI) halina shida yoyote tatizo ni MAADUI WA HAKI...ambao nao ujitaja kwa dini ...maana halisi ya (MBWA MWITU WALIO JIVISHA VAZI LA KONDOO.
 
Kwani hiyo dini ya Mungu ni kwa ajiri ya nani? Halafu hao ambao wanaishambulia hiyo dini ni watu powerful kama Mungu au nao ni dhaifu?
nyie ndo mnasema sio Mimi. asa me nitakujibu nini.? asa Kama yeye muweza wa yote asa kwanani wew mtu utumia nguvu kuniaminisha kwamba yupo na anatenda.? atende nione niamini "simple"
 
nyie ndo mnasema sio Mimi. asa me nitakujibu nini.? asa Kama yeye muweza wa yote asa kwanani wew mtu utumia nguvu kuniaminisha kwamba yupo na anatenda.? atende nione niamini "simple"
Sasa ukishaona anatenda baada ya hapo kuna kuamini nini tena? Hivi huwa mnaelewaga kweli mnachokiongeaga?

Na ukisema mie natumia nguvu kukuaminisha, sasa huyo Mungu alazimike kujitokeza kwako ili ndio umuamini kwani kumuamini kwako unamuongezea faida gani au kutomuamini kwako unampunguzia nini? Ushalifikiria hilo mkuu? Na pia kama atafanya hivyo si utakuja tena na hoja ya kwamba kama ana uwezo wote kweli na ndio muumbaji kwanini ajafanya watu wote wazaliwe na ufahamu wa kumjua yeye au kumuamini yeye toka tunazaliwa?
 
Sasa ukishaona anatenda baada ya hapo kuna kuamini nini tena? Hivi huwa mnaelewaga kweli mnachokiongeaga?

Na ukisema mie natumia nguvu kukuaminisha, sasa huyo Mungu alazimike kujitokeza kwako ili ndio umuamini kwani kumuamini kwako unamuongezea faida gani au kutomuamini kwako unampunguzia nini? Ushalifikiria hilo mkuu? Na pia kama atafanya hivyo si utakuja tena na hoja ya kwamba kama ana uwezo wote kweli na ndio muumbaji kwanini ajafanya watu wote wazaliwe na ufahamu wa kumjua yeye au kumuamini yeye toka tunazaliwa?
Sasa kumbe Sina ninachoongeza Wala kupunguza. asa kwa mnachinja watu mnalazimisha waamini.!?
 
Ungekuwa smart kama ungetoa mifano ya hiyo michanganyo kuliko kuandika vitu kama vile wote tumefundishwa na mwalimu mmoja au tumevisoma wote kwa pamoja hivyo vitabu

Ni dini gani inakufundisha kuikataa sayansi? Kwa nini unafikiri dini na sayansi vimepingana? Sayansi inaanza na ku observe nature, study it, experiment it na baadae kuja na uvumbuzi. Dini inajaribu kujibu maswali kama tumetoka wapi, kwa nini tuko duniani na hatima yetu kama binadamu ni nini? Hamna sayansi iliyo na majibu ya maswali haya mpaka leo


Hayo ya wafuasi wa dini kushabikia pande zinazogombana ni matatizo yao binafsi labda na viongozi wao vipofu, at least kwenye mafundisho ya Biblia nina uhakika hakuna mahali inatuambia kushabikia upande wa Israeli inapofanya mauaji ya wasio na hatia.

Lakini pia sijaona sayansi ikija na suluhisho la huo mgogoro. Halafu 86% ya wamarekani hawana dini umetoa wapi hizi takwimu. Yani hata kwa ku google tu from different sources utaona stats zao zinasema US has above 50% only Christians.

Hao wavumbuzi wa technologies mbalimbali wote hawana dini? Technologies nyingi za leo zimewezekana kwa sababu ya sayansi iliyofanyiwa kazi na wanasayansi walioamini katika uwepo wa Mungu kuanzia kina Isaac Newton mpaka kina Albert Einstein. Nimesema hivi kwa sababu umegusia Atheism, labda kama ungetofautisha dini na theism.

Leo hii kuna shule na vyuo vikuu vingi vilivyoanzishwa na taasisi za dini ambavyo vime produce wanasayansi wakubwa duniani.

Ungeweka hapa details kidogo tujifunze vizuri hoja yako lakini kukataa uwepo wa Mungu au dini jumla jumla bila hoja yoyote hakukufanyi wewe au watu wa aina yako kuwa na akili.
Buddhists, Hindus (hiyo ni mifano michache tu) na beliefs nyingine zote ambazo hazijaanzishiwa Middle East haziamini katika huyo Mungu/God/Allah wenu lakini pia nazo ni dini.
Bora hata Scientologists japo nao ni wasanii tu kama wa dini nyingine zote, kuamini vitu kwa kuwa umeshawishiwa(umekuwa brainwashed) ni ukosefu wa akili.
 
Sasa kumbe Sina ninachoongeza Wala kupunguza. asa kwa mnachinja watu mnalazimisha waamini.!?
Ukichinjwa unakufa utalazimishwa nini tena baada ya kufariki? Imani huwa hailazimishwi kivyovyote vile, huwezi kusema kwamba kuna mtu kaamuwa kuamini baada ya kuona watu wanachinjwa.
 
Wewe jamaa! Hivi Ni shit au fact zinazokufanya kuelezeka?

Hiyo sayansi inayokutoa povu now, imekuja kwa ndege vilevile. Ifike hatua atheists muungane kuanzisha kitabu tutakutana kwenye followers.

Sheria za nchi zimechukua amri nyingi tu za Mungu. Kuna usiue, usiibe , usizini, usiseme uongo. Sasa wewe toa ushahidi wa uongo uone Kama utaachwa.

Acha wivu ndugu yangu, kuona wanadini wanafaidi. Wenye akili wanasogeza mkono kwenye sahani angalau kuona kama watapata chochote kitu. Shauri yako, utabaki na povu zako sisi tunabaki na sadaka zetu.
Aisee 🤔🤔🤔,
 
Baadhi ya wanasayansi bana!!!! Wakifanikiwa kugundua kitu/siri/principle wanasema ni FACT..lkn kipindi wanahangaika kujua hicho kitu walikataa uwepo wacho sababu bongo zao zilikuwa hazipata uelewa wacho. Je, kuna siri ngapi ambazo bado hazijajulikana?? Angalia maisha yalivyokua 100 yrs back na sasa - kuna mambo mengi yalikua yanaonekana ni myth tu..but now ni realty, na hii situation haikumaanisha kwamba sababu hawajui au hatujaelewa basi vitu havipo.
Pia kuna dini na dhehebu..watu mnaongelea madhehebu (RC,Walokole, Waisalam -Shia, Sunni, Hindu n.k.).
Dini inatusaidia kujua kuwa kuna supreme being/ Mungu ambaye ndio source ya kila kitu...
Science ni njia mojawapo ya jinsi Mungu anazidi kujidhirisha kwetu na ukuu wake..
Kumbuka wanasayansi ni wavumbuzi tu - watu wanaoweza kuunganisha dots wakapata uelewa fulani ukasaidia maisha.
 
Baadhi ya wanasayansi bana!!!! Wakifanikiwa kugundua kitu/siri/principle wanasema ni FACT..lkn kipindi wanahangaika kujua hicho kitu walikataa uwepo wacho sababu bongo zao zilikuwa hazipata uelewa wacho. Je, kuna siri ngapi ambazo bado hazijajulikana?? Angalia maisha yalivyokua 100 yrs back na sasa - kuna mambo mengi yalikua yanaonekana ni myth tu..but now ni realty, na hii situation haikumaanisha kwamba sababu hawajui au hatujaelewa basi vitu havipo.
Pia kuna dini na dhehebu..watu mnaongelea madhehebu (RC,Walokole, Waisalam -Shia, Sunni, Hindu n.k.).
Dini inatusaidia kujua kuwa kuna supreme being/ Mungu ambaye ndio source ya kila kitu...
Science ni njia mojawapo ya jinsi Mungu anazidi kujidhirisha kwetu na ukuu wake..
Kumbuka wanasayansi ni wavumbuzi tu - watu wanaoweza kuunganisha dots wakapata uelewa fulani ukasaidia maisha.
Hii maada ni HOT SANA.
 
Back
Top Bottom