Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Definition hizo hapo leteni upuuzi wenu asa wa sijui mudi cjui kiarabu
Wewe inaonenakana hata Google ikisema hujitambui,..lazima utaiamini Hahh

Nakumbuka kuna mjadala mmoja hivi nikakuambia hakuna jogoo wanaofanya homosexual ukaenda ku Google, kisha ukasema eti Google imesema wapo,... Hujioni kama una shida?

Kama hata vitu unavyoviona Kwa macho yako,unasubiri Google ikuambie kuvihusu basi una safari ndefu sana ya kujikomboa kifikra.

NB:- Wanao publish taarifa Google ni watu kama Mimi na wewe tu.
 
Wewe inaonenakana hata Google ikisema hujitambui,..lazima utaiamini Hahh

Nakumbuka kuna mjadala mmoja hivi nikakuambia hakuna jogoo wanaofanya homosexual ukaenda ku Google, kisha ukasema eti Google imesema wapo,... Hujioni kama una shida?

Kama hata vitu unavyoviona Kwa macho yako,unasubiri Google ikuambie kuvihusu basi una safari ndefu sana ya kujikomboa kifikra.

NB:- Wanao publish taarifa Google ni watu kama Mimi na wewe tu.
Pia walio push taarifa kutokea kwenye biblia na Qur'an ni watu tu , wewe ulitaka taarifa itoke wapi ili iwe sahihi?
 
Una

Unafahamu Marie curie kutokea Poland?mshindi wa tuzo ya nobel mwaka 1903 na 1911
No,. Marie curie alizaliwa tu Poland lakini sehemu kubwa ya maisha yake aliishi Ufaransa na mme wake Pierre Curie .,na hata uraia wake ni Ufaransa. Mfano discovery yake kubwa ya Polonium na Radium alifanyia akiwa Ufaransa.

So,bado hakuna kitu specific ambacho tunaweza sema Poland wamevumbua.
 
Unataka kusema kabla ya ujio wa wakoloni waafrika walikuwa hawasali kwa imani zao?

Kinacho kufanya uone imani za wazungu ni bora kuliko za mababu zako ni nini?

Hizo dini zenu za kuletwa, zime wapumbaza hizo akili zenu.

Kipindi cha ukoloni babu zako hawakupewa huduma nzuri za Afya, huduma nzuri za kielimu, huduma nzuri za makazi na chakula.

Kinacho fanya useme ulipewa Dini nzuri ni nini?

Mbona wao wenyewe walikwenda kinyume na mafundisho ya dini zao?
mababu zetu waliishi zama za giza hawakumjua Mungu wa kweli mpaka walipofikiwa na injili, nuru ikawaangazia.
 
Unataka kusema kabla ya ujio wa wakoloni waafrika walikuwa hawasali kwa imani zao?

Kinacho kufanya uone imani za wazungu ni bora kuliko za mababu zako ni nini?

Hizo dini zenu za kuletwa, zime wapumbaza hizo akili zenu.

Kipindi cha ukoloni babu zako hawakupewa huduma nzuri za Afya, huduma nzuri za kielimu, huduma nzuri za makazi na chakula.

Kinacho fanya useme ulipewa Dini nzuri ni nini?

Mbona wao wenyewe walikwenda kinyume na mafundisho ya dini zao?
Enendeni ulimwenguni mwote mkaihubiri injili kwa kila kiumbe. Hilo ndilo agizo wainjilisti walilofanya kuleta injili kwa wasioijua
 
Kwanini kifo kiwe ending game? Do you believe that there is no chance of life after death?
Mpumbavu kama wewe ndiyo unaamini kuwa kunamaisha baada ya kufa,hujiulizi mbona mbwa,kuku,samaki,ngombe,punda,miti,mawe,nk havihubiliwi neno la Mungu ili viende mbinguni au viwe na maisha mengine baada ya kufa,si vinauhai pia?

Wafrika wajina ndiyo bado wanaamini katika ujinga wa kufufuka au kuwa na maisha mapya baada ya kufa
 
Ungekuwa smart kama ungetoa mifano ya hiyo michanganyo kuliko kuandika vitu kama vile wote tumefundishwa na mwalimu mmoja au tumevisoma wote kwa pamoja hivyo vitabu

Ni dini gani inakufundisha kuikataa sayansi? Kwa nini unafikiri dini na sayansi vimepingana? Sayansi inaanza na ku observe nature, study it, experiment it na baadae kuja na uvumbuzi. Dini inajaribu kujibu maswali kama tumetoka wapi, kwa nini tuko duniani na hatima yetu kama binadamu ni nini? Hamna sayansi iliyo na majibu ya maswali haya mpaka leo


Hayo ya wafuasi wa dini kushabikia pande zinazogombana ni matatizo yao binafsi labda na viongozi wao vipofu, at least kwenye mafundisho ya Biblia nina uhakika hakuna mahali inatuambia kushabikia upande wa Israeli inapofanya mauaji ya wasio na hatia.

Lakini pia sijaona sayansi ikija na suluhisho la huo mgogoro. Halafu 86% ya wamarekani hawana dini umetoa wapi hizi takwimu. Yani hata kwa ku google tu from different sources utaona stats zao zinasema US has above 50% only Christians.

Hao wavumbuzi wa technologies mbalimbali wote hawana dini? Technologies nyingi za leo zimewezekana kwa sababu ya sayansi iliyofanyiwa kazi na wanasayansi walioamini katika uwepo wa Mungu kuanzia kina Isaac Newton mpaka kina Albert Einstein. Nimesema hivi kwa sababu umegusia Atheism, labda kama ungetofautisha dini na theism.

Leo hii kuna shule na vyuo vikuu vingi vilivyoanzishwa na taasisi za dini ambavyo vime produce wanasayansi wakubwa duniani.

Ungeweka hapa details kidogo tujifunze vizuri hoja yako lakini kukataa uwepo wa Mungu au dini jumla jumla bila hoja yoyote hakukufanyi wewe au watu wa aina yako kuwa na akili.
Ndiyo maana amekwambia nyie wenye low minded hamjifikirishi hata kuhoji tu kuwa kama unafundishwa kuwa yesualikufa msalabani kwaajili yenu na kufuta dhambi zote sasa iweje leo dhamvi ziongezeke au atakuja yesu mwingine?

Kwanini ufundishwe dini na usiijue tu naturaly unapozaliwa kama SEX ambayo hata mbwa anaijua bila kufundishwa?

Hao israel mnaowaamini kwani wanaeleza mjiminge kwa biblia wakati wao wanatumia silaha nzito kujilinda na palestina?
 
Pia walio push taarifa kutokea kwenye biblia na Qur'an ni watu tu , wewe ulitaka taarifa itoke wapi ili iwe sahihi?
Anhaa,.. Nadhani Qur'an ipo tofauti kidogo, odds za Qur'an kuwa idea ya mtu tu ipo close to 0.00%

Lakini pia taarifa inaweza itokee popote na ikawa na usahihi,...ila ujinga ni pale unapoamini Google ina taarifa zote sahihi wakati kiuhalisia imejaa
1. Ukweli
2. Uongo
3. Propaganda za kila aina

Hivyo basi ukiingia Google unaweza ukatoka na moja Kati ya hivyo vitatu.
 
Tatizo Waafrika mnachanganya uwepo wa dini na uwepo wa MUNGU.

Hata nyau,kenge wakiulizwa kwanini wapo duniani wakaweza kuongea watajibu kuwa lazoma kuna aliyewaweka pamoja na mawe,miti,maziwa,nk.

Hakuna binadamu aliyeumba binadamu au miti,mawe,wanyama,nk lazima kuna muwezeshaji wa hilo ambaye makabila yooote duniani yanaamini hivyo kupitia namna tofauti.

Tuache ujinga WAAFRIKA hivi kabla ya UKOLONI na UTUMWA huo ukristu na uislam ulifundishwa wapi na kwanini haukuanza kwa siku moja duniani kote kama ilivyoanza dunia wakati wa kuiumba na uislam na ukristo ukaumbwa?
 
Ukikubali Mungu wa miujiza ambaye hapingiki wala kuthibitishika kisayansi umeshapingana na sayansi.

Ukikubali Mungu anayepimika na kuthibitishika kisayansi, umeshamuondoa huyo Mungu kwenye uungu na kumuweka kwenye kanuni ya sayansi tu.
Sayansi ni vipaji anavyotoa MUNGU kwa wanadamu ili kugundua vitu mbalimbali wapate kuendesha maisha yao kirahisi na kwa ufanisi haipingani na MUNGU bwana,ni ujinga wako tu unaokuaminisha hivyo kuwa sayansi inapingana na Mungu baada ya binadamu anayeishi katika ulimwengu wa sayansi kuweza kufanya mambo makubwa kupitia ugunduzi na binadamu anayeamini katika dini kuishi maisha ya mipaka ya kuaminishwa ujinga ili watawaliwe kifira na kushindwa kuvumbua vitu vya kumsaidia kuendesha maisha yake kwa urahisi.

Ni kanisa gani au msikiti upi umewahi kufanya uvumbuzi mkubwa kama viwandani au wanasayansi?
 
Sawa
Anhaa,.. Nadhani Qur'an ipo tofauti kidogo, odds za Qur'an kuwa idea ya mtu tu ipo close to 0.00%

Lakini pia taarifa inaweza itokee popote na ikawa na usahihi,...ila ujinga ni pale unapoamini Google ina taarifa zote sahihi wakati kiuhalisia imejaa
1. Ukweli
2. Uongo
3. Propaganda za kila aina

Hivyo basi ukiingia Google unaweza ukatoka na moja Kati ya hivyo vitatu.

Anhaa,.. Nadhani Qur'an ipo tofauti kidogo, odds za Qur'an kuwa idea ya mtu tu ipo close to 0.00%

Lakini pia taarifa inaweza itokee popote na ikawa na usahihi,...ila ujinga ni pale unapoamini Google ina taarifa zote sahihi wakati kiuhalisia imejaa
1. Ukweli
2. Uongo
3. Propaganda za kila aina

Hivyo basi ukiingia Google unaweza ukatoka na moja Kati ya hivyo vitatu.
Tena sio idea ya mtu tu ni cope and paste na ku editi kidgo close rate yake ipo 100%
 
Sayansi ni vipaji anavyotoa MUNGU kwa wanadamu ili kugundua vitu mbalimbali wapate kuendesha maisha yao kirahisi na kwa ufanisi haipingani na MUNGU bwana,ni ujinga wako tu unaokuaminisha hivyo kuwa sayansi inapingana na Mungu baada ya binadamu anayeishi katika ulimwengu wa sayansi kuweza kufanya mambo makubwa kupitia ugunduzi na binadamu anayeamini katika dini kuishi maisha ya mipaka ya kuaminishwa ujinga ili watawaliwe kifira na kushindwa kuvumbua vitu vya kumsaidia kuendesha maisha yake kwa urahisi.

Ni kanisa gani au msikiti upi umewahi kufanya uvumbuzi mkubwa kama viwandani au wanasayansi?
Mungu yupi
 
Sayansi ni vipaji anavyotoa MUNGU kwa wanadamu ili kugundua vitu mbalimbali wapate kuendesha maisha yao kirahisi na kwa ufanisi haipingani na MUNGU bwana,ni ujinga wako tu unaokuaminisha hivyo kuwa sayansi inapingana na Mungu baada ya binadamu anayeishi katika ulimwengu wa sayansi kuweza kufanya mambo makubwa kupitia ugunduzi na binadamu anayeamini katika dini kuishi maisha ya mipaka ya kuaminishwa ujinga ili watawaliwe kifira na kushindwa kuvumbua vitu vya kumsaidia kuendesha maisha yake kwa urahisi.

Ni kanisa gani au msikiti upi umewahi kufanya uvumbuzi mkubwa kama viwandani au wanasayansi?
Sayansi inakwenda kwa uthibitisho.

Huyo Mungu wako hujathibitisha kwamba yupo, unapiga hadithi tu kwamba yupo.

Mpaka hapo sayansi ishapingana na Mungu wa hadithi zako ambaye hujamthibitisha kwamba yupo.

Kama unabisha, thibitisha huyo Mungu yupo, halafu tuuchambue huo uthibitisho wako kwenye mizani ya kisayansi kama unakubalika na sayansi ama haukubaliki.
 
Enendeni ulimwenguni mwote mkaihubiri injili kwa kila kiumbe. Hilo ndilo agizo wainjilisti walilofanya kuleta injili kwa wasioijua
Ina maana Mungu huyo au Yesu huyo hakujua kwamba anapaswa kufahamika na watu wote ulimwenguni kwa wakati mmoja?

Kwa nini afahamike na wachache kisha hao wachache wawasambazie wengine habari hizo?

Mungu muumba wa vyote, Alishindwaje kutambulika duniani kote na viumbe wote kwa wakati mmoja?
 
mababu zetu waliishi zama za giza hawakumjua Mungu wa kweli mpaka walipofikiwa na injili, nuru ikawaangazia.
Una uthibitisho upi wa kwamba mababu zetu hawakumjua Mungu wa kweli?

Na unathibitishaje, Mungu wa hao wazungu walio kuletea na kupumbaza ndio Mungu wa ukweli?

Leta uthibitisho wa kwamba mababu zetu hawakumjua Mungu.
 
Back
Top Bottom