Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

β„Žπ‘Ž β„Žπ‘Ž β„Žπ‘Žπ‘Žπ‘Žπ‘Ž, π‘šπ‘Žπ‘–π‘”π‘–π‘§π‘œ π‘¦π‘Ž π‘π‘Žπ‘π‘–π‘– πΉπ‘™π‘œπ‘Ÿπ‘Ž π‘›π‘Žπ‘¦π‘œ π‘šπ‘›π‘Žπ‘Žπ‘šπ‘–π‘›π‘–? π‘ β„Žπ‘’β„Žπ‘’π‘‘π‘Ž 𝑛𝑦𝑖𝑛𝑔𝑖 𝑛𝑖 π‘π‘™π‘Žπ‘›π‘›π‘’π‘‘ 𝑖𝑙𝑖 π‘˜π‘’π‘œπ‘›π‘”π‘’π‘§π‘Ž π‘€π‘Žπ‘‘π‘’π‘—π‘Ž/π‘€π‘Žπ‘’π‘šπ‘–π‘›π‘–.

π‘ˆπ‘˜π‘–π‘‘π‘œπ‘Ž π‘ π‘Žπ‘‘π‘Žπ‘˜π‘Ž π‘–π‘›π‘Žπ‘˜π‘’π‘ π‘Žπ‘–π‘‘π‘–π‘Ž 𝑛𝑖𝑛𝑖 π‘§π‘Žπ‘–π‘‘π‘– π‘¦π‘Ž π‘˜π‘’π‘šπ‘›π‘’π‘›π‘’π‘π‘’π‘ β„Žπ‘Ž π‘šπ‘β„Žπ‘’π‘›π‘”π‘Žπ‘—π‘–?

π‘†π‘Žπ‘‘π‘Žπ‘˜π‘Ž π‘˜π‘Žπ‘‘π‘œπ‘’ π‘˜π‘€π‘Ž π‘€π‘Žπ‘ π‘–π‘œπ‘—π‘–π‘€π‘’π‘§π‘Ž π‘Žπ‘’ π‘˜π‘Žπ‘ π‘Žπ‘–π‘‘π‘–π‘’ 𝑒𝑗𝑒𝑛𝑧𝑖 π‘€π‘Ž β„Žπ‘œπ‘ π‘ π‘›π‘˜, β„Žπ‘’π‘˜π‘œ π‘›π‘‘π‘œ π‘˜π‘’π‘›π‘Ž π‘’π‘π‘œπ‘›π‘¦π‘Žπ‘—π‘– π‘šπ‘˜π‘’π‘’.
Sijasema naamini ila nimekupa mfano makanisa haya yanavyovuna pesa nyingi kwa watu wakubwa. Sasa wewe kumbe hujui hata sadaka zinafanya nini umemezeshwa vijiweni. Sadaka zinatumika asilimia kubwa kwa wahitaji sio kwamba kuna chumba Mungu anakuja kuchukua. Pia ni hazina ya kanisa hata likitokea jambo lolote linanyooka kiurahisi kama usafiri wa kanisa. Uandaaji wa mikutano na vitu vingine. Mashule yaliyojengwa na makanisa ni mangapi? Mahospitali yako mangapi? Au unadhani kanisa ni diambond linapotoa msaada liite wasafi tv kukutangazia limetoa wapi na kwa nani. Mkristo wa kweli hawezi kutangaza nimempa fulani msaada wa kiasi fulani ila hiyo hesabu ingia kanisani wanatoaga.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
π‘†π‘–π‘Ÿπ‘Žβ„Žπ‘Ž π‘–π‘›π‘Ž π‘™π‘–π‘šπ‘–π‘‘ π‘–π‘™π‘Ž β„Žπ‘’π‘¦π‘œ π‘†π‘’π‘π‘’π‘Ÿπ‘›π‘Žπ‘‘π‘’π‘Ÿπ‘Žπ‘™ π‘šπ‘›π‘Žπ‘’π‘šπ‘’π‘Žπ‘šπ‘–π‘›π‘– π‘šπ‘›π‘Žπ‘ π‘’π‘šπ‘Ž β„Žπ‘Žπ‘›π‘Ž π‘™π‘–π‘šπ‘–π‘‘ π‘–π‘™π‘Ž π‘π‘Žπ‘‘π‘œ π‘€π‘’π‘›π‘§π‘Žπ‘˜π‘œ π‘€π‘Žπ‘π‘Žπ‘™π‘’π‘ π‘‘π‘–π‘›π‘Ž π‘€π‘Žπ‘›π‘Žπ‘π‘–π‘”π‘–π‘˜π‘Ž π‘π‘Žπ‘™π‘Žπ‘Ž β„Žπ‘’π‘˜π‘’ π‘€π‘Žπ‘˜π‘–π‘‘π‘Žπ‘—π‘Ž π‘—π‘–π‘›π‘Ž π‘™π‘Žπ‘˜π‘’....𝑆𝑐𝑖𝑒𝑛𝑐𝑒 π‘π‘Žπ‘› 𝑔𝑖𝑣𝑒 𝑒 π‘ π‘œπ‘’π‘Ÿπ‘π‘’ π‘Žπ‘›π‘‘ 𝑒𝑛𝑑𝑖𝑛𝑔 π‘π‘œπ‘–π‘›π‘‘ π‘›π‘Ž π‘–π‘˜π‘Žπ‘€π‘Ž π‘π‘Ÿπ‘œπ‘£π‘’π‘‘, 𝑏𝑒𝑑 β„Žπ‘–π‘β„Žπ‘œ π‘’π‘Žπ‘šπ‘–π‘›π‘–π‘β„Žπ‘œ π‘›π‘œ π‘ π‘œπ‘’π‘Ÿπ‘π‘’, π‘›π‘œ π‘π‘Ÿπ‘œπ‘£π‘’....β„Žπ‘Žπ‘π‘œ π‘›π‘‘π‘œ π‘’π‘™π‘–π‘π‘œ π‘’π‘π‘œπ‘‘π‘’π‘£π‘’
Unajuaje kama wanaemwita Palestina ndo mimi ninaemzungumzia hapa? Halafu watu wnalilia uzima wa milele sio huu temporary wa duniani ndo maan hata Yesu alikufa ila akafufuka tena kuonesha this life is only temporary.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
π‘π‘Žπ‘›π‘– π‘˜π‘Žπ‘˜π‘’π‘Žπ‘šπ‘π‘–π‘Ž π‘˜π‘–π‘™π‘Ž π‘˜π‘–π‘‘π‘’ 𝑠𝑐𝑖𝑒𝑛𝑐𝑒 π‘–π‘šπ‘’π‘ β„Žπ‘Žπ‘˜π‘–π‘”π‘’π‘›π‘‘π‘’π‘Ž π‘›π‘Ž π‘˜π‘’π‘˜π‘–π‘šπ‘Žπ‘™π‘–π‘§π‘Ž? 𝐺𝑒𝑛𝑑𝑒𝑧𝑖 π‘§π‘–π‘›π‘Žπ‘’π‘›π‘‘π‘’π‘™π‘’π‘Ž, π‘šπ‘“ π‘‘π‘–π‘π‘Ž π‘¦π‘Ž π‘ˆπΎπΌπ‘€π‘ŠπΌ π‘π‘Žπ‘‘π‘œ π‘–π‘π‘œ π‘šπ‘Žπ‘Žπ‘π‘Žπ‘Ÿπ‘Ž. π‘†π‘œ, π‘’π‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž π‘˜π‘’π‘‘π‘œπ‘˜π‘’π‘“π‘Žβ„Žπ‘Žπ‘šπ‘–π‘˜π‘Ž β„Žπ‘Žπ‘–π‘šπ‘Žπ‘Žπ‘›π‘–π‘ β„Žπ‘– 𝑠𝑐𝑖𝑒𝑛𝑐𝑒 π‘–π‘šπ‘’π‘ β„Žπ‘–π‘›π‘‘π‘€π‘Ž, π‘π‘Žπ‘™π‘– π‘–π‘›π‘Žπ‘’π‘›π‘‘π‘’π‘™π‘’π‘Ž π‘˜π‘’π‘“π‘Žπ‘›π‘¦π‘Ž π‘‘π‘Žπ‘“π‘–π‘‘π‘– π‘›π‘Ž π‘–π‘‘π‘Žπ‘™π‘’π‘‘π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘—π‘–π‘π‘’.

π»π‘Žπ‘¦π‘Ž, πΎπ‘€π‘Ž 𝑛𝑖𝑛𝑖 β„Žπ‘’π‘¦π‘œ π‘ π‘’π‘π‘’π‘Ÿπ‘›π‘Žπ‘‘π‘’π‘Ÿπ‘Žπ‘™ π‘Žπ‘ π‘–π‘œπ‘›π‘‘π‘œπ‘’ β„Žπ‘Žπ‘¦π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž β„Žπ‘Žπ‘ π‘Ž π‘¦π‘Žπ‘ π‘–π‘¦π‘œπ‘“π‘Žβ„Žπ‘Žπ‘šπ‘–π‘˜π‘Ž? π‘˜π‘€π‘Ž 𝑛𝑖𝑛𝑖 π‘šπ‘Žπ‘›π‘Žπ‘π‘–π‘– π‘šπ‘›π‘Žπ‘œπ‘€π‘Žπ‘Žπ‘šπ‘–π‘›π‘– π‘€π‘Žπ‘ π‘–π‘šπ‘π‘’π‘™π‘’π‘˜π‘’π‘’ β„Žπ‘’π‘¦π‘œ π‘šπ‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž π‘’π‘π‘œπ‘›π‘¦π‘Žπ‘—π‘– π‘Žπ‘  π‘€π‘Žπ‘›π‘Ž π‘†π‘’π‘π‘’π‘Ÿ π‘π‘œπ‘€π‘’π‘Ÿ π‘–π‘ π‘–π‘¦π‘œπ‘ β„Žπ‘–π‘›π‘‘π‘€π‘Ž?
Huu uhai ni wa muda tu ndo maan Yesu alipigiliwa misumari ila akafufuka kuonesha using'ang'ane na haya maisha sana sababu kuna maisha ya milele huko mbeleni. Hujiulizi kwanini Paul kawahi lishwa sumu na akapona ila still akafa baadae baada ya Mungu kumchukua alipomaliza huduma yake.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
𝐻𝑖𝑣𝑖 π‘’π‘šπ‘’π‘Žπ‘šπ‘π‘–π‘€π‘Ž π‘€π‘Žπ‘ π‘–π‘œπ‘Žπ‘šπ‘–π‘›π‘– π‘’π‘Žπ‘šπ‘–π‘›π‘–π‘β„Žπ‘œ π‘›π‘‘π‘–π‘œ π‘€π‘Žπ‘›π‘Žπ‘‘π‘Žπ‘˜π‘–π‘€π‘Ž π‘˜π‘’π‘“π‘Žπ‘›π‘¦π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘œπ‘£π‘’? π‘’π‘œπ‘£π‘’ 𝑛𝑖 β„Žπ‘’π‘™π‘˜π‘Ž π‘¦π‘Ž π‘šπ‘‘π‘’ 𝑑𝑒, π‘šπ‘‘π‘’ π‘Žπ‘›π‘Žπ‘€π‘’π‘§π‘Ž π‘˜π‘’π‘€π‘Ž π‘›π‘Ž 𝑑𝑖𝑛𝑖 π‘£π‘§π‘Ÿ π‘Žπ‘˜π‘Žπ‘€π‘Ž π‘šπ‘’π‘œπ‘£π‘’ π‘˜π‘’π‘™π‘–π‘˜π‘œ π‘Žπ‘ π‘–π‘¦π‘’ π‘›π‘Ž 𝑑𝑖𝑛𝑖. 𝑁𝑖 π‘šπ‘Žπ‘Ÿπ‘Ž π‘›π‘”π‘Žπ‘π‘– π‘£π‘–π‘œπ‘›π‘”π‘œπ‘§ π‘€π‘Ž 𝑑𝑖𝑛𝑖 π‘€π‘Žπ‘›π‘Žπ‘π‘Žπ‘˜π‘Ž, π‘€π‘Žπ‘›π‘Žπ‘’π‘Ž, π‘€π‘Žπ‘›π‘Žπ‘–π‘π‘Ž π‘›π‘Ž π‘˜π‘’π‘“π‘Žπ‘›π‘¦π‘Ž 𝑒𝑧𝑖𝑛𝑖𝑓𝑒 π‘€π‘˜π‘‘ π‘‘π‘¦π‘Ÿ π‘€π‘Žπ‘›π‘Ž π‘’π‘π‘Žπ‘˜π‘œ π‘šπ‘›π‘Žπ‘œπ‘Žπ‘šπ‘–π‘›π‘–??? π‘€π‘“π‘’π‘šπ‘œ π‘€π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘–π‘ β„Žπ‘Ž π‘ π‘Žπ‘“π‘– β„Žπ‘Žπ‘’π‘™π‘Žπ‘§π‘–π‘šπ‘–π‘ β„Žπ‘– 𝑒𝑀𝑒 π‘›π‘Ž 𝑑𝑖𝑛𝑖, 𝑛𝑖 π‘šπ‘“π‘’π‘šπ‘œ π‘€π‘Ž π‘šπ‘‘π‘’ 𝑑𝑒.
Hivi wewe unaelewa hata maana ya mtu kuwa na dini? Sasa kiongozi wa dini nd maana ake ana dini au? Waliomshtaki Yesu hawakuwa viongozi wa dini? Hakuna mtu aliejuu katika dini zaidi ya Mungu sio kiongozi wa dini wala mtu yyte. Unadhani kwenye mpira kwanini kocha ambae ni kiongozi akipotosha mifumo wanamtimua haraka sana. Hata serikalini tu kiongozi anaweza geuka na kuwa muuaji je akikutwa na hatia inabidi aachwe?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
π‘šπ‘‘π‘’ π‘Žπ‘˜π‘–π‘€π‘Ž π‘›π‘‘π‘Žπ‘›π‘– π‘¦π‘Ž π‘˜π‘Žπ‘›π‘–π‘ π‘Ž π‘“π‘’π‘™π‘Žπ‘› π‘Žπ‘˜π‘Žπ‘˜π‘’π‘§π‘–π‘‘π‘– π‘’π‘β„Žπ‘’π‘šπ‘– π‘›π‘‘π‘œ π‘π‘Ÿπ‘œπ‘œπ‘“ π‘¦π‘Ž π‘’π‘€π‘’π‘π‘œ π‘€π‘Ž 𝑀𝑒𝑛𝑔𝑒? π‘ˆπ‘›π‘Žπ‘“π‘Žβ„Žπ‘Žπ‘šπ‘’ π‘˜π‘Žπ‘šπ‘Ž π‘‘π‘Ÿπ‘’π‘” π‘‘π‘’π‘Žπ‘™π‘’π‘Ÿπ‘  π‘›π‘β„Žπ‘– π‘§π‘Ž πΆπ‘œπ‘™π‘œπ‘šπ‘π‘–π‘Ž, 𝑀𝑒π‘₯π‘–π‘π‘œ β„Žπ‘Žπ‘‘π‘Ž β„Žπ‘’π‘šπ‘’ π΄π‘“π‘Ÿπ‘–π‘π‘Ž β„Žπ‘’π‘€π‘Ž π‘€π‘Žπ‘›π‘Žπ‘—π‘’π‘›π‘”π‘Ž π‘˜π‘Žπ‘π‘–π‘ π‘Ž πΆπ‘Žπ‘‘β„Žπ‘’π‘‘π‘Ÿπ‘Žπ‘™π‘  π‘˜π‘’π‘‘π‘œπ‘˜π‘Žπ‘›π‘Ž π‘›π‘Ž π‘π‘’π‘ π‘Ž π‘§π‘Ž π‘’π‘›π‘”π‘Ž?

π‘ˆπ‘›π‘Žπ‘“π‘Žβ„Žπ‘Žπ‘šπ‘’ π»π‘’π‘¦π‘œ 𝑀𝑀𝑖𝑔𝑒𝑙𝑒 β„Žπ‘–π‘¦π‘œ π‘π‘’π‘ π‘Ž π‘Žπ‘™π‘–π‘–-π‘π‘Žπ‘™π‘Žπ‘›π‘π‘’ π‘€π‘Žπ‘π‘–?
Haijalishi we si umesema kuwa kanisani ni low minded people je hao wamejiongezaje? Je waliokuwa wanajenga masinagogi au hekalu la Solomon unahisi walikuwa hawasali? Je Yesu alivokuwa fundi seremala na baba yake waliwezaje na wakati wanasali? Nuhu alijenga saa ngap safina? Waliwezaje kujenga madaraja zamani hizo? Niambie kwanini Paul alimtibu Timothy tumbo kwa kumuandikia dawa kama sayansi ya matibabu hawakufanya watumishi wa Mungu. Kwanini Yesu alitumia fedha na wanafunzi wake kufanya manunuzi kama sayansi haikuepo kwao zaidi ya miujiza tu. Au kwasababu sehemu wameandika aliombea mikate na samaki vikatokea unahisi kila siku ni kuombea chakula kitokee wakati sehemu kibao zimeonesha wakifanya manunuzi. Niambie kuhusu wale wanajimu walioambiwa na Mungu waifuate nyota kumshuhudia Yesu kazaliwa walikuwa na imani gani? Yusuph aliwezaje kuwa mkuu wa majeshi Misri na kufanya biashara ya chakula kwa mataifa mengine. Niambie sayansi ya vipimo na uashi iliyopo kwenye ufunuo wa Yohana alijifunzia wapi?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
𝐻𝑖𝑣𝑖 π‘˜π‘’π‘›π‘Ž π΅π‘–π‘π‘™π‘–π‘Ž π‘π‘–π‘™π‘Ž π΄π‘”π‘Žπ‘›π‘œ π‘—π‘–π‘π‘¦π‘Ž??
Si ndo hiyo ya kiyahudi. Bible tafsiri yake ni mkusanyiko wa vitabu haimaniishi agano jipya na kale ila inamaanisha vitabu kama vitabu vya Musa Daudi Yakobo Suleimani na wengineo ila biblia ya kikristo ndo ina muunganiko hadi wa vitabu kama vya kina warumi Wagalatia Mathayo n.k

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
πΎπ‘’π‘›π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘šπ‘Ž π‘€π‘€π‘Žπ‘›π‘§π‘Ž π‘˜π‘Žπ‘π‘’π‘™π‘’π‘˜π‘Ž π‘π‘Žπ‘‘π‘– 100 π‘˜π‘€π‘Ž π‘šπ‘β„Žπ‘’π‘›π‘”π‘Žπ‘—π‘– π‘Žπ‘šπ‘π‘Žπ‘§π‘œ π‘šπ‘’π‘šπ‘’π‘€π‘’ 𝑛𝑖 π‘šπ‘£π‘’π‘£π‘– π‘˜π‘Žπ‘§π‘–π‘‘π‘’π‘›π‘‘π‘’π‘™π‘–π‘§π‘Ž π‘“π‘œπ‘Ÿ π‘Žπ‘π‘œπ‘’π‘‘ 2 π‘¦π‘Ÿπ‘ . π‘€π‘β„Žπ‘’π‘›π‘”π‘Žπ‘—π‘– π‘˜π‘Žπ‘ π‘’π‘šπ‘Ž 𝑒𝑑𝑖 π‘€π‘Žπ‘‘π‘Žπ‘œπ‘›π‘”π‘’π‘§π‘’π‘€π‘Ž π‘›π‘Ž π΅π‘€π‘Žπ‘›π‘Ž....β„Žπ‘Žπ‘π‘œ 𝑠𝑖 π‘˜π‘’π‘‘π‘–π‘Žπ‘›π‘Ž π‘’π‘šπ‘Žπ‘ π‘–π‘˜π‘–π‘›π‘–???? πΎπ‘Žπ‘œπ‘˜π‘œπ‘’ β„Žπ‘–π‘¦π‘œ π‘›π‘‘π‘œπ‘Ž, π‘šπ‘Žπ‘§π‘Ž π‘Žπ‘›π‘Žπ‘‘π‘’π‘šπ‘’π‘ β„Žπ‘€π‘Ž π‘π‘’π‘›π‘”π‘œ!
Kuna watu wana dini ni wajinga, Kuna wasio na dini ni wajinga.


Usichangaye ujinga wa mtu binafsi kuwa ni ujinga wa kundi fulani au dini fulani...
 
Ukitaka kujua maana ya mjinga ni kusoma maoni ya wakana Mungu.

Hao wenyewe au huyo mwenyewe unae mtaja naye ni kiumbe. Shida huwa mnafikiria kitoto sana na kutojua maana ya hivyo mnavyo viandika au kuviongelea.
Jibu kwa hoja
 
Hivi mnajua ya kuwa hakuna kitu chochote ambacho kina ushahidi wa wazi mno kuliko uwepo wa Mungu ? Hata uwepo wako wewe haushindi ushahidi wa wazi wa uwepo wa Mola Muumba.

Ndio maana huwa tunahitimisha ya kuwa Wakana Mungu wote wana matatizo ya akili.
πŸ˜‚Me nimekuambia ni mkana Mungu...again bisha kwa hoja sio kelele
 
π‘π‘Žπ‘›π‘– π‘˜π‘Žπ‘˜π‘’π‘Žπ‘šπ‘π‘–π‘Ž π‘˜π‘–π‘™π‘Ž π‘˜π‘–π‘‘π‘’ 𝑠𝑐𝑖𝑒𝑛𝑐𝑒 π‘–π‘šπ‘’π‘ β„Žπ‘Žπ‘˜π‘–π‘”π‘’π‘›π‘‘π‘’π‘Ž π‘›π‘Ž π‘˜π‘’π‘˜π‘–π‘šπ‘Žπ‘™π‘–π‘§π‘Ž? 𝐺𝑒𝑛𝑑𝑒𝑧𝑖 π‘§π‘–π‘›π‘Žπ‘’π‘›π‘‘π‘’π‘™π‘’π‘Ž, π‘šπ‘“ π‘‘π‘–π‘π‘Ž π‘¦π‘Ž π‘ˆπΎπΌπ‘€π‘ŠπΌ π‘π‘Žπ‘‘π‘œ π‘–π‘π‘œ π‘šπ‘Žπ‘Žπ‘π‘Žπ‘Ÿπ‘Ž. π‘†π‘œ, π‘’π‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž π‘˜π‘’π‘‘π‘œπ‘˜π‘’π‘“π‘Žβ„Žπ‘Žπ‘šπ‘–π‘˜π‘Ž β„Žπ‘Žπ‘–π‘šπ‘Žπ‘Žπ‘›π‘–π‘ β„Žπ‘– 𝑠𝑐𝑖𝑒𝑛𝑐𝑒 π‘–π‘šπ‘’π‘ β„Žπ‘–π‘›π‘‘π‘€π‘Ž, π‘π‘Žπ‘™π‘– π‘–π‘›π‘Žπ‘’π‘›π‘‘π‘’π‘™π‘’π‘Ž π‘˜π‘’π‘“π‘Žπ‘›π‘¦π‘Ž π‘‘π‘Žπ‘“π‘–π‘‘π‘– π‘›π‘Ž π‘–π‘‘π‘Žπ‘™π‘’π‘‘π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘—π‘–π‘π‘’.

π»π‘Žπ‘¦π‘Ž, πΎπ‘€π‘Ž 𝑛𝑖𝑛𝑖 β„Žπ‘’π‘¦π‘œ π‘ π‘’π‘π‘’π‘Ÿπ‘›π‘Žπ‘‘π‘’π‘Ÿπ‘Žπ‘™ π‘Žπ‘ π‘–π‘œπ‘›π‘‘π‘œπ‘’ β„Žπ‘Žπ‘¦π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž β„Žπ‘Žπ‘ π‘Ž π‘¦π‘Žπ‘ π‘–π‘¦π‘œπ‘“π‘Žβ„Žπ‘Žπ‘šπ‘–π‘˜π‘Ž? π‘˜π‘€π‘Ž 𝑛𝑖𝑛𝑖 π‘šπ‘Žπ‘›π‘Žπ‘π‘–π‘– π‘šπ‘›π‘Žπ‘œπ‘€π‘Žπ‘Žπ‘šπ‘–π‘›π‘– π‘€π‘Žπ‘ π‘–π‘šπ‘π‘’π‘™π‘’π‘˜π‘’π‘’ β„Žπ‘’π‘¦π‘œ π‘šπ‘”π‘œπ‘›π‘—π‘€π‘Ž π‘’π‘π‘œπ‘›π‘¦π‘Žπ‘—π‘– π‘Žπ‘  π‘€π‘Žπ‘›π‘Ž π‘†π‘’π‘π‘’π‘Ÿ π‘π‘œπ‘€π‘’π‘Ÿ π‘–π‘ π‘–π‘¦π‘œπ‘ β„Žπ‘–π‘›π‘‘π‘€π‘Ž?
Sasa kumbe unafahamu science haijamaliza kugundua kila kitu, Kwanini mmeshahitimisha hakuna Mungu !?
 
Mungu Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.

Nani alikwambia sharti la uwepo wa kitu lazima ukione ? Wewe babu yako wa tano uliwahi kumuona ila si unasadiki ya kuwa alikuwepo ?

Alikwambia mitume na manabii watuambie anataka nini.

Anasifa nyingi zikiwepo uhai, upendo, nguvu na nyingine.

Tatizo la kwenye liko wapi ? Ni kuletwa na watu wa nje au mafundisho yake ?
πŸ˜‚Kwa Nini Mungu muweza yote atokee Kijiji kimoja huko jangwani afu dunia nzima tuwaamini hivyo hivyo...hivi we unaona ni sawa..kuambiwa bana nchi fulani huko miaka iliyopita ambapo kulikuwa hamna gazeti Wala camera alitokea mtu mfufua wafu ndo Mungu wa dunia nzima muamini..na wewe uko yes sir..πŸ˜‚kweli dini upofu
 
Sijawahi yumbishwa na kiongozi wa dini. Mimi naangalia ukweli kuhusu Biblia inasema nini na mifano iliyomo inanisaidiaje kukabili changamoto za maisha kibinafsi na wengine wanaonizunguka. Lakini pia kuhusu wakati wangu ujao utakuwaje! Shida hapa mnamezeshwa kuwa kuamini kwenye maandiko unakuwa low minded na unakuwa maskini lakini haiko hivyo. Mnaangalia watu badala ya kilichoandikwa.
πŸ˜‚Kilichoandikwq si ndo kina errors and inconsistencies kibao mpaka Leo hii Kuna madhehebu kibao yanapishana Nini ni dhambi, Yesu alikuwaje, anataka, motoni na mbinguni kukoje coz bible ni mkusanyiko wa stories over time written by many anonymous authors...Kama unabisha nitajie Babu yake Yesu alikuwa nani, Jacob au Heli
 
Evolution of man inaonyesha binadamu tulikuwa nyani lakini huko zilikoanzia tafiti za kisayansi wanatuona waafrika ndio nyani na hata ukiuliza kabla ya nyani kuwapo yeye alikuwa nani wanasayansi hawakupi majibu. Inafikirisha kidogo.

Tafiti nyingi za kisayansi zilizofanywa after Jesus Christ na kupatiwa majibu tayari majibu yake yalishakuwapo kwenye Biblia miaka mingi sana. Biblia si kitabu cha kisayansi lakini kina mambo mengi ambayo yaliandikwa zamani kwa msaada wa hekima ya Mungu na yakawa proven na tafiti za kisayansi. Mwisho wa siku wanasayansi wengi baadae walikuja kukiri kuwa lazima kuna Mungu aliyeumba vitu hivi vyote.
Nionyeshe mahali biblia imetaja kwamba dunia inazunguka jua.. mahali imetaja magonjwa yanasababishwa na vijidudu..mahali imeongelea gravity..mahali imeongelea space kutokua na oxygen..πŸ˜‚
 
Umekariri tu subconscious mind.....lakini maelezo ni namna gani yanaweza kusababisha hiyo hali hujui.

Ngoja nikupe mtihani,.➑️ Tufundishe "How is demonic possession a wrong perception of the subconscious mind?"


Maana unadhani watu hatuna akili mpaka tushindwe kutofautisha between the two πŸ‘Š
It is not my job kujua kila kitu ..ila ukisema demons haya wat is next
.how do we study it..how do we prevent it..how do u know the difference between demons n other mental stuff... how do you treat it .n.k ukishaweka supernatural beliefs ni kama guesses tu husulilishi chochote Bora nikubali sijui afu ndo tuanze kufuatilia tujue tatizo ni Nini na suluhisho ni Nini...tatizo watu wa dini mnapenda easy answers sijui god did it...au ni mashetani tu..n.k ndo maana mnaitwa low minded people...coz hamtaki kufikiria nje ya superstition
 
Nliposema ni magic wapi ?? Wewe umeshakua ni mtu wa kukurupuka siku zote, Unasema story za wachungaji kwa mambo tunayoyashuhudia kwa ndugu zetu unajitambua kweli wewe ?

Unaonyesha jinsi ulivyo bishi na juaji lisilo na maana yoyote, Unabisha bisha bila sababu za msingi huu si utahira huu !?? Au nkuelewaje mkuu
πŸ˜‚Kwani una ndugu wagonjwa peke yako...wewe ukoo wenu na jamii yenu imekua katika kuamini ushirikina ndo maana mnakuja na upuuzi eti hospitali hazijui anaumwa Nini..πŸ˜‚ila mchungaji akimshika na kumpigia kelele anapona..na wewe unaamini unampa sadaka ananunua magari anajenga maghorofa kwa uvivu wako wa kufikiria..mwisho wa siku ugonjwa ukimzidia akafa..ameenda mbinguni πŸ˜‚sijui mpango wa Mungu...ila jamani...bongo bado sana
 
I belive in multiple universes, its called "The Multiverse", its an interesting topic and the doorways into other universe are more interesting "black holes" its the name.....why an omnipotent God create one universe??


Brother this is weak argument, because everything needs to be absolute, everything need to have a certain value, it has to be guided by something, God is all about being Precise.


When you say "Right place and right time" makes me laugh, unrelated things can't just fall together into one another and work perfectly together, do you know what I mean??
The bing-bang made it possible for the sun to be formed and our solar system to be formed by the sun's gravitational embrace, Evolution made it possible for plants to form chlorophyll, a plant makes its own food(glucose) when a photon of light travels from the sun 8 minutes earlier and strikes that chlorophyll starting a chain of reactions that will result in the formation of glucose(remind you that 80% of our foods are palnts and chlorophylls are powerful batteries even more powerful than your car battery) Now how is that even possible?? How does evolution taking place on our small planet made us so dependent on space and stars for our survival which were only formed by accident, as per you?
How did the plant know "let me mutate and form chlorophylls that will allow me to extract and process energy from the biggest source of energy in our solar system" as per you?

Right place right timeπŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚bro I didn't say accident we unachofanya Unanipa two options...black n white..accident au god did it...why unanifunga..my answer is I don't know...even if ni Mungu kweli...u still have a long way to go kuniconvince huyo Mungu ni mwanaume mwenye feelings anayejibu maombi anayefuatilia watu Wanamwaga wapi etc, more importantly bado unasafari ndefu kuprove kwamba dini yako wewe ni ya ukweli...coz it's easy kwa kila dini kusema Mungu wake ndo kaumba ulimwengu afu pia religions say mbingu na ardhi...they didn't know abt universe sijui star system cjui gravity...so unachofanya unamove goalposts... kubali dini yako ni false Accord to it's account of creation maana umetaja BigBang cjui which is nowhere in the bible or Quran
 
Kwenye swali langu sijataja neno "super natural power" Wala sijautaja uchawi
Ila nmetaka ufafanuzi, Hayo maelezo yako yote yanatoka wapi ?

Mimi nmeuliza swali moja kuwa huwa science wanafail wapi hadi wanakubali ndugu kuondoka na mgonjwa wao bila kuondoa tatizo ?

Sawa kuna majibu umenipa mwishoni kwamba science sio kwamba inafahamu kila kitu,

Nna maswali mawili moja ni ndani ya hii hoja na lingine ni nje ya hii hoja
1; Ni kwanini wasimuache huyo mgonjwa kwajili ya tafiti ili waufahamu ugonjwa huo mpya ambao hauonekani kwenye vipimo na badala yake wanaruhusu tu mgonjwa aondolewe bila wao kuambulia chochote kile ?

2; Umesema science haifahamu kila kitu, Swali, Ni kwanini mmeshahitimisha kuwa Mungu hayupo na mnajua science haifahamu kila kitu na haijavumbua vitu vingi bado ?
Depends on ur definition of God ..Mungu Accord to religion who is all powerful all knowing all loving answers prayers and communicates through a 2000 years old book of desert fairytales hawezi exist...n we can prove that...πŸ˜‚ila wat we can't prove is hio supernatural power..ndo maana nimekuambia mada ni dini kuwa porojo...sio Mungu
 
Walau porojo za dini kwenye uumbaji zinaleta mantiki ila sayansi ina blabla nyingi kwenye swala hilo
Kwamba dunia iliumbwa kabla ya jua ndani ya siku 6...πŸ˜‚na pia binadamu tuliumbwa na udongo na mwanamke (wa pili) aliumbwa na mbavu..πŸ˜‚na baada ya kula tunda wakafukuzwa kwenye bustani yenye mimea yote na wanyama..😁haya bana mwanangu..bomba mantiki...πŸ˜‚bado Kuna nyoka anayeongea
 
[emoji23]Kwa Nini Mungu muweza yote atokee Kijiji kimoja huko jangwani afu dunia nzima tuwaamini hivyo hivyo...hivi we unaona ni sawa..kuambiwa bana nchi fulani huko miaka iliyopita ambapo kulikuwa hamna gazeti Wala camera alitokea mtu mfufua wafu ndo Mungu wa dunia nzima muamini..na wewe uko yes sir..[emoji23]kweli dini upofu
Ila ukiambiwa kuhusu Big bang unaamini chap sana hata kama hauna elimu kuhusu big bang kwa undani na wala haujawahi kushuhudia wala kuona hata vifaa mnavyoambiwa hutumika kujua yote hayo[emoji16][emoji16], Ndio maana hapo juu kuna jamaa kasema nyinyi wapinga Mungu ni kama wajinga fulani hivi.
 
Back
Top Bottom