Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Nionyeshe mahali biblia imetaja kwamba dunia inazunguka jua.. mahali imetaja magonjwa yanasababishwa na vijidudu..mahali imeongelea gravity..mahali imeongelea space kutokua na oxygen..[emoji23]
Kuna sehemu imeandika usimwache elimu aende zake, Elimu zilizozungumziwa ni maarifa, Maarifa ndio kama haya unayoyazungumzia hapo, Kuhusu Gravity, Magonjwa na mengine mengi.
 
Everybody is the puppet of certain culture I guess. What if you were born in a western culture where gayism is normal and you decided to be gay, does it make it right to be gay? What if you were born in Congo where eating dwarves is normal to their culture, does it make eating human beings right? You gotta know there are so many cultures in the world but God is the standard of all cultures. If Europeans decided not to steal from us instead teach us how to use our natural resources as God wants from humans. Stealing is bad according to God's law yet Europeans culture allowed them to steal from us for the sake of their generations and leaving our generations suffering yet you are here praising them for not having religion as source of their wealth.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂😂😂Tunakuja pale pale Mungu yupi... wahindu hawali nyama ya ng'ombe according to Mungu wao mbona unakula...mbona unatenda dhambi... Mungu Hana sheria yoyote hizo ni sheria za binadamu...turudi kwenye example yako
1. Being gay ni sexuality ya mtu..Kama wewe unavyopenda demu mwenye makalio makubwa for example..hamna mtu atakukataza kumla demu wa aina hiyo as long as haumbaki au hauli mtoto...same as being homosexual ni mambo ya chumbani so hamna mtu anaweza kukupangia unapokojoa
2. Eating human beings is wrong kwa sababu unamkosesha haki yake ya kuishi. Kwa sababu kwenye kumla utamuua, utamkosesha experience za maisha ambazo angepata... pia ukute Kuna watu walikuwa Wanamtegemea now umewapa wakati mgumu etc...
No maana most democracies zinaweka sheria kulinda haki za binadamu na sio sheria za wayahudi au waarabu wa kale waliojiamulia tu na kusema Mungu kasema
 
[emoji23]Kwani una ndugu wagonjwa peke yako...wewe ukoo wenu na jamii yenu imekua katika kuamini ushirikina ndo maana mnakuja na upuuzi eti hospitali hazijui anaumwa Nini..[emoji23]ila mchungaji akimshika na kumpigia kelele anapona..na wewe unaamini unampa sadaka ananunua magari anajenga maghorofa kwa uvivu wako wa kufikiria..mwisho wa siku ugonjwa ukimzidia akafa..ameenda mbinguni [emoji23]sijui mpango wa Mungu...ila jamani...bongo bado sana
Ni bora ndugu Kiranga alijibu kwa hoja na sio kunishambulia mimi binafsi kidogo tunaelewana, Ila wewe ni mropo ropo...Badala ya kujibu ni kwanini na kivipi umekazana kumtaja mgonjwa mwenyewe na wanaomuuguza mgonjwa,, Unajitambua kweli wewe ? [emoji16]
 
Aliekuambia wamasai wote hakuna aliekuwa anasali ni nani? Mbona kuna kipindi mitume walidhani wanaosali kweli ni kabila lao tu pale Israel kumbe kabila la Samaria walikuepo pia watu waliomuamini Kristo.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂Asa si hapo hapo...mwanangu mbona unabishana ujinga...so wamasaai walimuabudu Yesu kipindi hicho pia au sio
 
Mbona makanisani kuna watu wengi tu waliowazidi nyinyi uchumi na akili na elimu na maarifa ya kila aina. Mwiguru Nchemba Moshi kule alichangia ujenzi zaidi ya milion 25 cash kama sikosei na ni waziri wa fedha mpaka sasa na yuko wizarani muda mrefu kwanini hafirisiki na anaendelea kula vyeo?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂Unakuwa kama mtoto so hujui siasa na dini siku hizi zinavyoingiliana...au huku fuatilia sakata la bandari..au ushoga?
 
Na vita za dunia zimeua watu wangapi? Kule Nagasaki na Hiroshima pekee walikufa watu wangapi? Wasingekufa wale miungu watu waliozaliwa na malaika inawezekana kusingekuja kuwa na historia yako leo hii we endelea tu kulaumu utukufu na makufuru yako. Halafu kama hujui wazungu walioleta hizo haki ulizofundishwa mashuleni nyingi wamejifunza kwenye bible na ndo maan mataifa makubwa mengine mpaka miaka ya karibuni hapo walitumia bible kama katiba yao.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂Taifa Gani la kidemokrasia linatumia bible kama katiba...bible imesema wapi usibake..bible imesema wapi usioe watoto...bible imesema wapi usitese mtu..bible imekataza wapi utumwa 😂bado Kuna sheria za kipuuzi sijui kupiga mawe wazinzi na mashoga, kupiga mawe mtoto akimbishia mzazi, kuua mtu anayeokota Kuni siku ya sabato..😂bado hutaruhusiwa kuvaa nguo za material tofauti, huruhusiwi kupanda mazao tofauti shamba moja, 😂 huruhusiwi kula kaa...😂niambie nchi gani inafata sheria za kipuuzi hizi...eti haki ndo hizi...hapa Kuna haki hapa...au upumbavu
 
Kumbe unaamini maisha yetu jinsi tutakavyoishi yanalead somewhere always ndo maan inareflect duniani hata ukifa. Safi sana ndo maana tunakuambia huyo ni Mungu aliweka huo mtego kwamba ishi vizuri maisha yako yatareflect somewhere else na utahesabiwa kwa uliyoyafanya.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂😂😂Sio baada ya kufa asa...ukifa ndo bac..usimweke Mungu..hata Leo hii ukimfanyia mtu ubaya huwezi expect uzuri kwake.. huhitaji kumweka Mungu hapo it's common sense...a
 
Upendo nyingine zote zina limit kasoro upendo wa Yesu ndo maan nakuambia hivyo. Mfano budhaa wameshindwa kutoa uhalisia wa binadamu akifa anaenda wapi. Pia monk mfuasi wa budha ukimchokoza analimit fulani ambayo baada ya hapo anakutandika ngumi na wanatumia uchawi. Sasa Yesu hana limit nd maan unamtukana kila siku na anaendelea kukupa nafasi ya kuishi mpaka hukumu yako ifike.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂😂😂 Sijawahi mtukana Mimi usinisingizie...😂mi nikikuambia ukifa unaenda Venus kwa hiyo nimejibu swali lako la ukifa unaenda wapi..😂hivi mnachukulia kifo ni kama level 2 au...ukifa si umekufa jamani...mbona huulizi paka akifa anaenda wapi
 
Halafu hakuna mkristo alienitawala mimi wala jamii yangu ya kitanzania kamwe. Kama unajua sifa za mitume wa Yesu na yale waliopitia nipe reference ni wapi tumetawaliwa na wakristo wa kweli. Maan Yohana mbatizaji mfano alikatwa kichwa wengine walichomwa na bible wamefungwa nayo . Yohana wa revelation alitupwa kisiwani alikopewa maono. Kuna wakristo wengi waliuawa kule Roma enzi hizo kwa kuchinjwa kama kuku. Ntajie ni mkristo gani kakutawala wewe kwa reference ya bible. Kama bible imeagiza mpende jirani yako kama nafsi yako mwenyewe je inawezekanaje mkristo wa kweli akamtawala mtu mwingine. Kwanini Yesu hakuamua kutawala kwa mabavu ila akauliwa yeye binafsi?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Naongelea wakoloni
 
Ila ukiambiwa kuhusu Big bang unaamini chap sana hata kama hauna elimu kuhusu big bang kwa undani na wala haujawahi kushuhudia wala kuona hata vifaa mnavyoambiwa hutumika kujua yote hayo[emoji16][emoji16], Ndio maana hapo juu kuna jamaa kasema nyinyi wapinga Mungu ni kama wajinga fulani hivi.
1. Mi sijasema anywhere napinga Mungu
2. Sijasema anywhere kuhusu BigBang
Nachouliza...how do u know ur particular version of ur religion is true?
 
Kuna sehemu imeandika usimwache elimu aende zake, Elimu zilizozungumziwa ni maarifa, Maarifa ndio kama haya unayoyazungumzia hapo, Kuhusu Gravity, Magonjwa na mengine mengi.
😂😂😂Bac elimu imesema kuhusu evolution haya iamini....case closed...kalale na achana na Mimi..
 
Ni bora ndugu Kiranga alijibu kwa hoja na sio kunishambulia mimi binafsi kidogo tunaelewana, Ila wewe ni mropo ropo...Badala ya kujibu ni kwanini na kivipi umekazana kumtaja mgonjwa mwenyewe na wanaomuuguza mgonjwa,, Unajitambua kweli wewe ? [emoji16]
😂Nimeongea reality
 
𝐽𝑎𝑚𝑎𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑗𝑖𝑎𝑛𝑔𝑢𝑠ℎ𝑎 𝑠𝑎𝑛𝑎.

𝑁𝑎𝑚𝑠ℎ𝑎𝑢𝑟𝑖 𝑎𝑡𝑎𝑓𝑢𝑡𝑒 ℎ𝑎𝑡𝑎 𝑘𝑖𝑡𝑎𝑏𝑢 𝑘𝑖𝑑𝑜𝑔𝑜 𝑡𝑢 𝑐ℎ𝑎 𝐵𝑟𝑖𝑎𝑛 𝑇𝑟𝑎𝑐𝑦 𝑘𝑖𝑛𝑎𝑖𝑡𝑤𝑎 𝐸𝑎𝑡 𝑡ℎ𝑎𝑡 𝐵𝑖𝑔 𝑓𝑟𝑜𝑔...𝑎𝑡𝑎𝑒𝑙𝑒𝑤𝑎 𝑣𝑧𝑟 𝑆𝑢𝑏𝑐𝑜𝑛𝑠𝑐𝑖𝑜𝑢𝑠 𝑀𝑖𝑛𝑑!
😂Hana huo mda mwache amsikilize mwamposa
 
Another question to add here. Darwinian evolution starts from a cell now they should tell us where the cell came from since they have not been able to create a single cell in a laboratory till now and the more they think they closer the more complexity arises. Also how evolution was able to switch from species cells to the more comlex human cell like the RNA.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😁Mungu katokea wapi...coz hatujawahi ona Mungu katokea from nowhere, so explain plz...katokeaje
 
Ni bora ndugu Kiranga alijibu kwa hoja na sio kunishambulia mimi binafsi kidogo tunaelewana, Ila wewe ni mropo ropo...Badala ya kujibu ni kwanini na kivipi umekazana kumtaja mgonjwa mwenyewe na wanaomuuguza mgonjwa,, Unajitambua kweli wewe ? [emoji16]
Read between the lines brother. Unajisumbua na homosexual person utakesha kutetea. Watu wana hasira na uwepo wa Mungu kwa kuwa amekataza hayo mambo yao.
 
Msingi wa bible ni watu haijalishi wanaishi wapi mataifa yamekuja juzi tu hapa ndo maan hata Israel huko huko kuna dhambi pia. Mbona wametajwa watu kama akina Mussa walioishi Misri. Mbona mitume wengi kama Paul walikuwa wakiishi ulaya. Israel ni jina la mtu kaa ukijua so ni mtu aliempendeza Mungu ndo maan ukoo wake ukachaguliwa Yesu kuzaliwa sababu babu yake Ibrahim alipewa ahadi so hata wewe ukimtumikia Mungu utapewa ahadi vile vile na itakuwa njema acha wivu na zawadi aliopewa mwenzio kwa kujinyenyekeza kwa Mungu.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂Kwa nini amecheza hapo tu huyo Mungu huku Zambia Australia hakufika...😂afu kwa nini anamtokea mtu mmoja afu si ndo tusikilize porojo zake...yaani mtu mmoja ana unfair advantage coz yeye katokewa kaona live evidence afu sisi tuamini story afu wote tuko judged sawa..😂kweli huyu Mungu ni loving?
 
Read between the lines brother. Unajisumbua na homosexual person utakesha kutetea. Watu wana hasira na uwepo wa Mungu kwa kuwa amekataza hayo mambo yao.
😂😂😂😂Mbona matusi bro nishawahi kukufira au
 
Unajuaje kama wanaemwita Palestina ndo mimi ninaemzungumzia hapa? Halafu watu wnalilia uzima wa milele sio huu temporary wa duniani ndo maan hata Yesu alikufa ila akafufuka tena kuonesha this life is only temporary.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
😂Bac na Thanos alikufa akarudishwa through time traveling...usipoamini tunakuchoma na gesi
 
Back
Top Bottom