Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Nani alikwambia kuumbwa sio mchakato ? Au kwako wewe kuumbwa ni mpaka ufinyangwe udongo ?

Shida niliyo Iona kwako ni kuwa hujui maana ya tamko kuumbwa. Kilicho kilicho hai kimeumbwa.

Allah ana namna tofauti za uumbaji, wapo alio waumba Mikono yake ambao ni Adamu na Hawa, na wapo alio waumba kwa kauli tu, kuwa kitu kikawa, na tupo sisi alio tuumba kutokana na mbegu za baba zetu tukaishi tumboni kwe mama zetu tukapuliziwa pumzi na kuzaliwa angalia tuko hai, bali wapo walio fia tumboni wapi Ile amezaliwa tu akafa.

Huu ndio uumbaji, hasemi yoyote kwamba hajaumbwa ila ni mtu mjinga na kipofu wa moyo na akili.
Nipe Evidence ya Uumbaji vinginevyo utakuwa unaongea Porojo tu..
Mpaka sasa Evidence zilizipo za kiumbe ni Proriferation of cells through cell division.. na Hapo ndo kuna maswala ya Meosis n Mitosis...
Sasa nataka nawewe uniambia nani anaweka mikono tumboni na kuunda..
Vitu vingine mviache kwenye Faith tu na sio mviingize kwenye uhalisia...

Story ya creation ipo kwenye Hizi dini zenu Tatu (Ibrahimic) tu kuwa kuna Mungu mmoja aliyeumba...

Ukienda kwenye Dini zingine kma samarian,Hindu ,Shinto,Buddha zenye umri mkubwa kuliko hata Dini zenu zote hawana Hizi mambo mlizoleta...

Sometime use even a single common sense uliyonayo ukiondoa hiyo faith
 
Una ufahamu mdogo sana kuhusu uumbaji, na hii ndio changamoto tunayo kutana nayo siku hizi, tunajadiliana na vijana ambao hata hawajui maana za maneno wanayo yatumia. Inatupa muda mrefu kwanza kuwaelezea maana ya maneno husika, utimilifu wake na kadhalika mipataka na udhaifu wa maana hizo. Kabla hamjaingia katika mjadala hii muhakikishe mna elimu ya hivi vitu na mnajua maana za haya maneno.
Katika swala la Ufanyikaji wa mwanadamu Ooh Yes nahisi Elimu ninayo tena kubwa sana na nakuruhusi Shoot any Swali kuhusu.. Embryology, Hata ukitaka pia Shoot kuhusu Cells na Physiology ya mwanadamu..
Huwezi kuingiza faith kwenye Reality hilo kaa ukijua
 
Shida yenu kwenu nyinyi Sayansi ndio kila kitu, hapa ndipo mlipo angukia pua na kuwa wajinga kupindukia.

Sayansi ni nyenzo tu kama nyenzo nyingine, inategemea nyenzo hiyo utaitumia kwa namna gani kama ilivyo bunduki, jembe na mfano hivyo ila sio ukweli wenyewe.
Hahah sasa Kama unaweza me nakuomba thibitisha Beyond Reasonable doubt kuwa kuna Uumbaji?
Mbona ni simple tu maana naona unaleta siasa zile tulizokuwa tunaongea kule kwenye Faith..
Huku tumekuja kwenye sayansi fanya hivyo
 
Kama unamcheka anayeamini kulkuwa na bing bang kwa uthibitisho..

Kwanini usijicheke wewe kwanza unayeamini kuwa "Hapo mwanzo kulikuwa na Neno naye neno alikuwa kwa Mungu kabla ya vitu vyote"

na kingine unayeamini "Pumzi ya Mungu (Roho) ilikuwa ndani na kina cha maji (Vilindi) wakati huo yeye akiwa nje ys Hayo Maji"..
mwanzoni nilidhani mna hoja, kumbe ni kupinga tu hata vitu vilvyo wazi
 
Kama unamcheka anayeamini kulkuwa na bing bang kwa uthibitisho..

Kwanini usijicheke wewe kwanza unayeamini kuwa "Hapo mwanzo kulikuwa na Neno naye neno alikuwa kwa Mungu kabla ya vitu vyote"

na kingine unayeamini "Pumzi ya Mungu (Roho) ilikuwa ndani na kina cha maji (Vilindi) wakati huo yeye akiwa nje ys Hayo Maji"..
Wewe ni stupid IQ....hata unachoongea ujui ...wanasayansi wote wanakubali kuwa vitu vyote vimeumbwa ila awakubali kuwa nguvu ya uumbaji inajitambua wao wanasema ni bahati tu... hivyo awakubali kuwa big bang ndiyo uumbaji wa mungu alio ufanya
 
[emoji42]Alisema atarudi wakati wafuasi wake wapo wakafa..akasema atarudi kizazi kile..kikafa...unless aje na ukubwa wa Nini cjui ndo kila jicho litamwona..maana hata jua na ukubwa wote hauonekani kote..ila wenzako walijua dunia ni flat ndo maana wakasema hivyo..[emoji28]au ilikuwa mafumbo na walimaanisha kiroho
Kakudanganya nani ?
 
Wewe ni stupid IQ....hata unachoongea ujui ...wanasayansi wote wanakubali kuwa vitu vyote vimeumbwa ila awakubali kuwa nguvu ya uumbaji inajitambua wao wanasema ni bahati tu... hivyo awakubali kuwa big bang ndiyo uumbaji wa mungu alio ufanya
Mwanasayansi gani huyo hebu nionyeshe...🤣🤣
Unatia huruma,punguza mihemko..

Nimekubali mimi kuwa Stupid IQ ila huoni ulichoandka kinakufanya uwe kama mimi?
 
[emoji29]Next up...utasema upepo hauonekani ila upo au sio..,[emoji42]hizi hoja za watoto wa la Saba si tushazikataa lakini
Wapumbavu kama nyinyi ndiyo mnasema hakuna mungu ila mmechanja chale za waganga wa kienyeji hadi matakoni ...unakuta mtu mshirikina wa waganga wa kienyeji(witchdoctor) ila anasema mungu hakuna
 
Mwanasayansi gani huyo hebu nionyeshe...[emoji1787][emoji1787]
Unatia huruma,punguza mihemko..

Nimekubali mimi kuwa Stupid IQ ila huoni ulichoandka kinakufanya uwe kama mimi?
Kwani dhana ya big bang maana yake nini wewe zuzu wa ccm...big bang maana yake ni kuumbika kwa vyote na mwanzo wa "time"
 
Kwani dhana ya big bang maana yake nini wewe zuzu wa ccm...big bang maana yake ni kuumbika kwa vyote na mwanzo wa "time"
Unajua tatizo lako kubwa Hta kama una hoja ni nini?
Haina ulazima kutukana kila unapowasilisha hoja zako...
Kutukana hakukufanyi kuonekana una hoja sana bali kuna kudhalilisha.....
Kuna wengine Sio watoto wala vijana kama wewe...
Tunachopenda ni kujibu hoja ya mtu mwenye staha na anayrjua kutoa hoja bila kutukana ...

So nakufunza kitu ukiwa kwenye kuwasilisha hoja Zuia Hisia kukutawala na Hasira Kuwa na Uvumilivu wa hoja ya mwenzako kama una la kuipinga jitahid kutumia Lugha nzuri...
Asante it was nice talking to you...
 
Mkuu Lwiva huu kuhusu Hichi ulichosema the bible contradict itself...

Lk 17:20-21​

Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuona; wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu.

sasa Mkuu huo unaozumguzmia Ambao unasema kila mtu atauona Unapingana na Maagizo ya Yesu mwenywe

Sometimes inahitaji Ujasiri sana Kutetea Biblia
Mimi najua mafumbo yote ya biblia hayo maandiko ni fumbo tena yapo sahihi ...kuna jamaa aliuliza kitu kama chako hapa nikamjibu na hakuwa na hoja tena ...aliuliza je watu waliokufa kabla ya kufikiwa na dini watahukumiwa vipi nikampa jibu kamili
 
Mimi najua mafumbo yote ya biblia hayo maandiko ni fumbo tena yapo sahihi ...kuna jamaa aliuliza kitu kama chako hapa nikamjibu na hakuwa na hoja tena ...aliuliza je watu waliokufa kabla ya kufikiwa na dini watahukumiwa vipi nikampa jibu kamili
Basi kama unajibu hebu nijibu kwa hilo..

Ukitoka hapo nenda kwenye uzao wa yesu unijibu kwanini kuna contradiction
 
Basi kama unajibu hebu nijibu kwa hilo..

Ukitoka hapo nenda kwenye uzao wa yesu unijibu kwanini kuna contradiction
Sawa wewe umechanganya ufalme aliouleta yesu kristo na ufalme wa siku ya kiama ...kumbuka yesu aliulizwa wewe ni mfalme yeye akajibu...alizaliwa kwa ajili hiyo ila ufalme wake siyo wa dunia hii ...ndipo pilato akamwambia basi wewe ni mfalme ? Kitu usicho kijua wewe ni kwamba kuna ufalme wa yesu kikristo kuja kukomboa dunia na kuna ufalme wa yesu kristo kuja kuhukumu dunia hapo ufalme ambao ana uzungumzia yesu ni ule wa kuja kuikomboa dunia ndiyo huo ambao herode aliua mamia ya watoto ili kumuua yesu ...hivyo yesu anapo sema upo ndani yenu maana yake ni kumpokea yeye moyoni awe bwana na mwokozi ...ni kitu cha moyoni ...hata Yesu mwenyewe anasema nitakuja nikae ndani yenu ....ila kuhusu ufalme wa kuja yesu mara ya pili huo ndiyo ule wa kihama kila jicho litaona na kila goti litapigwa


TATIZO UMESHINDWA KUJUA TOFAUTI YA UFALME WA YESU KUJA MARA YA KWANZA NA UFALME WA YESU KUJA MARA YA PILI
 
Nipe Evidence ya Uumbaji vinginevyo utakuwa unaongea Porojo tu..
Mpaka sasa Evidence zilizipo za kiumbe ni Proriferation of cells through cell division.. na Hapo ndo kuna maswala ya Meosis n Mitosis...
Sasa nataka nawewe uniambia nani anaweka mikono tumboni na kuunda..
Vitu vingine mviache kwenye Faith tu na sio mviingize kwenye uhalisia...

Story ya creation ipo kwenye Hizi dini zenu Tatu (Ibrahimic) tu kuwa kuna Mungu mmoja aliyeumba...

Ukienda kwenye Dini zingine kma samarian,Hindu ,Shinto,Buddha zenye umri mkubwa kuliko hata Dini zenu zote hawana Hizi mambo mlizoleta...

Sometime use even a single common sense uliyonayo ukiondoa hiyo faith
Kama ungesoma nilicho kiandika usingeandika huu ujinga hili la kwanza. Nilikuonyesha ya kuwa uumbaji uko wa namba kadhaa. Kisha nikashindwa timisha ya kuwa kila chenye uhai kimeumbwa. Hili soma tena.

Kitu Cha pili ni kuhusu dini, hizo dini ulizo zitaja asili yake ni wanadamu na hakuna dini kongwe katika hizo kuzidi dini ya Uislamu, hili halipo. Sasa mkiwa mnaandika mambo kama hakikisheni mmeyasoma na kuyahakiki, eti unaandika kabisa kwamba Ubudha, Uhindi ni dini kabla ya Uislamu ? Hivi mnajua kwanini tupo hapa duniani ?

Ama tukirudi katika Sayansi haiwezi kukupa ukweli na uhalisia kuhusu uumbaji zaidi ya kile kinachodirikiwa na akili yako na ule mfumo ulio wekwa na mwanadamu.
 
Katika swala la Ufanyikaji wa mwanadamu Ooh Yes nahisi Elimu ninayo tena kubwa sana na nakuruhusi Shoot any Swali kuhusu.. Embryology, Hata ukitaka pia Shoot kuhusu Cells na Physiology ya mwanadamu..
Huwezi kuingiza faith kwenye Reality hilo kaa ukijua
Uhai wa mtoto tumboni mwa mama yake unapatikana vipi na wakati gani ?
 
Hahah sasa Kama unaweza me nakuomba thibitisha Beyond Reasonable doubt kuwa kuna Uumbaji?
Mbona ni simple tu maana naona unaleta siasa zile tulizokuwa tunaongea kule kwenye Faith..
Huku tumekuja kwenye sayansi fanya hivyo
Kuwepo kwako wewe tayari ni ithibati tosha ya kuwa uumbaji upo.
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
-ndio maana nawakubali sana watu wanaopenda kukaa kimya, kama kichwani huna kitu kaa kimya,
-anajitokeza dogo mmoja nyuma ya button na kusema vizazi na vizazi huko miaka 3000 ilopita yaani wafuasi wa dini mbali mbali ni lowminded pipo,
-sababu tu huyo dogo ameingia google na kupata maandishi kutoka kwa wahuni wa dunia hii
-dogo dini ni kwa watu wenye akili timamu wanaojua kuna mwanzo na mwisho kuna mwanga na giza,
-dogo hata kizazi ulichotoka wewe wapo mababu zako wanaishi kwenye ulimwengu ambao wewe huwezi kuona sababu kwanza hata hujui kua dini kupitia imani ndio kuna milango ya kwenda huko.
-dogo dini ni kitu kipo na kwa watu wote chagua unayotaka,
-hata usipochagua dini matendo yako na mambo yako yatakuchagulia dini kwenye ulimwengu usioona wewe
-mwisho uwe unakaa kimya usiniambie mimi mababu zangu wa miaka 5000 ilopita walokua wafuasi wa dini zao ni lowminded.
 
Wewe ni stupid IQ....hata unachoongea ujui ...wanasayansi wote wanakubali kuwa vitu vyote vimeumbwa ila awakubali kuwa nguvu ya uumbaji inajitambua wao wanasema ni bahati tu... hivyo awakubali kuwa big bang ndiyo uumbaji wa mungu alio ufanya
Wanasayansi wote wanakubali uumbaji????

Haya, huyu unayemjibu ni mwanasayansi, huoni ka unajichanganya?

Mwanasayansi A akiamini uumbaji haimaanini na B anaamini.

Mwanasayansi anayeamini uumbaji naye kapotoka...ameacha vile alivyosoma na kupractise na kuukabidhi ubongo kwa matapeli
 
Back
Top Bottom