Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Ulisema hivi naku nukuu hapa
"Dunia na vyote ni energy"

Sasa kama Dunia na vyote ni energy, Utasemaje kwamba Dunia iliumbwa na Mungu?


Kama Mungu mwenyewe ni energy pia, Na dunia pia ni energy.

Sasa utasemaje Mungu ndio kaumba Dunia?

Kwa nini Dunia isiumbe Mungu maana na yenyewe ni energy?

Kwani dunia haiwezi kufanya art of energy?

Mbona hata sisi binadamu tunaweza kufanya art of energy.

Huyo Mungu hayupo, unachofanya ni unajaribu kumpachika chika sifa ambazo hata sisi tunaweza kufanya.
Tunaweza kufanya art of energy kwa kadri ya aliye umba alivyo kusudia na mipaka aliyo weka na hiyo art yetu sisi wanadamu ndiyo tunaita sayansi and technology
 
Science inasema kuna chanzo cha binadamu, Watu wa imani pamoja na Dini zote wanasema binadamu ana chanzo
Vyanzo hivyo ni nadharia tu wala havina ukweli wowote ule.

Ni makisio tu.


Wewe unasema hakuna chanzo.....
Ndio chanzo hakipo.
Unasimamia nini kuleta hii hoja ya binadamu hana chanzo ( Science ? Dinii ? Au ? )
Sisimami kwenye Sayansi wala dini maana vyote vimeshindwa kuthibitisha "Nadharia" zao kuhusu chanzo halisi cha ulimwengu.

Hivyo mpaka sasa hakuna sayansi wala dini yoyote yenye ukweli wa chanzo cha ulimwengu.

Hivyo dunia Haina chanzo mpaka pale sayansi ije na uthibitisho rasmi unao onyesha chanzo cha dunia na ueleze chanzo hicho kimewezaje kuwepo from Nothing.
Na ukisema binadamu hana chanzo ina maana ilitokea tu gafla tukawa wengi ?
Binadamu hajatokea popote pale.

Binadamu yupo tu, Hakuna muda ambao binadamu hakuwepo halafu ghafla akawepo.

Ukisema binadamu alitokea mahali fulani, Je huko alikotoka kulitoka wapi?
Jibu hayo maswali hayo mawili.
 
Tunaweza kufanya art of energy kwa kadri ya aliye umba alivyo kusudia na mipaka aliyo weka na hiyo art yetu sisi wanadamu ndiyo tunaita sayansi and technology
Acha kuzunguka zunguka.

Naku uliza hivi 👇

Kama Mungu ni energy na Dunia ni energy, Utasemaje kwamba Mungu ndio muumbaji wa dunia?

Kwa nini Dunia isiwe muumbaji wa Mungu maana na yenyewe ni energy?
 
E =MC² ila hiyo ni ART OF ENERGY =MC² ambayo kwa kifupi ni AE=MC² mungu ameumba dunia kwa kutumia energy siyo kwamba kaumba energy.....ndiyo maana nikasema energy inabadilika from one form to another.....VITU VYOTE ANAVYO UMBA MUNGU NI (ART OF ENERGY ) hivyo mungu akisema ataiangamiza dunia ujue maana yake ataiangamiza art dunia
Mungu aliumbwa na nani?

Kabla ya Mungu kuumba Dunia alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi?
 
Kwa nini unadhani binadamu na viumbe vilitokea?

Binadamu na viumbe havina mwanzo wala mwisho.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na mwanzo, Hata "mwanzo" lazima uwe na mwanzo wake na "mwanzo wake" uwe na mwanzo wake to endless huko

Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo chanzo maana kitavuruga muundo mzima wa ulazima wa kuwepo mwanzo.

Hata huyo Mungu lazima awe na mwanzo wake.

Huwezi kusema Mungu hana mwanzo halafu anataka kulazimisha Binadamu na viumbe viwe na mwanzo.
duuu hawa wasomi wetu hawa na jamiiforum.haina chanzo
 
duuu hawa wasomi wetu hawa na jamiiforum.haina chanzo
Iko hivi, 👇

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Hata Mungu lazima awe na chanzo chake.

Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo chanzo.

Huwezi kusema Mungu hana chanzo halafu unataka kulazimisha Binadamu na viumbe vyote wawe na chanzo.

Kama ulazima huo upo, Hata Mungu huyo lazima awe na chanzo, Na chanzo cha Mungu kiwe na chanzo chake to endless.
 
Hivi wewe logic yako ya uelewa ipo sawa kweli sasa hapo kilogic yesu yupo sahihi yani maana yake wasifanane na mafarisayo ...pia hapo umeona maana halisi ya NENO DINI KUWA NI HAKI HIVYO MTU AKISEMA DINI NI UPUMBAVU HATA KAMA INAELEKEZA HAKI BASI UJUE HUYO NI MTU MWENYE AKILI DUNI SANA ...DINI YA KWELI LAZIMA IWE YENYE KUSIMAMA PAMOJA NA HAKI
Dini sio Haki Jaribu kusoma uelew
 
Na huyo Mungu hana chanzo?
Mkuu Infropreneur wabane kwenye kanuni ya energy ya classical physics au first law of thermodynamics.

Kama kila kitu ni Energy
Basi Energy can neither created nor destroyed.

Na itakuwa rahisi zaidi kuelezea chanzo Cha ulimwengu na kimetokea wapi?

Kama kila kitu ni energy basi hakuna Mungu na hapa watakuwa wamethibitisha kwa maneno yao.
 
Mkuu Infropreneur wabane kwenye kanuni ya energy ya classical physics au first law of thermodynamics.

Kama kila kitu ni Energy
Basi Energy can neither created nor destroyed.

Na itakuwa rahisi zaidi kuelezea chanzo Cha ulimwengu na kimetokea wapi?

Kama kila kitu ni energy basi hakuna Mungu na hapa watakuwa wamethibitisha kwa maneno yao.
Kuna jamaa hapo juu Lwiva anasema Mungu naye ni Energy.

Halafu anasema Mungu ndiye kaumba Dunia.

Na dunia ni energy pia.

Sasa kama "Mungu na Dunia" ni Energy, Na Energy cannot be created or destroyed but can be transformed from one form to another.

Iweje aseme Mungu(energy) ndiye Muumbaji wa Dunia ambayo pia ni Energy?

Tayari ana ji Contradict mwenyewe.😅

Hoja zao za uwepo wa Mungu niza kuunga unga kwa vile Mungu huyo hayupo.
 
Mungu aliumbwa na nani?

Kabla ya Mungu kuumba Dunia alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi?
Usiseme mungu sema energy ilitoka wapi maana pasipo energy hakuna mungu wala chochote kwa sababu hata mungu ni energy (roho)
 
Kuna jamaa hapo juu Lwiva anasema Mungu naye ni Energy.

Halafu anasema Mungu ndiye kaumba Dunia.

Na dunia ni energy pia.

Sasa kama "Mungu na Dunia" ni Energy, Na Energy cannot be created or destroyed but can be transformed from one form to another.

Iweje aseme Mungu(energy) ndiye Muumbaji wa Dunia ambayo pia ni Energy?

Tayari ana ji Contradict mwenyewe.[emoji28]

Hoja zao za uwepo wa Mungu niza kuunga unga kwa vile Mungu huyo hayupo.
Endelea kusoma nilicho sema tena niliwai kusema miaka ya nyuma mungu anacho umba ni art of energy tu mungu aumbi energy hivyo dunia ni energy kweli ila ni art of energy...yaani energy imegeuzwa kuwa dunia na vyote hata mwanadamu ni energy
 
Mkuu Infropreneur wabane kwenye kanuni ya energy ya classical physics au first law of thermodynamics.

Kama kila kitu ni Energy
Basi Energy can neither created nor destroyed.

Na itakuwa rahisi zaidi kuelezea chanzo Cha ulimwengu na kimetokea wapi?

Kama kila kitu ni energy basi hakuna Mungu na hapa watakuwa wamethibitisha kwa maneno yao.
Hiyo energy kuu inajitambua ndiyo energy tawala hivyo ufahamu wa hiyo energy ndiyo mungu mwenyewe sisi ni sehemu tu ya huyo mungu
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Sources zangu zinaonyesha hawa ni miongoni mwa great scientists and thinkers na believed in God. Sasa sijui kati yao na wewe ambaye hata hujagundua kitu nani ana akili zaidi: wao au wewe?
Dissertation Template in APA7
Arthur Compton (1892 – 1962)

Blaise Pascal (1623-1662)

Ernst Haeckel (1834 –1919)

Erwin Schrödinger (1887 –1961)

Francis Bacon (1561-1627)

Francis Collins (Born 1950)

Galileo Galilei (1564-1642)

Gottfried Leibniz (1646 –1716)

Gregor Mendel (1822-1884)

Guglielmo Marconi (1874 –1937)

Isaac Newton (1642-1727)

James Clerk Maxwell (1831 –1879)

Johannes Kepler (1571-1630)

John Eccles (1903 – 1997)

Louis Pasteur (1822-1895)

Max Planck (1858-1947)

Michael Faraday (1791-1867)

Nicholas Copernicus (1473-1543)

Rene Descartes (1596-1650)

Robert Boyle (1791-1867)

Robert A. Millikan (1868 – 1953)

Werner Heisenberg (1901 – 1976)

William Harvey (1578 –1657)

William Thomson Kelvin (1824-1907)
 
Mkuu Infropreneur wabane kwenye kanuni ya energy ya classical physics au first law of thermodynamics.

Kama kila kitu ni Energy
Basi Energy can neither created nor destroyed.

Na itakuwa rahisi zaidi kuelezea chanzo Cha ulimwengu na kimetokea wapi?

Kama kila kitu ni energy basi hakuna Mungu na hapa watakuwa wamethibitisha kwa maneno yao.
Tumia akili kama mungu siyo energy basi hakuna mungu ila mungu ni ufahamu wa hiyo energy yote kwa ujumla wake huo ufahamu wa energy yote ndiyo mungu sisi ni part of him
 
Endelea kusoma nilicho sema tena niliwai kusema miaka ya nyuma mungu anacho umba ni art of energy tu mungu aumbi energy hivyo dunia ni energy kweli ila ni art of energy...yaani energy imegeuzwa kuwa dunia na vyote hata mwanadamu ni energy
Mungu Energy ataumbaje Dunia Energy?

Kwamba energy inaumba energy?
 
Back
Top Bottom