Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

@Jumong S Hii mada bado inaendelea? By the way Adam na Hawa walizaa watoto wengi wa kiume na wa kike. Basi ni wazi kuwa Kaini alipooa alimchukua dada yake maana ndio waliokuwa duniani.
Imeandikwa wapi Kaini alioa dada yake? Kwanza walikua wawili then akamuua mdogo ake Abel, kisha akafukuzwa akaenda nchi ya Nod, akaoa na kuzaa huko. Swali, watu wa Nod walitoka wapi? Adam na Eva waliwazaa lini watu wa Nod??? Kaini alimzaa Henoko na akajenga mji akauita Henoko kwa jina la mwanae. Je, huo mji waliishi akina nani wkt alikuwepo Kaini, mkewe na mtoto wao Henoko??

Kuna lot of gaps hapa!
 
Najiuliza "asiyeamini uwepo wa Mungu na anaekubali uwepo wa Mungu ni nani zuzu "? Ila katika kutafakari, anaekataa na kuhoji uwepo wa Mungu ana akili zaidi. Angalia ulimwengu wa kwanza na ule wa tatu, wa kwanza wengi wana akili na tunatumia tekinologia yao. Imani ya Mungu imehamia ulimwengu wa tatu.
Ulimwengu wa dini umejaa matapeli wengi, wanajipigia wajinga tuu...kila siku wanawatajirisha welevu
 
Ila ni mtu mjinga tu asiyeamini uwepo Wa Mungu.Nawahakikishia Mungu yupo.kwanza uwepo wa Mungu unathibitishwa na uwepo wa Sayari ya dunia.angalia uzuri wa Dunia.Angalia mifumo ya dunia yaani kila kitu kimeundwa kwa akili kubwa.kaweka mifumo ya upatikanaji wa maji,kaweka mimea na miti,kaweka wanyama na samaki,kaweka bahari na nchi kavu.yaani kila kitu kimedesigniwa kwa ustadi mkubwa na maarifa makubwa.mfano akasema ngoja tuweke dunia kwa umbali fulani kutoka kwenye jua sio akili ndogo hii ndo sababu mojawapo ya maisha kuwepo duniani.kwa hiyo huhitaji kwenda kwenye vitabu ukitumia akili tu unaweza kusema kuna natural force Sehemu bigger than everything.yaani kuna Mungu.
 
Pia Ubovu wa hizi dini zetu hauhalalishi kutokuwepo kwa Mungu kwa sababu hizi dini zetu zinaongozwa na binadamu wenye tamaa.Na pia sio kila dini ni ya ukweli.ninauhakika na asilimia nyingi ukristo ndo dini ya ukweli.lakini binadamu ndo wanaharibu hii dini kwa kuingiza maovu yao.
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Sawa wa hayo yote umetoa wapi si ufikiri wako ni vitabu vya hadithi na sayansi uka summarize ukaja na hoja sasa basi vitabu vya wanasayansi na vya manabii vipi bora sisi tunaoamini tunaona bora vya manabii wewe ambae huamini fata vitabu vya wanasayansi
 
Ila ni mtu mjinga tu asiyeamini uwepo Wa Mungu.Nawahakikishia Mungu yupo.kwanza uwepo wa Mungu unathibitishwa na uwepo wa Sayari ya dunia.angalia uzuri wa Dunia.Angalia mifumo ya dunia yaani kila kitu kimeundwa kwa akili kubwa.kaweka mifumo ya upatikanaji wa maji,kaweka mimea na miti,kaweka wanyama na samaki,kaweka bahari na nchi kavu.yaani kila kitu kimedesigniwa kwa ustadi mkubwa na maarifa makubwa.mfano akasema ngoja tuweke dunia kwa umbali fulani kutoka kwenye jua sio akili ndogo hii ndo sababu mojawapo ya maisha kuwepo duniani.kwa hiyo huhitaji kwenda kwenye vitabu ukitumia akili tu unaweza kusema kuna natural force Sehemu bigger than everything.yaani kuna Mungu.
Kwasababu hakuna anayejua for sure ulimwengu huu umefanyikaje, ina wezekana hiyo high power above all iliofanya ulimwengu ipo....... LAKINI SIO MUNGU WA KWENYE HEKAYA ZA BIBILIA, QURAN NK. Big No
 
Sawa wa hayo yote umetoa wapi si ufikiri wako ni vitabu vya hadithi na sayansi uka summarize ukaja na hoja sasa basi vitabu vya wanasayansi na vya manabii vipi bora sisi tunaoamini tunaona bora vya manabii wewe ambae huamini fata vitabu vya wanasayansi
Kuamini ni matokeo ya ujinga
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Uko sahihi kabisa
 
So, Natural force ndo Mungu? Umezungumzia uzuri, na ubaya je?


Ila ni mtu mjinga tu asiyeamini uwepo Wa Mungu.Nawahakikishia Mungu yupo.kwanza uwepo wa Mungu unathibitishwa na uwepo wa Sayari ya dunia.angalia uzuri wa Dunia.Angalia mifumo ya dunia yaani kila kitu kimeundwa kwa akili kubwa.kaweka mifumo ya upatikanaji wa maji,kaweka mimea na miti,kaweka wanyama na samaki,kaweka bahari na nchi kavu.yaani kila kitu kimedesigniwa kwa ustadi mkubwa na maarifa makubwa.mfano akasema ngoja tuweke dunia kwa umbali fulani kutoka kwenye jua sio akili ndogo hii ndo sababu mojawapo ya maisha kuwepo duniani.kwa hiyo huhitaji kwenda kwenye vitabu ukitumia akili tu unaweza kusema kuna natural force Sehemu bigger than everything.yaani kuna Mungu.
 
Pia Ubovu wa hizi dini zetu hauhalalishi kutokuwepo kwa Mungu kwa sababu hizi dini zetu zinaongozwa na binadamu wenye tamaa.Na pia sio kila dini ni ya ukweli.ninauhakika na asilimia nyingi ukristo ndo dini ya ukweli.lakini binadamu ndo wanaharibu hii dini kwa kuingiza maovu yao.
Kuna dini zilianza Miaka zaidi ya 300,000 kabla ya Ukristo, why uamini Ukristo ndi ukweli? Kwa nn Mungu asiweke dini moja na miungu isiabudiwe kabisa?:Si anao uwezo huo? Hii mikanganyiko ya nani yupi sahihi na nani hayupo sahihi ndo inaleta maswali...
 
Sawa wa hayo yote umetoa wapi si ufikiri wako ni vitabu vya hadithi na sayansi uka summarize ukaja na hoja sasa basi vitabu vya wanasayansi na vya manabii vipi bora sisi tunaoamini tunaona bora vya manabii wewe ambae huamini fata vitabu vya wanasayansi
Vitabu vya manabii vimejaa ndoto na fikra zisizo na uhakika...mengi ni dhahania. Vitabu vya Sayansi vinakupa matokeo kabisa. Mf Mgonjwa wa UTI tunajua kabisa amekua affected na Eschricia coli na dawa ya kuwaua hawa bacteria ni Cipro, Nitrofurantoin, Amoxcillin au Azithromycin...proved and effective.

Sasa ww nabii anakuambia kaombewe sijui unywe maji ya upako utapona...wengi wanaishia kutapeliwa.

Sayansi gives more answers than Dini!
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Sir Isaac Newton, mwingereza huyu, ni moja kati ya Wanasayansi wakubwa tu walioeahi kuishi kwenye uso wa dunia na ni moja kati ya watu wenye IQ kubwa tu kuwahi kuwepo duniani na alikuwa Mwanathiolojia (Elimu ya dini na mambo ya kale) mzuri tu na alikuwa anaamini katika dini na alikuwa anaamini katika MUNGU na aliwahi ku
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Sir Isaac Newton, mwingereza huyu, ni moja kati ya Wanasayansi wakubwa tu kuwahi kuishi kwenye uso wa dunia na ni moja kati ya watu wenye IQ kubwa tu kuwahi kutokea duniani na alikuwa Mwanatheolojia mzuri tu wa mambo ya dini na alikuwa anaamini katika uwepo wa MUNGU, ko akili na imani havina uhusiano kabisa, imani inaanzia pale akili inapokomea!
 
Ukikubali Mungu wa miujiza ambaye hapingiki wala kuthibitishika kisayansi umeshapingana na sayansi.

Ukikubali Mungu anayepimika na kuthibitishika kisayansi, umeshamuondoa huyo Mungu kwenye uungu na kumuweka kwenye kanuni ya sayansi tu.
Mungu ameshawahi kuwepo duniani na kutembea kama binadamu wa kawaida na kula na kunywa kama binadamu! Mtihani ulikuwa ni kuamini kwamba ndiye.
 
Back
Top Bottom