Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Mwamposa ni ujinga mwingne ambao umejizalisha ndani ya dini ambayo kimsingi ni ujinga tu.Dini zililetwa ili kupumbaza watu, Imagine mtu anatoka mwanza kuja Dar kupokea miujiza ya yesu kristo kutoka kwa mwamposa. Ukina na akili timamu huwezi fanya upuuzi huo
Basi tu kitu gani madam, kataa dini.Kabisa ila basi tu[emoji19]
True we uoni mtu ana PhD anaenda ogeshwa njiapanda na mganga aliyeishia darasa la kwanza ili apate ubungeImani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuwahi kuikumba hii dunia
na tutakuwa tumechelewa sana.Inahitajika miaka mingi sana huu upuuzi uitwao dini kuweza kupotea vichwani mwa watu.
Unasikia tu mkuu ,au umeona kwa macho?Mbona zilipoanzia Dini hakuna huo upuuzi
Watatuheshimu kwa matendo yetu na si kwa tabia zetuTukiikataa hii mambo hawa ngozi nyeupe wataanza kutuheshimu mdogo mdogo.
Kwani huoni ulaya na arabuni ustaarabu na maendeleo yote yameletwa na diniUnasikia tu mkuu ,au umeona kwa macho?
Tabia ndio zina zaa matendoWatatuheshimu kwa matendo yetu na si kwa tabia zetu
Hapana,tatizo kuna nyakati nimepitia tangu mdogo huyu Yesu kanipigania sana.....hiyo bas tu ni vile watu wanauana huko Israel napalestine sababu ya dini😭😭😭😭Basi tu kitu gani madam, kataa dini.