bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Hakuna tofaut na mababu zetu kutambika chini ya miti mikubwa au mapangoni kwa vitu wasivyovioonaAu huu ujinga hapa
Mababu zetu waliwabeba Wakoloni juu huku wakichapwa viboko, leo Watu wazima na akili zao wanabeba sanamu iliyotengenezwa kwa mbao na kupakwa rangi huku wakisema ni Mama wa Mungu
View attachment 2787351