Dini ni moja ya kitu cha "KIPUUZI" kupata kuletwa

Dini ni moja ya kitu cha "KIPUUZI" kupata kuletwa

Thibitisha
Kisicho kuwepo, Hakihitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake.

Kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Angalau kitu kinaweza kuthibitishika kipo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Mungu na Shetani Hawapo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika zaidi ni dhana za kufikirika tu na kusadikika, Imagination just an illusion.

Mungu na Shetani ni dhana za kufikirika, Imagination just an illusion...

Ndio maana Hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.

Kama una uwezo huo, thibitisha uwepo wa huyo Mungu.
 
Hayo ni makundi ya wahuni hayana uhusiano na dini kama ,kama ni dini mbona matendo yao pingana na din.
N makundi yanayofadhilia na kiranja wa dunia kuleta political instability
Una elewa maana ya Jihad?

Utasemaje makundi haya hayana uhusiano na Dini?
 
Kisicho kuwepo, Hakihitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake.

Kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Angalau kitu kinaweza kuthibitishika kipo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Mungu na Shetani Hawapo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika zaidi ni dhana za kufikirika tu na kusadikika, Imagination just an illusion.

Mungu na Shetani ni dhana za kufikirika, Imagination just an illusion...

Ndio maana Hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.

Kama una uwezo huo, thibitisha uwepo wa huyo Mungu.
Nani kakwambia uthibitisho wa jambo umefungwa only kwenye five sense pekee.
 
Msichanganye mambo, dini zipo kitambo sana kulikuwa na dini za mafarisayo, masadukayo na ushenzi mwingine mwingi hadi kufikia uislam. Yesu alipokuja duniani hakuwa na mpango na dini hizo aliona wamepotea na hawana Mungu. Wakuu wa mafarisayo waliona Yesu anaharibu dini yao wakamchongea kwa herode na pilato ili aadhibiwe. Wafuasi wa Yesu tangu mitume mpaka sasa hawakumbatii dini wanaona ni ukengeufu na upotevu. Dini ni ya kiislam, bila msaada wa Mungu huwaambii kitu waislam. Ila taratibu wameanza kunyooka, ni suala la muda tu wataachana na dini yao na kuona kumbe ilikuwa ni abrakadabra tu
 
Una elewa maana ya Jihad?

Utasemaje makundi haya hayana uhusiano na Dini?
Jihad Sio hio wanayopigania hawa wahuni wanapigania maslai ya dunia na Sio maslai ya dini
Kama ni dini mbona wanafanya matendo kinyume na dini mfano kuteka meli ( wizi) kuuza madawa ya kulevya,kuuza viungo vya wanadamu,usafirishaji haramu wa watu ili kupata pesa za kuendesha makundi je dini inaruhusu hayo.
Silaha zinapitaje bandarini mipakani na kuwafikia wao.
Huoni kwamba ni michezo ya watu hii
 
s
Kati ya mambo ya kipuuzi kupata kubuniwa au kuletwa na watu duniani.

Dini ina ingia katika kundi hilo la vitu/mambo ya kipuuzi kuwepo duniani.

Maafa yaliyoletwa na huu upuuzi uitwao dini hayana idadi, ujinga ulioletwa na huu upuuzi uitwao dini haulezeki.

Dini ni kitu kinacho fanya mwenye akili kuwa mwendawazimu asiye jitambua.

Inahitajika miaka mingi sana huu upuuzi uitwao dini kuweza kupotea vichwani mwa watu.
subiri sasa reponses utaona kabisa thinking ya kutawaliwa na dini...
 
Una uhakika gani yesu alikuja kwel na sio story za kukopa tu kwenye story za kale za kigiriki?
stori za kale za kigiriki? Si ndio maandiko yao tumefundishwa na kuamini huko? Imani huja baada ya kusikia, tulihubiriwa habari njema za injili tukaamini pasina shaka. Imani haitaki shakashaka, shaka huondoa matokeo halisi
 
stori za kale za kigiriki? Si ndio maandiko yao tumefundishwa na kuamini huko? Imani huja baada ya kusikia, tulihubiriwa habari njema za injili tukaamini pasina shaka. Imani haitaki shakashaka, shaka huondoa matokeo halisi
Umehubiri mkuu
 
Kati ya mambo ya kipuuzi kupata kubuniwa au kuletwa na watu duniani.

Dini ina ingia katika kundi hilo la vitu/mambo ya kipuuzi kuwepo duniani.

Maafa yaliyoletwa na huu upuuzi uitwao dini hayana idadi, ujinga ulioletwa na huu upuuzi uitwao dini haulezeki.

Dini ni kitu kinacho fanya mwenye akili kuwa mwendawazimu asiye jitambua.

Inahitajika miaka mingi sana huu upuuzi uitwao dini kuweza kupotea vichwani mwa watu.
"Dini" maana yake nini?
 
Kati ya mambo ya kipuuzi kupata kubuniwa au kuletwa na watu duniani.

Dini ina ingia katika kundi hilo la vitu/mambo ya kipuuzi kuwepo duniani.

Maafa yaliyoletwa na huu upuuzi uitwao dini hayana idadi, ujinga ulioletwa na huu upuuzi uitwao dini haulezeki.

Dini ni kitu kinacho fanya mwenye akili kuwa mwendawazimu asiye jitambua.

Inahitajika miaka mingi sana huu upuuzi uitwao dini kuweza kupotea vichwani mwa watu.
Muongozo wa maadili ya watu umeletwa na dini, kama pasingekuwa na dini, dunia isingekuwa sehemu salama ya kuishi. Kama kusingekuwa na imani za dini tungekuwa zaidi ya hayawani, kwani mwenye nguvu ndiye angeishi na mnyonge angetoweka. Mtu mwenye kuendeshwa na matamanio ya nafsi yake huwa anaweza kufanya chochote ambacho kinaweza kuwadhuru wenziwe.
Maisha ya dunia ni upuuzi na mchezo lakini siyo dini, mtu mwenye kufuata maamrisho ya dini sawasawa huwa hana upuuzi, bali kuna wapuuzi wenye kutumia dini katika kuendesha maisha yao ya kipuuzi.
Nasaha zangu kwako ni usipuuze dini na kufuata matamanio ya nafsi yako kwani unaweza ukajikuta umepuuzwa na kuwa mpuuzi wa kutupwa. Ikiwa huamini dini basi jitahidi kuwa mstahamilivu kwa wenzio wenye imani zao.
 
Tukiikataa hii mambo hawa ngozi nyeupe wataanza kutuheshimu mdogo mdogo.
katika mtandao wa tiktok tayari kuna mavuguvugu kadhaa ya watu weusi kuhoji kuhusu dini.

baadhi ya watu huko europe na USA walishaachana na huu upuuzi unaoitwa dini, tumebaki sisi waafrika tu na watu wa middle east.
 
Back
Top Bottom