Dini siyo mila za Kizungu wala Kiarabu

Dini siyo mila za Kizungu wala Kiarabu

Habari wakuu,
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la kampeni kubwaa Sana ya kupinga Vita dini Na kusema dini ni vitu vya kuletwa na majahzi tu zisifuatwe,na maneno haya utakuta wanoongea Wala sio atheists Bali Ni watu wanaoamini katika mungu sema tu wanadai kuwa mfumo wa kumuabudu mungu kwa kutumia uislamu au ukristo Ni Mila za kuletwa na sahihi na mbadala wake watu warudi kwa mila za mababu haswaa mizimu na kuabudu mti.
Mimi Ni Muslim na kwa upande wa dini yangu nitatetea dini kwa historia kupitia uislamu Kwa munasaba wa sikukuu hii ya idd na ibada ya hijjah inayoendelea huko makka na historia yake kuonyessha kuwa uislamu so mila ya kiarabu hta kidogo Bali ni kitu tofauti kabisa na uarabu Ila tu umekuwa ikifungamana na uarabu sababu mtume MUHAMMAD صلى الله عليه وسلم Ni mwarabu na mafundisho yameshuka kwake .
HISTORIA KWA UCHACHE.
GHARIKA LA WATU WA NUHU
Baada ya gharka la nuhu kutokea kulikuwa na watu wachache Sana waliobaki duniani,Nuhu aliwahubiria watu wake kwa Muda wa miaka 1000 ispokuwa 50 Yani miaka 950 akiwakataza ushirikina(shirk) lakini waliamini watu inakadiriwa Kama 80 tu na inasemwa watu walikuwa wanazaliwa na kufa lakni wanamkuta nuhu ,na wazee walikuwa Wana WaPa wosia watoto wao wasimkubali nuhu sababu anataka kuharibu mila za mababu yao.
Yani hawa watu walikuwa wanaabudu watu wema ambao walwajengea masanamu matatu na wakayapa majina yao Yani latta, uzza na Nasra. historia Ni ndefu lakni kwa ufupi hawa watu walikuwa wanaabudu masanamu na Kuna sababu zlizopelekea wao wayaabudu hayo masanamu ya watu wema ,hyo nayo Ni historia nyengne Ila waliangamizwaa wote ispokuwa wachache ambao waliingia kweny safina la nuhu.
Hii Ni historia inakublika kwa Christian,Jews na Muslims. Ndani ya vitabu vyao injili,Torah,Quran respectively.
SWALI:naomba kujua kwa upande wa wakristo ,
1.je, nuhu alikuwa dini gani mnadhani? Christian? Jew?, Mana mnasema bila yesu huwezi kuuona ufalme wa mbingu. je hawa nuhu ,lutu, Ibrahim wao watu wao inakuaje sababu yesu kaja baada na wao walikuwa wakimuabu Nani?.
Jibu langu(Islam side): nuhu alikuwa akiabudu mungu mmoja na aliabudu kwa namna mungu yeye alivyotaka ,sababu waislamu tunaamini kila mtume alipewa maelekezo kivyake kulingana na umma wake jinsi ulivyo.
2.je? Yesu ambaye mnadai Ni mungu alijitoa sadaka kwa ulimwengu mzima au baadhi ya watu tu, Mana Kuna watu wamepta adhabu kabla ya kuja yesu ,pia watu wa luth waliadhibiwa kabla ya kuja yesu.
3. Naomba kujua historia ukristo inavyosema kwanni watu wa nuhu waliiadhibiwa I'ma kwa kumkataa yesu au mungu mmoja ,Kama Ni mungu mmoja kwanii wote tusimuabudu huyo mungu mmoja ambyae alikuwepo toka Adam na nuhu akiabudiwa.(Haya maswali Ni nje ya mada Ila naomba majibu)
BAADA YA GHARKA LA WATU WA NUHU.
baada ya gharka la watu wa nuhu ,miaka ilipita na Kuna historia hapo Kati ilipita ya watu wa thamudi na Adi (giant people kuubwa toka dunia ianze ambao waliangamizwaa kwa kimbunga).
Baada ya hapo alikuja Ibrahim ,Sasa huyu mtume ndo tutajua uislamu Ni uarabu au sio!.
Kipindi Cha Ibrahim hakukuwa na mtu hta mmoja aliabudu mungu Bali waliabudu masanamu na mizimu ,lakni wote walikuwa wanajua Kuna muumba lakni walikuwa hawataki kuabudu tu,Kama hawa wa Sasa wanavyosema mungu yupo lakni tuabudu mizimu na miti ,Sasa umejuaje kuwa mungu anaridhia kuabudiwa kupitia mizimu?, Na ukifanya hivyo unaabudu mungu au mizimu?.
Pia dini sisi tunaamini ndo njia ambayo inatuelezea mungu akubali Nini na hataki Nini, Sasa utafanyaje kitu kwa kubuni tu et niabudu hv wakati hjajua Yule unaemfanyia anakubaliana nacho.
EID-AL-ADHWHA NI HISTORIA YA NABII IBRAHIM.
ukifuatlia historia utaona watu wengi kabla ya mitume walikuwa waliabudu masanamu ,Sasa alipokuja Ibrahim alipingana na watu wote ,yeye na mke wake Sarah ndo walikua wanamuamini mungu mmoja tu.
Utakuta kweny Hadith mtume anaelezea kwamba nabii Ibrahim alimwambia mke wake SKU mmoja yani dunia nzima mi na wew ndio waumini tu,hapa utaona kumbe hta zamani huko arabuni kulikuwa na watu Wana mila zao na so uislamu kabisa .
Pia Ibrahim ametajwa kuwa Ni mtu aliyepinga ushirikina akiwa peke yake na mkewe mpak jamaa zakee wakataka kumuua kwa kumchoma moto,hta kweny Quran suratul nnahal inaelezwa Ibrahim alikuwa Ni umma mmoja yani Ni muumini peke yake na mkewe Hana hta mfuasi mmoja na Wala hakuwa Ni mshirikiana .
Hivyo Basi eid hii iliyopo ni kuchinja ,na kwenda hijjah maanake waislamu waadhimisha mila ya nabii Ibrahim kwasababu kuchinja watu wanachinja kwa ajili ya Allah na kwenda hijjah makka Ni jengo alojenga Ibrahim.
Na Ibrahim alitaka kumchinja mwanae Kama sadaka kwa Allah lakni akatumiwa kondoo amchinje Kama mbadala na ndo maana waislamu wanachinja.
Katika uislamu Ni kwamba Lau Kama Ibrahim angemchinja mwanae sku Ile , waislamu wangekuwa wanatakiwa kuchinja watoto wao Kama sadaka ili kumuenzi Ibrahim.
UISLAMU ULIVYOUFUNGAMANISHWA KWA IBRAHIM.
Katika suratul baqara ,utakuta Allah anaamrisha waumini na mtume wafuate mila ya nabii Ibrahim sababu hakuwa mshirikiana .
Ushirikina maanake Ni kupeleka ibada Kama kuomba,kutegemewa, wakati wa shda na majanga kwa asiye kuwa Allah Kama mizimu na miti.
HITIMISHO: Uislamu sio mila za mababu wa kiarabu Kama wanavyodai mapunguwani na mahayawani Bali Ni ufunuo kutoka kwa Allah sababu historia inaonyesha ,mababu wa kiarabu walikuwa Wana mila zao kabla ya Kuja mitume.
Na hta ukimuaangalia mtume MUHAMMADصل الله عليه وسلم alipopewa utume watu walitaka kumuua Sana Mana alikuwa anapinga mila za mababu za kuabudu mizimu na masanamu ,waafrica msidhani kuabudu makaburi,mizimu,masanamu ,miti Ni dini yenu Ni desturi na innovation ya wanadamu waliopotea,mtu mzima na akili zako unauuomba mti kwelii!.
Au mfu ambaye huenda mwenyew alipokufa alikuwa hohe hahe hta wew una afadhali duuh!.

SABABU YA KUPINGA DINI.
on our point of view,inasemekana dini zimeanza kudharauliwa huenda kwa sababu ya ukristo kuchezewa Sana mfano utakuta viongozi wa kikristo duniani ndo wanashadidia ushoga na usagaji na ilihali kweny Torah na Bible Wanasoma kabsa namna watu wa lutu walivyoangamizwa sababu ya ushoga,Sasa wakaona wawapumbaze na upande wa pili Mana kweny uislamu kidog misimamo Ni mikali huwa hatulegezi kamba kweny sheria.
Waseme DINI NI UTAPELI ILI tuwe sawa tu maana wengi katik wapinga dini Ni watu wanamuonekano wa kikristo nje lakni mioyoni Ni wapinga dini.
Mana hapa Africa kuwa atheist Ni ngumu itabaki tu atheist kimoyo lakni matendo hamna Mana ukicheza kidog misiba unatakiwa ushiriki kwa utaratbu wa kidini, au ndoa na hta serikali Ina sehemu imetoa nguvu kweny dini mfano vitabu vya dini mahakamani na kuapisha maraisi.

EID MUBAARAK
تقبل الله منا ومنكم
Hakuna Uthibitisho wa Kutokea Kwa gharika anza kwanza kuthibitisha Hilo
 
Unazungumziaje Waislamu wanaochanganya UISLAMU na mila za waarabu, nazungumzia wale ambao wanaona uarabu ndio UISLAMU, na kila jambo la waarabu ndio UISLAMU.

Unazungumziaje Waislamu wanaoabudu Waarabu na kuona kana kwamba kuutetea uarabu ndio kuutetea UISLAMU na kupelekea kuwathamini waarabu zaidi kuliko waAfrica wenzao.

Je ni sahihi kwenye dini kumthamini Muarabu MUISLAM na kuacha kumthamini Mwafrica mwenzio asiye na dini?
 
Hvyo Ni vijitaasisi vdog tu vyenye lengo la kuchafua uislamu tu,
Halafu MASGD siyo kitaasisi, ni moja ya taasisi kubwa kabisa ya kiislamu inayohudumia LGBTQ wa hiyo dini duniani kote..

 
Naomba kujua dini yako kwanza mkuu,
Kama Ni atheist itabid tuanzie kweny kuthibitisha mungu kwanza.
Atheist nitawaandalia Uzi wenu mzuri kabisaa wa kuthibitisha mungu kwanza.
Habari Al-habiib
Kwanini unataka Kujua Dini yangu?
Jibu nililotaka au ulilotaka Kunipa Linahusiana na Dini?

Kwanini Unaogopa Mjadala kwa kisingizio cha Dini?
Nikikwambia Mimi Muislam, Then what?, nikikwambia Mkristo ,Then what?
Nikikwambia Myahudi, Then what?

kama utataka kujibu Hoja Plz jibu usijifiche kwenye Kivuli cha Dini

Well kama Ndyo, Niko Familia na Dini karibu zote Christian, Hinduism, Islam ,Judaism, Agnostic, Ignostics , Atheism, Sumerian mystery or any You name it..

Hakuna sehemu Nimeomba Kuthibitishiwa Kuwa Mungu Yupo (unachanganya Mafaili).

Nilichoomba ni kitu kidogo tu ushahidi Usio na shaka Kuwa Gharika Ilitokea na Waliopona Ni wachache Dunia nzima..

Kwa Mujibu wa Biblia Waliopona Hawakuzidi 8..

Na najua kwenye Quran Suratul Hud (11:36-48) na Suratul Mu'minun (23:23-29), Zinasema walipona Watu wachache familia ya Nuhu na Watu wachache waliomuamini Nuhu..

Hiyo imeenda against Biblia ambayo ilisema walipona Familia Ya Nuhu peke yake ambao ukiwajumlisha Unapata Nane..

Sasa swali lilo pale pale..
Thibitisha Tukio la Nuhu ni Tukio la kweli
 
Unazungumziaje Waislamu wanaochanganya UISLAMU na mila za waarabu, nazungumzia wale ambao wanaona uarabu ndio UISLAMU, na kila jambo la waarabu ndio UISLAMU.
Kwanza mkuu Kuna ktu kimoja unatakiwa ukijue kwamba, uislamu umevunja mila nyingi za kiarabu. hta hayo mavazi upande wa wanawake ule Ni uislamu so uarabu, sababu Aya zilishuka kuwa Shurutisha wanawake kuvaa vile ,lakni mfano upande wa wanaume hakukuwa na sharti la kuvaa kanzu, Ila kwa sababu ndio vazi ambalo mtume alikuwa akivaa hta wafuasi lazma waathirike na yeye.
kwahyo utakuta mambo mengi waliyonayo waarabu ni ya kiislamu .
labda kujua Sasa Hili Ni la kiarabu na huu uislamu lazma uwe muislamu ,
na machache Sana walonayo waarabu so ya kiislamu sababu dini imeshuka kwao so lazma athari iwe kubwa kwao.
Unazungumziaje Waislamu wanaoabudu Waarabu na kuona kana kwamba kuutetea uarabu ndio kuutetea UISLAMU na kupelekea kuwathamini waarabu zaidi kuliko waAfrica wenzao.

Je ni sahihi kwenye dini kumthamini Muarabu MUISLAM na kuacha kumthamini Mwafrica mwenzio asiye na
Uislamu unamtaka mtu amkubali Allah na aachane na Mila zote isiyo kuwa uislamu,
Sasa kuhusu mambo ya utaifa,ukabila hayazingatiwi kweny uislamu kabisa yani watu wote Ni sawa .
Kweny Quran suratul-hujuuraat Allah anasema Aya 13 ,
"Enyi watu!Hakika sisi Tumekuumbeni kutokana na mwanaume na mwanamke na tumekujaalieni kuwa mataifa na makabila ili mpate kujuana hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa allah Ni huyo aliye mchamungu zaidi katika nyinyi.Hakika ya Allah Ni mwenye kujua, mwenye khabari."
Ndo Mana utaona muislamu anaishi popote na waislamu wenzie na hta huko makka watu wanachanganyikana bila kujali race zao maskini ,tajiri,mweusi ,mweup n.k.
Kwahyo uislamu haukubali kuchukukiana kwa sababu hzo Ila Sasa, kuchukukia na kupenda kunatakiwa kuwe kwa ajili ya Allah mfano unampenda mtu sababu Ni muislamu na anfanya matendo mazuri. Na kuchukia nako Ni hvy hvy Yani mfano unamchukia mtu sababu anapiga Vita uislamu kwa wazi labda anawasema vibaya waislamu na kuwadhihaki dini yao.
HITIMISHO:1.uislamu unakubali kumthamini muarabu au mzungu kwa sababu ya uislamu wake ,lakni so kisa Ni muarabu au mzungu, na kumthamini mwafrica au mtu mweusi sababu Ni muislamu lakni so kisa uafrica wake ,Ila haimaanishi uishi ukimchukia asiye muislamu Kama hakupigi Vita katika uislamu wako ,Bali tuishi kwa wema tu.
Hzo mambo za ugaidi na Vita Ni mipango ya wanaochafua uislamu kupitia fikra potofu au katika dini Kuna watu pia huwa wanapotosha maandiko kwa jazba na mihemko yao tu.
2.uislamu unazinagatia udugu wa Aina mbili tuuuu a)kiimani Yani muislamu kwa muislamu kupendana b)udugu wa damu ,na huu huwa haufi na uislamu una sisitiza kuunga udugu hta Kama ndugu so muislamu.
 
Jina lako tu linasharabu uarabu/uislam. Acha upotoshaji uislam ni tamaduni za kiarabu na na ukristo uliletwa na wazungu toka ulaya. Cha ajabu zaidi leo waturuki/waislam wanachinja mifugo balaa kana kwamba wako kwao kufanya tamaduni za ibada ya dini yao ya kiislam. Wanatuona waafrika hatuna dini, wao ndio wana dini na mungu wao. Karne hii upuuzi wa dini zao hatuutaki
 
Habari wakuu,
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la kampeni kubwaa Sana ya kupinga Vita dini Na kusema dini ni vitu vya kuletwa na majahzi tu zisifuatwe,na maneno haya utakuta wanoongea Wala sio atheists Bali Ni watu wanaoamini katika mungu sema tu wanadai kuwa mfumo wa kumuabudu mungu kwa kutumia uislamu au ukristo Ni Mila za kuletwa na sahihi na mbadala wake watu warudi kwa mila za mababu haswaa mizimu na kuabudu mti.
Mimi Ni Muslim na kwa upande wa dini yangu nitatetea dini kwa historia kupitia uislamu Kwa munasaba wa sikukuu hii ya idd na ibada ya hijjah inayoendelea huko makka na historia yake kuonyessha kuwa uislamu so mila ya kiarabu hta kidogo Bali ni kitu tofauti kabisa na uarabu Ila tu umekuwa ikifungamana na uarabu sababu mtume MUHAMMAD صلى الله عليه وسلم Ni mwarabu na mafundisho yameshuka kwake .
HISTORIA KWA UCHACHE.
GHARIKA LA WATU WA NUHU
Baada ya gharka la nuhu kutokea kulikuwa na watu wachache Sana waliobaki duniani,Nuhu aliwahubiria watu wake kwa Muda wa miaka 1000 ispokuwa 50 Yani miaka 950 akiwakataza ushirikina(shirk) lakini waliamini watu inakadiriwa Kama 80 tu na inasemwa watu walikuwa wanazaliwa na kufa lakni wanamkuta nuhu ,na wazee walikuwa Wana WaPa wosia watoto wao wasimkubali nuhu sababu anataka kuharibu mila za mababu yao.
Yani hawa watu walikuwa wanaabudu watu wema ambao walwajengea masanamu matatu na wakayapa majina yao Yani latta, uzza na Nasra. historia Ni ndefu lakni kwa ufupi hawa watu walikuwa wanaabudu masanamu na Kuna sababu zlizopelekea wao wayaabudu hayo masanamu ya watu wema ,hyo nayo Ni historia nyengne Ila waliangamizwaa wote ispokuwa wachache ambao waliingia kweny safina la nuhu.
Hii Ni historia inakublika kwa Christian,Jews na Muslims. Ndani ya vitabu vyao injili,Torah,Quran respectively.
SWALI:naomba kujua kwa upande wa wakristo ,
1.je, nuhu alikuwa dini gani mnadhani? Christian? Jew?, Mana mnasema bila yesu huwezi kuuona ufalme wa mbingu. je hawa nuhu ,lutu, Ibrahim wao watu wao inakuaje sababu yesu kaja baada na wao walikuwa wakimuabu Nani?.
Jibu langu(Islam side): nuhu alikuwa akiabudu mungu mmoja na aliabudu kwa namna mungu yeye alivyotaka ,sababu waislamu tunaamini kila mtume alipewa maelekezo kivyake kulingana na umma wake jinsi ulivyo.
2.je? Yesu ambaye mnadai Ni mungu alijitoa sadaka kwa ulimwengu mzima au baadhi ya watu tu, Mana Kuna watu wamepta adhabu kabla ya kuja yesu ,pia watu wa luth waliadhibiwa kabla ya kuja yesu.
3. Naomba kujua historia ukristo inavyosema kwanni watu wa nuhu waliiadhibiwa I'ma kwa kumkataa yesu au mungu mmoja ,Kama Ni mungu mmoja kwanii wote tusimuabudu huyo mungu mmoja ambyae alikuwepo toka Adam na nuhu akiabudiwa.(Haya maswali Ni nje ya mada Ila naomba majibu)
BAADA YA GHARKA LA WATU WA NUHU.
baada ya gharka la watu wa nuhu ,miaka ilipita na Kuna historia hapo Kati ilipita ya watu wa thamudi na Adi (giant people kuubwa toka dunia ianze ambao waliangamizwaa kwa kimbunga).
Baada ya hapo alikuja Ibrahim ,Sasa huyu mtume ndo tutajua uislamu Ni uarabu au sio!.
Kipindi Cha Ibrahim hakukuwa na mtu hta mmoja aliabudu mungu Bali waliabudu masanamu na mizimu ,lakni wote walikuwa wanajua Kuna muumba lakni walikuwa hawataki kuabudu tu,Kama hawa wa Sasa wanavyosema mungu yupo lakni tuabudu mizimu na miti ,Sasa umejuaje kuwa mungu anaridhia kuabudiwa kupitia mizimu?, Na ukifanya hivyo unaabudu mungu au mizimu?.
Pia dini sisi tunaamini ndo njia ambayo inatuelezea mungu akubali Nini na hataki Nini, Sasa utafanyaje kitu kwa kubuni tu et niabudu hv wakati hjajua Yule unaemfanyia anakubaliana nacho.
EID-AL-ADHWHA NI HISTORIA YA NABII IBRAHIM.
ukifuatlia historia utaona watu wengi kabla ya mitume walikuwa waliabudu masanamu ,Sasa alipokuja Ibrahim alipingana na watu wote ,yeye na mke wake Sarah ndo walikua wanamuamini mungu mmoja tu.
Utakuta kweny Hadith mtume anaelezea kwamba nabii Ibrahim alimwambia mke wake SKU mmoja yani dunia nzima mi na wew ndio waumini tu,hapa utaona kumbe hta zamani huko arabuni kulikuwa na watu Wana mila zao na so uislamu kabisa .
Pia Ibrahim ametajwa kuwa Ni mtu aliyepinga ushirikina akiwa peke yake na mkewe mpak jamaa zakee wakataka kumuua kwa kumchoma moto,hta kweny Quran suratul nnahal inaelezwa Ibrahim alikuwa Ni umma mmoja yani Ni muumini peke yake na mkewe Hana hta mfuasi mmoja na Wala hakuwa Ni mshirikiana .
Hivyo Basi eid hii iliyopo ni kuchinja ,na kwenda hijjah maanake waislamu waadhimisha mila ya nabii Ibrahim kwasababu kuchinja watu wanachinja kwa ajili ya Allah na kwenda hijjah makka Ni jengo alojenga Ibrahim.
Na Ibrahim alitaka kumchinja mwanae Kama sadaka kwa Allah lakni akatumiwa kondoo amchinje Kama mbadala na ndo maana waislamu wanachinja.
Katika uislamu Ni kwamba Lau Kama Ibrahim angemchinja mwanae sku Ile , waislamu wangekuwa wanatakiwa kuchinja watoto wao Kama sadaka ili kumuenzi Ibrahim.
UISLAMU ULIVYOUFUNGAMANISHWA KWA IBRAHIM.
Katika suratul baqara ,utakuta Allah anaamrisha waumini na mtume wafuate mila ya nabii Ibrahim sababu hakuwa mshirikiana .
Ushirikina maanake Ni kupeleka ibada Kama kuomba,kutegemewa, wakati wa shda na majanga kwa asiye kuwa Allah Kama mizimu na miti.
HITIMISHO: Uislamu sio mila za mababu wa kiarabu Kama wanavyodai mapunguwani na mahayawani Bali Ni ufunuo kutoka kwa Allah sababu historia inaonyesha ,mababu wa kiarabu walikuwa Wana mila zao kabla ya Kuja mitume.
Na hta ukimuaangalia mtume MUHAMMADصل الله عليه وسلم alipopewa utume watu walitaka kumuua Sana Mana alikuwa anapinga mila za mababu za kuabudu mizimu na masanamu ,waafrica msidhani kuabudu makaburi,mizimu,masanamu ,miti Ni dini yenu Ni desturi na innovation ya wanadamu waliopotea,mtu mzima na akili zako unauuomba mti kwelii!.
Au mfu ambaye huenda mwenyew alipokufa alikuwa hohe hahe hta wew una afadhali duuh!.

SABABU YA KUPINGA DINI.
on our point of view,inasemekana dini zimeanza kudharauliwa huenda kwa sababu ya ukristo kuchezewa Sana mfano utakuta viongozi wa kikristo duniani ndo wanashadidia ushoga na usagaji na ilihali kweny Torah na Bible Wanasoma kabsa namna watu wa lutu walivyoangamizwa sababu ya ushoga,Sasa wakaona wawapumbaze na upande wa pili Mana kweny uislamu kidog misimamo Ni mikali huwa hatulegezi kamba kweny sheria.
Waseme DINI NI UTAPELI ILI tuwe sawa tu maana wengi katik wapinga dini Ni watu wanamuonekano wa kikristo nje lakni mioyoni Ni wapinga dini.
Mana hapa Africa kuwa atheist Ni ngumu itabaki tu atheist kimoyo lakni matendo hamna Mana ukicheza kidog misiba unatakiwa ushiriki kwa utaratbu wa kidini, au ndoa na hta serikali Ina sehemu imetoa nguvu kweny dini mfano vitabu vya dini mahakamani na kuapisha maraisi.

EID MUBAARAK
تقبل الله منا ومنكم
Kwahiyo umesimamisha mishiba ya shingo kutetea dini ya pedoophile mudi mbakaji na shetani wake alla,kimsingi dini ni utapeli kila jamii zilikua na miungu yao na nja yao za kuabudu,uislamu na ukristo uliletwa kutawala wajinga sasa ujinga umetutoka hatuzitaki kwanza zinatuleta utengano baina yetu wenyewe,

Achaneni na ujinga wa dini za kuletwa.
 
Halafu unaambiwa fuvu la binadamu wa kwanza limepatikana oldu vai gorge,,,,,,,,....akili kumkichwa kila mtu aamini anachotaka kuamini
Oldvai ni ishu za freemason kuichallege dini.
Eti binadamu wa kwanza alitokea Africa mashariki.
 
Kwahiyo umesimamisha mishiba ya shingo kutetea dini ya pedoophile mudi mbakaji na shetani wake alla,kimsingi dini ni utapeli kila jamii zilikua na miungu yao na nja yao za kuabudu,uislamu na ukristo uliletwa kutawala wajinga sasa ujinga umetutoka hatuzitaki kwanza zinatuleta utengano baina yetu wenyewe,

Achaneni na ujinga wa dini za kuletwa.
Huko ulaya still Ukristo upo kwa wajinga gani
 
Jina lako tu linasharabu uarabu/uislam. Acha upotoshaji uislam ni tamaduni za kiarabu na na ukristo uliletwa na wazungu toka ulaya. Cha ajabu zaidi leo waturuki/waislam wanachinja mifugo balaa kana kwamba wako kwao kufanya tamaduni za ibada ya dini yao ya kiislam. Wanatuona waafrika hatuna dini, wao ndio wana dini na mungu wao. Karne hii upuuzi wa dini zao hatuutaki
Una kaza fuvu Sana mkuu ,Soma Uzi tena
 
Habari wakuu,
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la kampeni kubwaa Sana ya kupinga Vita dini Na kusema dini ni vitu vya kuletwa na majahzi tu zisifuatwe,na maneno haya utakuta wanoongea Wala sio atheists Bali Ni watu wanaoamini katika mungu sema tu wanadai kuwa mfumo wa kumuabudu mungu kwa kutumia uislamu au ukristo Ni Mila za kuletwa na sahihi na mbadala wake watu warudi kwa mila za mababu haswaa mizimu na kuabudu mti.
Mimi Ni Muslim na kwa upande wa dini yangu nitatetea dini kwa historia kupitia uislamu Kwa munasaba wa sikukuu hii ya idd na ibada ya hijjah inayoendelea huko makka na historia yake kuonyessha kuwa uislamu so mila ya kiarabu hta kidogo Bali ni kitu tofauti kabisa na uarabu Ila tu umekuwa ikifungamana na uarabu sababu mtume MUHAMMAD صلى الله عليه وسلم Ni mwarabu na mafundisho yameshuka kwake .
HISTORIA KWA UCHACHE.
GHARIKA LA WATU WA NUHU
Baada ya gharka la nuhu kutokea kulikuwa na watu wachache Sana waliobaki duniani,Nuhu aliwahubiria watu wake kwa Muda wa miaka 1000 ispokuwa 50 Yani miaka 950 akiwakataza ushirikina(shirk) lakini waliamini watu inakadiriwa Kama 80 tu na inasemwa watu walikuwa wanazaliwa na kufa lakni wanamkuta nuhu ,na wazee walikuwa Wana WaPa wosia watoto wao wasimkubali nuhu sababu anataka kuharibu mila za mababu yao.
Yani hawa watu walikuwa wanaabudu watu wema ambao walwajengea masanamu matatu na wakayapa majina yao Yani latta, uzza na Nasra. historia Ni ndefu lakni kwa ufupi hawa watu walikuwa wanaabudu masanamu na Kuna sababu zlizopelekea wao wayaabudu hayo masanamu ya watu wema ,hyo nayo Ni historia nyengne Ila waliangamizwaa wote ispokuwa wachache ambao waliingia kweny safina la nuhu.
Hii Ni historia inakublika kwa Christian,Jews na Muslims. Ndani ya vitabu vyao injili,Torah,Quran respectively.
SWALI:naomba kujua kwa upande wa wakristo ,
1.je, nuhu alikuwa dini gani mnadhani? Christian? Jew?, Mana mnasema bila yesu huwezi kuuona ufalme wa mbingu. je hawa nuhu ,lutu, Ibrahim wao watu wao inakuaje sababu yesu kaja baada na wao walikuwa wakimuabu Nani?.
Jibu langu(Islam side): nuhu alikuwa akiabudu mungu mmoja na aliabudu kwa namna mungu yeye alivyotaka ,sababu waislamu tunaamini kila mtume alipewa maelekezo kivyake kulingana na umma wake jinsi ulivyo.
2.je? Yesu ambaye mnadai Ni mungu alijitoa sadaka kwa ulimwengu mzima au baadhi ya watu tu, Mana Kuna watu wamepta adhabu kabla ya kuja yesu ,pia watu wa luth waliadhibiwa kabla ya kuja yesu.
3. Naomba kujua historia ukristo inavyosema kwanni watu wa nuhu waliiadhibiwa I'ma kwa kumkataa yesu au mungu mmoja ,Kama Ni mungu mmoja kwanii wote tusimuabudu huyo mungu mmoja ambyae alikuwepo toka Adam na nuhu akiabudiwa.(Haya maswali Ni nje ya mada Ila naomba majibu)
BAADA YA GHARKA LA WATU WA NUHU.
baada ya gharka la watu wa nuhu ,miaka ilipita na Kuna historia hapo Kati ilipita ya watu wa thamudi na Adi (giant people kuubwa toka dunia ianze ambao waliangamizwaa kwa kimbunga).
Baada ya hapo alikuja Ibrahim ,Sasa huyu mtume ndo tutajua uislamu Ni uarabu au sio!.
Kipindi Cha Ibrahim hakukuwa na mtu hta mmoja aliabudu mungu Bali waliabudu masanamu na mizimu ,lakni wote walikuwa wanajua Kuna muumba lakni walikuwa hawataki kuabudu tu,Kama hawa wa Sasa wanavyosema mungu yupo lakni tuabudu mizimu na miti ,Sasa umejuaje kuwa mungu anaridhia kuabudiwa kupitia mizimu?, Na ukifanya hivyo unaabudu mungu au mizimu?.
Pia dini sisi tunaamini ndo njia ambayo inatuelezea mungu akubali Nini na hataki Nini, Sasa utafanyaje kitu kwa kubuni tu et niabudu hv wakati hjajua Yule unaemfanyia anakubaliana nacho.
EID-AL-ADHWHA NI HISTORIA YA NABII IBRAHIM.
ukifuatlia historia utaona watu wengi kabla ya mitume walikuwa waliabudu masanamu ,Sasa alipokuja Ibrahim alipingana na watu wote ,yeye na mke wake Sarah ndo walikua wanamuamini mungu mmoja tu.
Utakuta kweny Hadith mtume anaelezea kwamba nabii Ibrahim alimwambia mke wake SKU mmoja yani dunia nzima mi na wew ndio waumini tu,hapa utaona kumbe hta zamani huko arabuni kulikuwa na watu Wana mila zao na so uislamu kabisa .
Pia Ibrahim ametajwa kuwa Ni mtu aliyepinga ushirikina akiwa peke yake na mkewe mpak jamaa zakee wakataka kumuua kwa kumchoma moto,hta kweny Quran suratul nnahal inaelezwa Ibrahim alikuwa Ni umma mmoja yani Ni muumini peke yake na mkewe Hana hta mfuasi mmoja na Wala hakuwa Ni mshirikiana .
Hivyo Basi eid hii iliyopo ni kuchinja ,na kwenda hijjah maanake waislamu waadhimisha mila ya nabii Ibrahim kwasababu kuchinja watu wanachinja kwa ajili ya Allah na kwenda hijjah makka Ni jengo alojenga Ibrahim.
Na Ibrahim alitaka kumchinja mwanae Kama sadaka kwa Allah lakni akatumiwa kondoo amchinje Kama mbadala na ndo maana waislamu wanachinja.
Katika uislamu Ni kwamba Lau Kama Ibrahim angemchinja mwanae sku Ile , waislamu wangekuwa wanatakiwa kuchinja watoto wao Kama sadaka ili kumuenzi Ibrahim.
UISLAMU ULIVYOUFUNGAMANISHWA KWA IBRAHIM.
Katika suratul baqara ,utakuta Allah anaamrisha waumini na mtume wafuate mila ya nabii Ibrahim sababu hakuwa mshirikiana .
Ushirikina maanake Ni kupeleka ibada Kama kuomba,kutegemewa, wakati wa shda na majanga kwa asiye kuwa Allah Kama mizimu na miti.
HITIMISHO: Uislamu sio mila za mababu wa kiarabu Kama wanavyodai mapunguwani na mahayawani Bali Ni ufunuo kutoka kwa Allah sababu historia inaonyesha ,mababu wa kiarabu walikuwa Wana mila zao kabla ya Kuja mitume.
Na hta ukimuaangalia mtume MUHAMMADصل الله عليه وسلم alipopewa utume watu walitaka kumuua Sana Mana alikuwa anapinga mila za mababu za kuabudu mizimu na masanamu ,waafrica msidhani kuabudu makaburi,mizimu,masanamu ,miti Ni dini yenu Ni desturi na innovation ya wanadamu waliopotea,mtu mzima na akili zako unauuomba mti kwelii!.
Au mfu ambaye huenda mwenyew alipokufa alikuwa hohe hahe hta wew una afadhali duuh!.

SABABU YA KUPINGA DINI.
on our point of view,inasemekana dini zimeanza kudharauliwa huenda kwa sababu ya ukristo kuchezewa Sana mfano utakuta viongozi wa kikristo duniani ndo wanashadidia ushoga na usagaji na ilihali kweny Torah na Bible Wanasoma kabsa namna watu wa lutu walivyoangamizwa sababu ya ushoga,Sasa wakaona wawapumbaze na upande wa pili Mana kweny uislamu kidog misimamo Ni mikali huwa hatulegezi kamba kweny sheria.
Waseme DINI NI UTAPELI ILI tuwe sawa tu maana wengi katik wapinga dini Ni watu wanamuonekano wa kikristo nje lakni mioyoni Ni wapinga dini.
Mana hapa Africa kuwa atheist Ni ngumu itabaki tu atheist kimoyo lakni matendo hamna Mana ukicheza kidog misiba unatakiwa ushiriki kwa utaratbu wa kidini, au ndoa na hta serikali Ina sehemu imetoa nguvu kweny dini mfano vitabu vya dini mahakamani na kuapisha maraisi.

EID MUBAARAK
تقبل الله منا ومنكم

Umeeleza maelezo mengi. Nitamalizia kusoma. Ila ukweli ni kuwa dini zote zilizoletwa Afrika ni desturi za watu fulani. Mfano hata dini ya RC wamekuwa na mapokeo mengibambayo nyingi ni desturi na mapokeo ya waroma. Vitu vingi havipo kwenye biblia, lakini vipo kwenye misale ya waumini. Au desturi ya waroma. Hiyo ikapelekea kanisa la RC wakaanza kuwa na program za utamadunisho wa ibada na dini yao. Sijui likifanikiwq kwa kiasi gani, lakini hilo lilikuja baada ya kuona kuna gap kubwa kati ya tamaduni za kanisa na tamaduni za waumini.

Tuendelee kutafakari hilo.
 
Habari wakuu,
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la kampeni kubwaa Sana ya kupinga Vita dini Na kusema dini ni vitu vya kuletwa na majahzi tu zisifuatwe,na maneno haya utakuta wanoongea Wala sio atheists Bali Ni watu wanaoamini katika mungu sema tu wanadai kuwa mfumo wa kumuabudu mungu kwa kutumia uislamu au ukristo Ni Mila za kuletwa na sahihi na mbadala wake watu warudi kwa mila za mababu haswaa mizimu na kuabudu mti.
Mimi Ni Muslim na kwa upande wa dini yangu nitatetea dini kwa historia kupitia uislamu Kwa munasaba wa sikukuu hii ya idd na ibada ya hijjah inayoendelea huko makka na historia yake kuonyessha kuwa uislamu so mila ya kiarabu hta kidogo Bali ni kitu tofauti kabisa na uarabu Ila tu umekuwa ikifungamana na uarabu sababu mtume MUHAMMAD صلى الله عليه وسلم Ni mwarabu na mafundisho yameshuka kwake .
HISTORIA KWA UCHACHE.
GHARIKA LA WATU WA NUHU
Baada ya gharka la nuhu kutokea kulikuwa na watu wachache Sana waliobaki duniani,Nuhu aliwahubiria watu wake kwa Muda wa miaka 1000 ispokuwa 50 Yani miaka 950 akiwakataza ushirikina(shirk) lakini waliamini watu inakadiriwa Kama 80 tu na inasemwa watu walikuwa wanazaliwa na kufa lakni wanamkuta nuhu ,na wazee walikuwa Wana WaPa wosia watoto wao wasimkubali nuhu sababu anataka kuharibu mila za mababu yao.
Yani hawa watu walikuwa wanaabudu watu wema ambao walwajengea masanamu matatu na wakayapa majina yao Yani latta, uzza na Nasra. historia Ni ndefu lakni kwa ufupi hawa watu walikuwa wanaabudu masanamu na Kuna sababu zlizopelekea wao wayaabudu hayo masanamu ya watu wema ,hyo nayo Ni historia nyengne Ila waliangamizwaa wote ispokuwa wachache ambao waliingia kweny safina la nuhu.
Hii Ni historia inakublika kwa Christian,Jews na Muslims. Ndani ya vitabu vyao injili,Torah,Quran respectively.
SWALI:naomba kujua kwa upande wa wakristo ,
1.je, nuhu alikuwa dini gani mnadhani? Christian? Jew?, Mana mnasema bila yesu huwezi kuuona ufalme wa mbingu. je hawa nuhu ,lutu, Ibrahim wao watu wao inakuaje sababu yesu kaja baada na wao walikuwa wakimuabu Nani?.
Jibu langu(Islam side): nuhu alikuwa akiabudu mungu mmoja na aliabudu kwa namna mungu yeye alivyotaka ,sababu waislamu tunaamini kila mtume alipewa maelekezo kivyake kulingana na umma wake jinsi ulivyo.
2.je? Yesu ambaye mnadai Ni mungu alijitoa sadaka kwa ulimwengu mzima au baadhi ya watu tu, Mana Kuna watu wamepta adhabu kabla ya kuja yesu ,pia watu wa luth waliadhibiwa kabla ya kuja yesu.
3. Naomba kujua historia ukristo inavyosema kwanni watu wa nuhu waliiadhibiwa I'ma kwa kumkataa yesu au mungu mmoja ,Kama Ni mungu mmoja kwanii wote tusimuabudu huyo mungu mmoja ambyae alikuwepo toka Adam na nuhu akiabudiwa.(Haya maswali Ni nje ya mada Ila naomba majibu)
BAADA YA GHARKA LA WATU WA NUHU.
baada ya gharka la watu wa nuhu ,miaka ilipita na Kuna historia hapo Kati ilipita ya watu wa thamudi na Adi (giant people kuubwa toka dunia ianze ambao waliangamizwaa kwa kimbunga).
Baada ya hapo alikuja Ibrahim ,Sasa huyu mtume ndo tutajua uislamu Ni uarabu au sio!.
Kipindi Cha Ibrahim hakukuwa na mtu hta mmoja aliabudu mungu Bali waliabudu masanamu na mizimu ,lakni wote walikuwa wanajua Kuna muumba lakni walikuwa hawataki kuabudu tu,Kama hawa wa Sasa wanavyosema mungu yupo lakni tuabudu mizimu na miti ,Sasa umejuaje kuwa mungu anaridhia kuabudiwa kupitia mizimu?, Na ukifanya hivyo unaabudu mungu au mizimu?.
Pia dini sisi tunaamini ndo njia ambayo inatuelezea mungu akubali Nini na hataki Nini, Sasa utafanyaje kitu kwa kubuni tu et niabudu hv wakati hjajua Yule unaemfanyia anakubaliana nacho.
EID-AL-ADHWHA NI HISTORIA YA NABII IBRAHIM.
ukifuatlia historia utaona watu wengi kabla ya mitume walikuwa waliabudu masanamu ,Sasa alipokuja Ibrahim alipingana na watu wote ,yeye na mke wake Sarah ndo walikua wanamuamini mungu mmoja tu.
Utakuta kweny Hadith mtume anaelezea kwamba nabii Ibrahim alimwambia mke wake SKU mmoja yani dunia nzima mi na wew ndio waumini tu,hapa utaona kumbe hta zamani huko arabuni kulikuwa na watu Wana mila zao na so uislamu kabisa .
Pia Ibrahim ametajwa kuwa Ni mtu aliyepinga ushirikina akiwa peke yake na mkewe mpak jamaa zakee wakataka kumuua kwa kumchoma moto,hta kweny Quran suratul nnahal inaelezwa Ibrahim alikuwa Ni umma mmoja yani Ni muumini peke yake na mkewe Hana hta mfuasi mmoja na Wala hakuwa Ni mshirikiana .
Hivyo Basi eid hii iliyopo ni kuchinja ,na kwenda hijjah maanake waislamu waadhimisha mila ya nabii Ibrahim kwasababu kuchinja watu wanachinja kwa ajili ya Allah na kwenda hijjah makka Ni jengo alojenga Ibrahim.
Na Ibrahim alitaka kumchinja mwanae Kama sadaka kwa Allah lakni akatumiwa kondoo amchinje Kama mbadala na ndo maana waislamu wanachinja.
Katika uislamu Ni kwamba Lau Kama Ibrahim angemchinja mwanae sku Ile , waislamu wangekuwa wanatakiwa kuchinja watoto wao Kama sadaka ili kumuenzi Ibrahim.
UISLAMU ULIVYOUFUNGAMANISHWA KWA IBRAHIM.
Katika suratul baqara ,utakuta Allah anaamrisha waumini na mtume wafuate mila ya nabii Ibrahim sababu hakuwa mshirikiana .
Ushirikina maanake Ni kupeleka ibada Kama kuomba,kutegemewa, wakati wa shda na majanga kwa asiye kuwa Allah Kama mizimu na miti.
HITIMISHO: Uislamu sio mila za mababu wa kiarabu Kama wanavyodai mapunguwani na mahayawani Bali Ni ufunuo kutoka kwa Allah sababu historia inaonyesha ,mababu wa kiarabu walikuwa Wana mila zao kabla ya Kuja mitume.
Na hta ukimuaangalia mtume MUHAMMADصل الله عليه وسلم alipopewa utume watu walitaka kumuua Sana Mana alikuwa anapinga mila za mababu za kuabudu mizimu na masanamu ,waafrica msidhani kuabudu makaburi,mizimu,masanamu ,miti Ni dini yenu Ni desturi na innovation ya wanadamu waliopotea,mtu mzima na akili zako unauuomba mti kwelii!.
Au mfu ambaye huenda mwenyew alipokufa alikuwa hohe hahe hta wew una afadhali duuh!.

SABABU YA KUPINGA DINI.
on our point of view,inasemekana dini zimeanza kudharauliwa huenda kwa sababu ya ukristo kuchezewa Sana mfano utakuta viongozi wa kikristo duniani ndo wanashadidia ushoga na usagaji na ilihali kweny Torah na Bible Wanasoma kabsa namna watu wa lutu walivyoangamizwa sababu ya ushoga,Sasa wakaona wawapumbaze na upande wa pili Mana kweny uislamu kidog misimamo Ni mikali huwa hatulegezi kamba kweny sheria.
Waseme DINI NI UTAPELI ILI tuwe sawa tu maana wengi katik wapinga dini Ni watu wanamuonekano wa kikristo nje lakni mioyoni Ni wapinga dini.
Mana hapa Africa kuwa atheist Ni ngumu itabaki tu atheist kimoyo lakni matendo hamna Mana ukicheza kidog misiba unatakiwa ushiriki kwa utaratbu wa kidini, au ndoa na hta serikali Ina sehemu imetoa nguvu kweny dini mfano vitabu vya dini mahakamani na kuapisha maraisi.

EID MUBAARAK
تقبل الله منا ومنكم
sawa mfia dini
 
Habari Al-habiib
Kwanini unataka Kujua Dini yangu?
Jibu nililotaka au ulilotaka Kunipa Linahusiana na Dini?

Kwanini Unaogopa Mjadala kwa kisingizio cha Dini?
Nikikwambia Mimi Muislam, Then what?, nikikwambia Mkristo ,Then what?
Nikikwambia Myahudi, Then what?

kama utataka kujibu Hoja Plz jibu usijifiche kwenye Kivuli cha Dini

Well kama Ndyo, Niko Familia na Dini karibu zote Christian, Hinduism, Islam ,Judaism, Agnostic, Ignostics , Atheism, Sumerian mystery or any You name it..

Hakuna sehemu Nimeomba Kuthibitishiwa Kuwa Mungu Yupo (unachanganya Mafaili).

Nilichoomba ni kitu kidogo tu ushahidi Usio na shaka Kuwa Gharika Ilitokea na Waliopona Ni wachache Dunia nzima..

Kwa Mujibu wa Biblia Waliopona Hawakuzidi 8..

Na najua kwenye Quran Suratul Hud (11:36-48) na Suratul Mu'minun (23:23-29), Zinasema walipona Watu wachache familia ya Nuhu na Watu wachache waliomuamini Nuhu..

Hiyo imeenda against Biblia ambayo ilisema walipona Familia Ya Nuhu peke yake ambao ukiwajumlisha Unapata Nane..

Sasa swali lilo pale pale..
Thibitisha Tukio la Nuhu ni Tukio la kweli
Tukio la nuhu wanaoamini Jew, Muslim and Christian tu sababu limetajwa katka vitabu, vyao Sasa Kama unataka uthibitisho lazima uwe unaamini kitabu mojawapo katka hzo dni tatu ,ndo maana nkasema nataka kujua dini yako .
Watu wa dini hzo tatu hawezi KUTAKA uthibitisho tofauti na ktabu chake ma atakuwa anapinga maandiko yake mwenyew.
Ndo nkahisi itakuwa atheist unataka mambo ya kuona ,kuskia mwenyew au experimentation,
This is faith-based thing man ,I was not around when Noah's people got drowned.its the matter of believing in God. If it's still puzzling stop brainstorming me.
 
Kwahiyo umesimamisha mishiba ya shingo kutetea dini ya pedoophile mudi mbakaji na shetani wake alla,kimsingi dini ni utapeli kila jamii zilikua na miungu yao na nja yao za kuabudu,uislamu na ukristo uliletwa kutawala wajinga sasa ujinga umetutoka hatuzitaki kwanza zinatuleta utengano baina yetu wenyewe,

Achaneni na ujinga wa dini za kuletwa.
Kashfa na dhihaka huna fact
 
Back
Top Bottom