Dini siyo mila za Kizungu wala Kiarabu

Uislamu ni shambulio la akili kama vile bangi inavyoweza kushambulia akili na kuathiri utendaji mzuri wa akili

Hawa watu kukuuwa au kukubagua kisa tu wewe si dini hiyo ni jambo la kawaida

Wanataka wafundishe hiyo dini yao kila mahali lakini hawataki dini nyingine zifundishwe kila mahali.
 
Hao waharabu wanavyo wachukia watu weusi sasa na hao wazungu wenu. Mhhh Tena afadhali kidogo wazungu. Nenda Oman na Rangi yako black ukachumbie kwa mashekhe wenzio Kama ujakatwa kichwa.
 
Ngoja Nikuambia Kitu..
Its Not matter of Faith here Its matter of Hope!
How can you have Faith where there is No Hope?

Naamini Vitabu vyote ulivyotaja Kwa sababu vyote Nimevisoma!

Do you know The Story of Atreahasis and Flood or the Story of the flood from atreahasis...au wanaita Epic of atrahasis au Wengine The Grest Gilgamesh au The Great flood au Epic of Gilgamesh???

Ni story Iliyoandikwa Kuhusu Hadithi inayofanana na Ya Nuhu Miaka 2000BC kabla hata Ya kuandikwa Biblia..

Hadithi hiyo imeandikwa Kabla ya BaniIsrael kukamatwa mateka Na Wasamaria Pale babilon..
Na Story hiyo Imeandikwa na Samerian...

So U a uhakika kwamba Hadithi Hiyo hailuchukuliwa Kutoka Huko...

Swala la dini Nimekuambia Zote nazijua so You better Answer ukimaliza happ kujibu tutaingia kwenye Vipimo vya Jahazi au Safina kama biblia ilivyosema halafu yatafuata maswali mengine
 
Na wew una-akisi uarabu Mana unatumia maneno ya kiarabu;
Dini-. دين
Sharab - شراب
Karne-قرن
Ajabu-عجب.
Acha uarabu kuwa mbantu halisi.
 
Hizi dini zimekuja na Mashua na Miungu yao ambayo ni Imported kama Kikuu
 
Hyo story siijui Ila hyo story kuwepo kabla haimaniishi,eti kwamba maandiko yame-copy kwao .huenda hao waloandika waliifahamu story ya nuhu kupitia mababu zao ndo maana wakaandika sababu story ya nuhu imetokea kabla yao na maandiko yamekuja baadae kwa watu ambao hawakuwepo.
Mwishoo, umewezaje kuamini hyo story kweny ktabu hcho halafu umeshindwa kuamini ya nuhu, unachekesha kweli. Huko uliposoma hyo story umepewa vivid evidence gani,em re-quote evidence ya story yako haf tuooanisha na ya nuhu ili tumalize mjadala.pia lete vigezo ulivyotumia kuamini huko halafu ukashindwa kuamini maandiko.
Lakni pia swali lako pia linaonyesha huamini kuwa maandiko yanatoka kwa mungu ndo Mana mwanzo kabisa nkasema unahitaji kupewa proof of God na proof ya kwamba maandiko yanatoka kwa mungu.
 
Hakuna Mahali Nimesema Nimeiamini Story hiyo kama umesoma nilichoandka Nimekuuliza unaifahamu Hadithi hiyo..

Na nilichokisema Ni kuwa Naamini Vitabu vyote ulivyotaja (Unaweza ukarudi nyuma kusoma Nilichoandika tena)..

Unajua Nilichogundua Kuwa Huna gut wala Ilimu ya kujibu maswali yangu zaidi Unafanya Imposition ya maswali yako..

Hiyo ni Uskilled kabisa unLogical Arguments..
Jibu kwanza Swali ndiyo Uimpose Maswali mengine..

Hakuna mahali nimesema Naamini hadithi yoyote wala story yyte wala hakuna mahali nimesema Story yoyote Ni uongo au Si ya kweli..

Ila nimeuliza maswali kwa ajili ya Reasoning na umeshindwa Kureason...

Haya Sasa Twende kwenye Safina..
Na ukubwa Wake maana kuhusu Kujenge Hoja juh ya Hadithi hiyo umeshindwa..

Kulingana na Biblia..

Safina Ilikuwa na Ukubwa Ufuatao (Unaweza ukasoma Kupitia Mwanzo 6 kuanzia aya ya 9 mpaka 22)..

300 x 50 x 30 cubits..
au kwa vipimo vya sasa


chombo Chenye Ukubwa Huu ambacho hata Meli za Kisasa zinakizidi Ndo kiliingiza Species 7.7 Milion na Watu?

Wakati Titanic Ni kubwa Kuliko Hicho chombo ilikuwa ina Abiria 2,240?

Does it Make sense To you or you Refuse to update your head on reasoning?

I am a theologian na nakuhakikishia kuwa Hayo ni maswali ambayo ni magumu kuyajibu huenda leo nikapata majibu kutoka kwako
 
Mkuu nataka uthibitishe ushahidi pa si na shaka ..

Mkuu ikiwezekana huyo Allah aje hapa mana kwa ukuu mliompa ni kwamba anaweza kuja kama huwezi thibitisha. Basu hizo ni hadithi kama hadithi zingine
 
Hii haifanyi uislamu kuwa kweli mana ni kama mmeacha dhambi hii mkakimbilia ile ya kuuwa 🤣🤣🐷
 
Hakukuwa na watu tofauti na hao ndo maana nika-assumae dunia nzima.

Unauhakika gani kama hakukuwa na Watu tofauti na hao?

Kihistoria katika dini unaweza Kadiria ni lini gharika ilitokea ili tujue sehemu zingine hakukuwa na Watu?
 
Dunia ina maelfu ya miaka maajabu dini zenu hazizidi hata miaka 7000. Je miaka 10000 iliyopita dini zenu zinatambua kulkuwa na matukio gani??.

Ukweli utabaki hivyo dini zote zimeletwa Afrika kwa njia haramu na ushenzi mkubwa wa kuifuta historia ya Afrika.

Huyo Allah na nduguze akina yesu hawana maana ktk jamii za waafrika, amkeni enyi wajinga
 
Wamisri ambao ni waarabu
Pyramids zina zaidi ya miaka 5000 na hao waarabu mashetan wameivamia hiyo ardhi ya misri hapo hawana hata miaka 2000, utasemaje ni wao walijenga? Pia hawana hata muunganiko na historia ya misri kivyovyote maana misri ilikaliwa na watu weusi na ndio waliovumbua hizo technologies zinazowahangaisha hao miungu wenu waarabu na wazungu kujua hizo pyramids zilijengwaje

Vilaza mjitahidi kuisoma historia
 
hapa umechanganya upumbavu na werevu
 
Attack on Religion
Attack on Family
Attack on Education

The New World order is already here.
 
Umetisha kaka
 
Nuhu aliishi miaka elfu moja? Unaamini kabisa? Mkuu acha utoto basi. Be serious even just for a second please.
 
Leo hao weusi mbona hawavumbui,hizo idea za uvumbuzi zilifia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…