mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,369
- 5,866
Nimefuatilia mijadala mingi ya kisiasa hapa.
Kuna wanaopinga au kuunga mkono tu kwa kigezo cha dini ya kiongozi mkuu.
Mijdala ilianzia mbali sana
Miaka ya tisini mbuga zetu ziliuzwa Loliondo upinzani na uungaji mkono ukalalia udini.
Miaka ya 2005 hadi 2010 ufisadi mkubwa ukajitokeza na mandala wa udini wa kiongozi ukaibuka.
Miaka ya 2015 kampeni zikaibuka na udini ukashika kasi (kura za maslahi).
Miaka hii tena 2023 kashfa ya bandari imeibua udini kwa kasi ya ajabu.
Inasikitisha;
Kwamba kiongozi asipingwe kwa lolote hata kama amevunja haki zote za binadamu kwa sababu ni wa dini yetu?
Au kiongozi aungwe tu mkono kwa sababu ya dini yake?
Au kiongozi apingwe tu kwa sababu ni wa dini fulani.
Tunahubiri haki
Dini BILA HAKI NI USHETANI
Ninawasilisha!!
Kuna wanaopinga au kuunga mkono tu kwa kigezo cha dini ya kiongozi mkuu.
Mijdala ilianzia mbali sana
Miaka ya tisini mbuga zetu ziliuzwa Loliondo upinzani na uungaji mkono ukalalia udini.
Miaka ya 2005 hadi 2010 ufisadi mkubwa ukajitokeza na mandala wa udini wa kiongozi ukaibuka.
Miaka ya 2015 kampeni zikaibuka na udini ukashika kasi (kura za maslahi).
Miaka hii tena 2023 kashfa ya bandari imeibua udini kwa kasi ya ajabu.
Inasikitisha;
Kwamba kiongozi asipingwe kwa lolote hata kama amevunja haki zote za binadamu kwa sababu ni wa dini yetu?
Au kiongozi aungwe tu mkono kwa sababu ya dini yake?
Au kiongozi apingwe tu kwa sababu ni wa dini fulani.
Tunahubiri haki
Dini BILA HAKI NI USHETANI
Ninawasilisha!!