Dini ya Simba na Yanga inavyodhoofisha maisha ya Watanzania

Michezo ni tasnia ambayo inatoa ajira za kutosha kupitia wachezaji, media, viongozi n.k Na ndio tasnia kubwa kwa sasa Tanzania sasa kwanini watu wasijadili?
Naona bado unakaza fuvu kaka.😁
 
Nakumbuka ile wiki tunajadili tozo za mabenki,kila mtu anashusha uzi
Ghafla likatokea sakata la masanja na katibu wake aise watu wakahamia huko wakasahau habari ya tozo
Baada ya usimba na uyanga inafuatia umbea
 
Too much is harmful..

#Ova
Vivyo hivyo na matatizo ya nchi yametofautiana kama dar kuna shida ya maji ila ukienda Arusha yapo. Sasa hapo unadhani mjadala utakuwa hot topic ikiwa kila mtu ana shida zake na vipaumbele vyake. Ila mpira ukifungwa dar lazima shabiki aliyeko kigoma aumie na ndio hapo kwanini unaona mpira unajadiliwa sana.
 
shida ukiandamana kuipinga serikali unapigwa risasi

ila ukiandamana kwa mambo ya simba na yanga hupigwi kwanza kwenye hayo maandamano na maaskari wanakuwemo
 
Mlete Mzungu , mlete Mayele
 
Ccm mjaishtukia chukueni mfano wa kenya kwa vijana wa genz ni kwamba mkiona hawa ndio wanufaika na nchi mfano nape mnadili naye kisaikolojia mfano biashara zake, kumtenga, kumpuuza n. K ili kuwapa fundisho ccm wote.
Yoyote atakaye jihusisha na ccm ni kufanya kama nilivyosema hii nguvu inaweza uwoga sababu ile kauli ya kuwa serikali ya ccm ina mkono mrefu ni uongo wakati wakifanya ujinga ni wachaxhe kuliko nguvu ya mwananchi
 
Umeongea point ya maana sana.

Kuna mdau mmoja alisema TISS watumie Simba na Yanga ku-divert mijadala mikubwa mabayo inaweza kutikisa nchi.

Sasa naanza kuamini
And this is now what is happening in Tanzania.

Inshu ya Nape na yule jamaa wa chadema aliyetekwa na kuteswa na polisi vimezimwa na inshu ya wazee wa yanga na mahakama.
 
Tafuteni pesa mpunguze kulalamika!!

Ukiwa na pesa hutasikia habari za mgao wa maji wala umeme
Kuwa na pesa sio kigezo cha serikali kutotimiza wajibu wake wa kutatua changamoto za wananchi wake.

Hata kina Bakhressa na Mo Dewji wana pesa lakini wanahitaji umeme na maji ya kutosha kuendesha viwanda vyao.

Na si jukumu lao kuzalisha umeme.

Ni jukumu la serikali.

Una elewa hilo?
 
Kuna comments nimezisoma kwenye huu Uzi zinasikitisha na kumtia hasira kwakweli ikiwemo na ya huyo jamaa uliyomquote hapo

Yaani uzembe wa serikali kutoa huduma muhimu kama maji na umeme wa uhakika, yeye anakwambia eti sululisho lake ni wewe binafsi kutafuta hela serious? Sasa kama ni hivyo Kuna haja gani ya Mimi mwanainchi kulipa Kodi?......

Halafu kwanza majitu yenye mawazo ya kipuuzi kama hayo ndio huwa ni mafisadi na majizi.
 
Kweli mkuu, Hao ndio majizi yenyewe na wahujumu uchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…