Maelezo marefu ila hukujibu swali, swali ni hili..... Ilivyo , niowe na kuzaa na mwanamke wa Kiyahudi mtoto wangu hatokuwa Myahudi bali wa kabila yangu , kwa maana WAYAHUDI WARABU NA MAKABILA MENGI DUNIANI uzao unafuata kwa baba na sio mama, je Yesu ni halali kujigamba kwa uzao wa Daudi na Sulemani ?
Maelezo marefu ila hukujibu swali, swali ni hili..... Ilivyo , niowe na kuzaa na mwanamke wa Kiyahudi mtoto wangu hatokuwa Myahudi bali wa kabila yangu , kwa maana WAYAHUDI WARABU NA MAKABILA MENGI DUNIANI uzao unafuata kwa baba na sio mama, je Yesu ni halali kujigamba kwa uzao wa Daudi na Sulemani ?
Ndugu zanguni Samahani kama ninawakwaza mkisikia jina muhammad..lakini hapa sio msikitini na wote tupo kwa ajili ya kujifunza So napomtaja Muhammad(saw) Simtaji kama nabii au religional figure bali namtaja kama historical figure..na ndiyo muktadha wa hii mada.
Nashangaa mnakasirika kusikia Muhammad alikuwa trader kuliko kusikia alivamia traders.
Furthermore kama hamjui Hata mke wake wa kwanza Bi Khadija(aliyemzidi miaka 15) alikuwa boss wake kwenye biashara ya trade.Bi khadija alimuajiri Muhammad kwasababu alisikia story zake kuwa ni muaminifu na alipewa nickname "Al-amin" baadae Muhammad akaongeza ukaribu akamuoa.
Muhammad alisafiri nchi mbalimbali(Syria,Yemen etc.) na ngamia akiuza na kununua bidhaa(ikiwemo watumwa).
Anko wake Muhammad,Abu Talib ndio alimuingiza kwenye biashara akiwa na umri mdogo kabisa(12yrs) na maisha yake mengi alikuwa trader kuliko nabii.Kwani nyie huwa mnadhani kabla hajawa nabii akiwa na miaka 40 alikuwa anafanya kazi gani?
Muhammad years as a trader-25 years
Muhammad as a prophet-23years
The Prophet Mohammed (PBUH), is the final Messenger of God sent to deliver His Message to the entire humanity. He was a model for all humanity. Human beings try to imitate the model of someone whom…
deenoverduniya.wordpress.com
sunnath-follow-the-model-of-prophet-muhammad-pbuh
Ahmad Afiq Al-Kelantani,20 Januari 2013,Contohilah Akhlak Rasulullah S.A.W Ketika
Berniaga[online]
Available at
[emoji38][emoji38]sasa kama alikuwa mpokonyaji isisemwe ... Tatizo la watu wengi ambao ni followers wa public figures huwa wanapenda kusikia 1side story ambayo unahusu mazuri tu ya hao watu .. pindi unapotaja mapungufu yao wanaanza kununa ... Mtu ukipata nafasi ya kuelimika nakujitambua vyema yakupasa uwe mdadisi mpekuzi usiridhike tu nayale yote uliyokuwa una karilishwa utotoni na wazazi/walezi / walimu kuwa in deep tafuta uhalisia wajambo kwa motisha yako mwenyewe ...
Muhhamad alikuwa ni kiongozi mwenye power happy kale kwa namna yoyote ile ni lazima history yoyote iliyokuwa imeandikwa kumuhusu nilazima iandikwe chini ya mamlaka yake ni lazima waipake rangi hiyo history ili waweze kumfurahisha kiongozi wao kwa wakati huo "
Hivi marekani Leo hii inaweza kuandika history mbaya inayo muhusu George bush !? Au Barack Obama !? Lakini ukitaka kuujua ubaya wa George bush kawaulize raia wa Iraq na Afghanistan .it's the same kwa Obama pia ukitaka kuujua ubaya wa Obama kawaulize watu wa Libya .. history nyingi tunazo/tulizokuwa tuna fundishwa mashuleni na katika majumba ya ibada ni Hoax ..uongo mtupu ''
By the way history huandikwa na washindi wao ndio huamua kipi kiandikwe kipi kisiandikwe ..Tuache kutiana ujinga hapa[emoji38]
Mbona Kila siku tunaulizana maswali mengi tu Kwan hatujui kuwa kuna google na vitabu vingi vilivyoandika umecomment kama unajua sana.kumbuka kama ungeleta majibu watu wangenufaika sio unajaza comment zimejaa upuuzi
Mbona Kila siku tunaulizana maswali mengi tu Kwan hatujui kuwa kuna google na vitabu vingi vilivyoandika umecomment kama unajua sana.kumbuka kama ungeleta majibu watu wangenufaika sio unajaza comment zimejaa upuuzi
Hata mtume Muhammad alikuwa trader wa Caravan kabla hajawa mtume..Although alipokuwa mtume na kupata wafuasi alianza kuvizia hawa traders na kuwapokonya mali.
We dada wewe, nakuheshimu sana!! Ni bora uendelee kuamini unachoamini, na wenzio waendelee kuamini wanachoamini, usichafue upande mwengine ili na wa upande mwengine wasichafue upande wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.