Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?

Sihangaiki na mabishano yasiyo na tija
 
Hii mada fungua uzi wake sio hapa
 
Wewe endelea mkuu atakaye nuna shauri yake .. watu hatuwezi kukaa nakujifungia katika chumba kimoja cha kufikiri
 
Wee acha tu bro. Chanzo ni huyo jamaa anayejiita Citizen B kuanza kumuita mtume eti "Mpokonyaji". Soma hapo chini uone mkuu
[emoji38][emoji38]sasa kama alikuwa mpokonyaji isisemwe ... Tatizo la watu wengi ambao ni followers wa public figures huwa wanapenda kusikia 1side story ambayo unahusu mazuri tu ya hao watu .. pindi unapotaja mapungufu yao wanaanza kununa ... Mtu ukipata nafasi ya kuelimika nakujitambua vyema yakupasa uwe mdadisi mpekuzi usiridhike tu nayale yote uliyokuwa una karilishwa utotoni na wazazi/walezi / walimu kuwa in deep tafuta uhalisia wajambo kwa motisha yako mwenyewe ...

Muhhamad alikuwa ni kiongozi mwenye power happy kale kwa namna yoyote ile ni lazima history yoyote iliyokuwa imeandikwa kumuhusu nilazima iandikwe chini ya mamlaka yake ni lazima waipake rangi hiyo history ili waweze kumfurahisha kiongozi wao kwa wakati huo "

Hivi marekani Leo hii inaweza kuandika history mbaya inayo muhusu George bush !? Au Barack Obama !? Lakini ukitaka kuujua ubaya wa George bush kawaulize raia wa Iraq na Afghanistan .it's the same kwa Obama pia ukitaka kuujua ubaya wa Obama kawaulize watu wa Libya .. history nyingi tunazo/tulizokuwa tuna fundishwa mashuleni na katika majumba ya ibada ni Hoax ..uongo mtupu ''

By the way history huandikwa na washindi wao ndio huamua kipi kiandikwe kipi kisiandikwe ..Tuache kutiana ujinga hapa[emoji38]
 
Pole naona umepatwa na gadhabu.
Quora ni worldwide platform go learn there.
Mbona Kila siku tunaulizana maswali mengi tu Kwan hatujui kuwa kuna google na vitabu vingi vilivyoandika umecomment kama unajua sana.kumbuka kama ungeleta majibu watu wangenufaika sio unajaza comment zimejaa upuuzi
 
Lofa wewe.
 
Mzee baba huyo dogo bado hajielewi ndio maana anakaa kutukana wenzie tu humu JF. Hana hoja ana kazi ya kurukaruka tu hapa na pale.
Infantry nakutahadharia one more time have some respect!
Maoni yangu ndivyo yalivyo na hayawezi kubadilika ulipaswa kuyapuuza kama hayana maana.

Nimemaliza.
 
Infantry nakutahadharia one more time have some respect!
Maoni yangu ndivyo yalivyo na hayawezi kubadilika ulipaswa kuyapuuza kama hayana maana.

Nimemaliza.
Sawa boss. Ninaomba unisamehe. Usije ukanipiga risasi bure. Ninakuogopa sana boss.
 
Ni kweli
kuna yale ma caravan routes and trades.

Hata mtume Muhammad alikuwa trader wa Caravan kabla hajawa mtume..Although alipokuwa mtume na kupata wafuasi alianza kuvizia hawa traders na kuwapokonya mali.
Mohammad HAKUWA mtume...he's a self proclaimed Prophet.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…