Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?

Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?
Wewe huelewi nini nishasema hapo mapanga yalikuwa yanatembea kwenye shingo za watu kwa hiyo watu hawakuwa na namna ya kujitetea zaidi ya kukubali kuwa kwenye imani hiyo ili aponye maisha ila kwa sasa namna zipo nyingi

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Okay,But who is ignoring intellectual sources and academic certified knowledge between me and you?

Acha uvivu mkuu Soma,Soma,Soma achana na masheikh wako wamekuambia nini
 
Chief nilishakuelezea hapo mwanzoni. Hivyo vitu unavyovielezea haviko kwenye Uislam, na pia nimeshakuelezea kuhusiana na Khawaarij, lakini bado unasisitiza ni kwenye Uislam, hakuna Uislam nwa namna hiyo. Na kwenye Uislam iko wazi hakuna kulazimishana.
 
There is no proof/evidence from Muhammad's time (570-630) that such a figure even existed....he may be a Myth made up by conquering Arabs 200-500 years later but it's impact is huge...The territorries they conquered and victories they won are countless.
 
Vipi unaniruhusu niingie apa au unaogopa?
 
Okay,But who is ignoring intellectual sources and academic certified knowledge between me and you?

Acha uvivu mkuu Soma,Soma,Soma achana na masheikh wako wamekuambia nini
Sasa wa kusoma kati yangu mimi na wewe nani! Kiufupi naijua dini yangu vizuri tu, wa kusoma ni wewe badala ya kufuatilia ya dini yako inayokuhusu unafatilia ya dini isiyokuhusu na kuongea uzushi! Kwanini usiingie deep kwenye dini yako? Ukiona kitu unakifatilia sana wakati hakikuhusu basi elewa kuna sehemu unakikubali. IN SHAA ALLAH, akujaalie uwongofu wewe na kizazi chako [emoji2969]

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
 
Kwa maoni yako unaona havipo hivyo ila mambo haya yalianza karne na karne zilizopita ...lkn kama wewe ni mchanga wa kung'amua mambo utaona ni dini ya haki

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kwa maoni yako unaona havipo hivyo ila mambo haya yalianza karne na karne zilizopita ...lkn kama.wewe ni.mchanga wa kung'amua mambo utaona ni dini ya haki

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Chief ukiongelea kuanza kwa mambo karne nyingi zilizopita hata Crusaders war, roman empire nayo pia ilikuwa hivyo hivyo, je lengo lake ilikuwa ni nini?

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
 

Hahah dah Asee kazi ipo.Swali rahisi tu Muhammad kabla hajawa nabii alikuwa anafanya nini limekutoa jasho then una claim kuwa unaujua uislam kuliko mimi.

Kuhusu kuujua uislam Na Kusoma hakuna mwisho(elimu ni bahari) na hakuna kipimo cha kujua wewe au mimi nani anajua kumzidi mwenzie.
Hivyo wote ni wanafunzi wa knowledge.
Then unaposema Uislam haunihusu unamaanisha nini?hizo ni dalili za uoga

Na kuhusu dini yangu ni Uafrika nao pia naufatilia sana tu na pia sikukatazi kuja kuufatilia.

Rafiki Knowledge has no bounds keep in mind the enemy of ignorance is enlightment.
Islam strives in a cloud of ignorance and the greatest fear is other people finding out about it.
 
Ni kweli
kuna zile caravan routes and trades.

Hata mtume Muhammad alikuwa trader wa Caravan kabla hajawa mtume..Although alipokuwa mtume na kupata wafuasi alianza kuvizia hawa traders na kuwapokonya mali.
Nilitaka nishangae leo umekua positive kumbe mwishoni utafanya yako.
 
wewe si ulianza kusema uislam haunihusu?

Haya unasema kila ninachokuta nazoa umejuaje hivo kama hata hukuvisoma?Yani unajudge kabla hata hujavisoma hii ndo defn. ya ignorance.

Sasa kwasababu umeniruhusu wacha nivamie hii mada
 
hakuna kilichonitoa jasho, wala sitotoka jasho na wala haitokuja itokee kutoka jasho kwa swali linalohisiana na dini yangu bali uzushi wako ndio sikubaliani nao. Usiongee kitu tu ili ujifutahishe nafsi yako bali ongea ukweli, nimeisoma dini yangu na kuielewa. Na sio ninyi mnaosomewa maandiko yenu.

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
 
wewe si ulianza kusema uislam haunihusu?

Haya unasema kila ninachokuta nazoa umejuaje hivo kama hata hukuvisoma?Yani unajudge kabla hata hujavisoma hii ndo defn. ya ignorance.

Sasa kwasababu umeniruhusu wacha nivamie hii mada
Sasa utakuhusu vipi wakati unayo dini yako unayoifata?. Fuata ya dini yako, ya waislam waachie wenyewe.

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
 

Okay kama haikutoi jasho...Muhammad kabla hajawa nabii alikuwa anafanya kazi gani?
 
Sasa utakuhusu vipi wakati unayo dini yako unayoifata? Ujinga kweli mzigo. Fuata ya dini yako, ya waislam waachie wenyewe.

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Hii ni dalili ya mtu muoga anaogopa kudiscuss.
Mimi dini yangu unaruhusiwa kuisoma sheikhe.
Mbona Shuleni tulisoma Mambo ya kina Mkwawa na wangoni kwani yanatuhusu nini?
Kwani watoto wanaposoma Civics na Utawala inawahusu nini?Kwanini wasiwaachie watawala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…