Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?

Najua ni ID yako na huwezi kuthibitisha si yako!
Kwenye hizi mada za kidini mimi ni mbobevu tena chizi dini, nishakula ban sana kwa sababu ya kuongelea hizo dini, ushauri wangu wa mwanzo was the best kwa mtu mnyenyekevu.
Mkuu, basi ondoa hiyo avatar yako imekaa ki-dada dada sana mpaka unatamanisha. Weka picha nyingine
 
Je Ukristo unaruhusu kuuwa ? Wao watajiita Wakristo/ Waislamu ila je mafunzo ya dini hizo zinatuhusu kuuwa ? Wao watajiita ila dini husika haziruhusu ndiyo maana Nina mashaka na wajiitavyo.
kwani ukristo/uislam unaruhusu uzinzi au ulevi?
Hawa wazinzi na walevi wa mtaani sio wakristo/waislam??

Kuhusu Jihad hiyo concept ipo miaka na miaka...Haya wewe nyuma ya keybord utasema hawajauelewa uislam sasa swali
Kwanini wote hawa hawajauelewa kwa style hiyo hiyo ya mauaji?

Boko haram
Isis
Al qaeda
Al shabaab mozambique
Alshabab Kenya
Taliban
Lashkar-e-Jhangvi
the Khorasan
Hayat al-Tahrir al-Sham
Jaysh al-Islam.
Lashkar-e-Taliba,
Jaish-e-Mohammad
Hizbul Mujahideen
Al-Qaida in the Arabian Peninsula (AQAP) Adan-Abyan Province of the Islamic State.
Abu Sayyaf

Ukiachilia hizo Chache kuna magaidi binafsi wa kiislam waliofanya matukio nchi kama
Ufaransa
Ujerumani
Uingereza
marekani
ujerumani
Canada
Pakistan
Afganistan
Iraq
nk. nk.

Unataka useme hawa wote hakuna uhusiano na deen safi ya al islam?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati nzuri/mbaya uislam utaenea duniani kote
Umeulizwa Uislam ulieneaje ww unasema Bahati mzuri utaenea duniani

Umeshindwa kujibu swali, pia umeshindwa kutambua wakati uliopita na utakaokuja.
 
Kama hoja ni kuchinja, Musa alichinja, wengi kwa Amri ya Yehova lakini watu waligoma kumuamini kwa kiwango hiko, au Yule mfalme Sauli alichinja mpaka vitoto vinavyonyonya kwa Amri ya Yehova lakini hakukuwa na matokeo chanya , nakataaa kuchinja sio njia pekee ,lete habari zenye mashiko Acha porojo
 
Umeulizwa Uislam ulieneaje ww unasema Bahati mzuri utaenea duniani

Umeshindwa kujibu swali, pia umeshindwa kutambua wakati uliopita na utakaokuja.
Uislamu ulikuta watu wanabet, mtoto aliekuwa tumboni ni mke au mume, wakikubaliana wanamkamata mwanamke wanampasua wanafurahi nani kashinda, Uislamu ukafuta tabia hii kwanini watu wasiukubali?
 

Ni kweli mtume alikuwa mfanyabiashara kabla ya utume, ni jambo la kawaida kufanya kazi kwa mtume, mbona ata Yesu alikuwa mjenga milango ,madirisha n.k (seremala ), sijaonaaa sababu ya kulikuza hapa wakati ni jambo la kawaida
 
Ni kweli mtume alikuwa mfanyabiashara kabla ya utume, ni jambo la kawaida kufanya kazi kwa mtume, mbona ata Yesu alikuwa mjenga milango ,madirisha n.k (seremala ), sijaonaaa sababu ya kulikuza hapa wakati ni jambo la kawaida
sasa namimi ndo nashangaa watu wanavolikuza na kuniita mzushi natafuta chokochoko sijielewi etc.
Wakati kitu kidogo tu na ni fact tena isiyo hata ya aibu sasa zile za aibu si nitatukaniwa mama kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa dhana hii, Kibwetere ni gaidi wa kikristo? Yule alouwa kule Norway na New Zealand nao magaidi wa kikristo? Joseph Kony nae ?
 
sasa namimi ndo nashangaa watu wanavolikuza na kuniita mzushi natafuta chokochoko sijielewi etc.
Wakati kitu kidogo tu na ni fact tena isiyo hata ya aibu sasa zile za aibu si nitatukaniwa mama kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio unakuza, jambo dogo tena la kawaida, Mara mtume kafanya biashara muda mrefu kuliko utume wake, sasa hayo yanatoka wapi? Acha kupoteza muda kwa mambo yaliyowazi
 
Uislam kwa sehemu kubwa ulienezwa kwa nguvu, kwa njia ya Upanga, kwa kulazimisha wapagani wasilimu

Hata leo Magaidi wanaua wasio waislam (Makafir) hasa Makristo na Mayahudi na kabla ya kuuwa wanawaambia washuhudie
View attachment 1640345
Ebu leta hapa maandiko ambayo Yehova alitoa Ruksa kwa wakina Sauli, Musa n.k KUUA watu na wanyama , kwa sababu ya Visasi na kufata miungu ya kigeni, BIBLIA imeandika vizuri mbona huleti, hapa tukajadili kama kweli wewe unajali maisha ya watu! ! tatizooo mnataka vita huku mnaishi nyumba za vioo, Sauli alivuliwa ufalme na Yehova kisa ajaua vizuri
 
Usilambe mguu mtu asiyependa facts kwa uoga wa kuitwa "islamaphobe"
Unajua gharama ya kuwakejeli mitume wamungu,usikichukulie poa kitendo kama hiko kinagharama kubwa San mbele zamungu, kumbuka siku hazigand ipo siku itafika, utakuta a namola wako halaf majuto yako haya takua na faida tena mbele zake nakama unaona siku ziko mbali kufika kumbuka hazigand, Maan tunaambiwa watu weng San tutapon WA naiman siku ya mwisho, tuleteane kejeli sisi kwasisi lakin sio mitume wa mungu
 
Zina kuhusu nn naww sio muislam? Hasa kikuhangaishacho ww nini? Mbona tunaishi kwaaman2 waislam na wakristo hiv nikianza kumkejeli yes nawakat najua fiki nimtume wangu hiv kesho mm kwamungu nitajibu nini au kwasababu naafya njema najua sitakufa nakukutana namola Wang,, angalia San usinisahau acha mchezo namanabii wa mungu ipo siku itafika utajuata San na hiki kiherehere chako hakitakusaidia lolote mungu nimkali najana adhabu kali San sio kwamuislam wala kwamkristo
 
Kwann unakurupuka kama mtu alitoka usingizin? Hapa Tanzania unapoishi Kuna waislam waliowachinja wakristo? Mbona mpaka waislam wanaolewa na wakristo na wakristo wanaolewa na waislam? Huko iraki nanchi zote zakiarabu wanakuana Kuna wakristo? Kwann wanauna wenyewe kwawenyewe kama shida niuslam, hebu tafakar kabla hujaongea ndipo watu watajua una akili au la, kwann wale wanaosababisha haya mambo hamuwaongelei?
 
Sio kweli, umeandika vitu usivyovijua. Sauli ndio Paul aliyekuwa Towashi na ambaye alikuwa katili sana ila baadae akawa Mkristo na mwanzilishi na mwenezi wa makanisa sehemu mbalimbali
 
Huna unachojua ww isipokua nukudandia dandia mambo yasio kuhusu habar zamaka we unazijulia wapi, au unaokotaokota maneno unakuja hapa bila kua naelim yahayo mambo mm siujui ukristo halaf naanza kuleta ujuaji mbele ya wakristo siitakua mm nimpumbavu kabisa nisie naakili Maan wenye ukristo wao wataniona chiz
 
Hana ujuzi wa mambo, linaloongea kwa kukurupuka Hakuna Zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…