Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?

Poa mkuu kumbe mnahistoria zenu
 
Nacheka Sana aisee.Eti hao ndiyo ---…!.
 
UKOO YA YESHU HUU HAPA

Mathayo 1:1-23 BHN​

Yesu Kristo alikuwa wa ukoo wa Daudi, wa ukoo wa Abrahamu. Hii ndiyo orodha ya ukoo wake: Abrahamu alimzaa Isaka, Isaka alimzaa Yakobo, Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake, Yuda alimzaa Peresi na Zera (mama yao alikuwa Tamari), Peresi alimzaa Hesroni, Hesroni alimzaa Rami, Rami alimzaa Aminadabu, Aminadabu alimzaa Nashoni, Nashoni alimzaa Salmoni, Salmoni alimzaa Boazi (mama yake Boazi alikuwa Rahabu) Boazi na Ruthu walikuwa wazazi wa Obedi, Obedi alimzaa Yese, naye Yese alimzaa Mfalme Daudi. Daudi alimzaa Solomoni (mama yake Solomoni alikuwa Bath-Sheba mke wa Uria). Solomoni alimzaa Rehoboamu, Rehoboamu alimzaa Abiya, Abiya alimzaa Asa, Asa alimzaa Yehoshafati, Yehoshafati alimzaa Yoramu, Yoramu alimzaa Uzia, Uzia alimzaa Yothamu, Yothamu alimzaa Ahazi, Ahazi alimzaa Hezekia, Hezekia alimzaa Manase, Manase alimzaa Amoni, Amoni alimzaa Yosia, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake. Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni. Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishoni Babuloni, Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli alimzaa Zerubabeli, Zerubabeli alimzaa Abiudi, Abiudi alimzaa Eliakimu, Eliakimu alimzaa Azori, Azori alimzaa Zadoki, Zadoki alimzaa Akimu, Akimu alimzaa Eliudi, Eliudi alimzaa Eleazari, Eleazari alimzaa Mathani, Mathani alimzaa Yakobo, Yakobo alimzaa Yosefu, mumewe Maria mama yake Yesu aitwaye Kristo. Basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo. Basi, hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa: Maria, mama yake, alikuwa ameposwa na Yosefu. Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke, alionekana kuwa mjamzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Yosefu, mumewe, kwa vile alikuwa mwadilifu, hakutaka kumwaibisha hadharani; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri. Alipokuwa bado anawaza jambo hilo, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akamwambia, “Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, maana amekuwa mjamzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu, kwa kuwa yeye ndiye atakayewaokoa watu wake katika dhambi zao.” Basi, haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii: “Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, nao watampa jina Emanueli” (maana yake, “Mungu yuko nasi”).
 
Ubabe na vitisho vya Dola maarufu ya kiislamu, ili uwe muungwana mbali na utumwa basi uwe Muislamu, Kimsingi haya yote asili yake ni Vatican. Kumbuka waarabu wa leo ni masalia ya Wagiriki na Waafrica watumwa. waliamua kujitenga na asili yao ya Kigiriki. sababu ya kiburi cha kujiona ni Dola kubwa lililotawala Dunia hawawezi kuwa simple Wagiriki.

Dola la kiislamu lilitawala hadi Africa kwa ukaribu mno, kuliko Dola lolote lililowahi kutawala hapa Duniani. ni wa pili kwa biashara ya watumwa baada ya waafrica wenyewe, Harlem za wafalme wa kiarabu ni kambi maarufu ya watu weusi hasa wanawake, hawa walibadilishwa kirahisi sana.

Lesotho, Swaziland, Botswana, Zimbabwe Nk, Waislamu ni wachache mno ni km hkn kabisa, nimekaa Lesotho miaka 7 sikuwahi kusikia Adhana, km Bongo darisalama!! kdri umbali unavozidi kutoka A.kaskazini Uislamu pia unapungua ivoivo!

Uislamu umeenea sana maeneo ya Pwani ya Africa mashariki zaidi. lkn Mikoani waislamu ni wa kuhesabu tena mjini tu. ukristo Umesambaa zaidi mpaka vijijini huko mbwinde kuna Mission centres. mfano Kibumaye SDA Mission. huko Tarime ndani kabisa!

Nne Ushindani wa maksudi ulioanzishwa na Wazungu kueneza tamaduni zao Duniani kupitia ukristo, Uislamu ukagutuka nao wakaanza kwa kasi, wakaja na neno Eti Lugha ya Quran ni lugha ya Kiarabu tu!

isitafsiliwe kivingine kupitia Madrasa watu alianza kujifunza, na kuona ukristo ni adui yao wa kisiasa na kidini, hawafai kuishi wakapewa Majina mabaya km Kafir, Goyim,watu wa Dunia nk, waue ukibisha utakufa kwa Albadili.
 
Ni kweli
kuna yale ma caravan routes and trades.

Hata mtume Muhammad alikuwa trader wa Caravan kabla hajawa mtume..Although alipokuwa mtume na kupata wafuasi alianza kuvizia hawa traders na kuwapokonya mali.
aAstagh! fidhul! Msalie Mtume!!! Walahi ! weye kijana weye! wakufuru kubwa hii! ati kumsema MMSAW vibaya weye! alikuwa mtu wa khaki! yule! utapata shida sana hapa DUNIANI? waombe samahani waislamu...
 
Sababu Waislamu walikuwa wanawafundisha watu dini na tabia njema. Na kuwalingania watu katika haki na usawa.
 
Nani amesema Sauli ni mmoja? Hata ambaye alipambana na Daudi ni Sauli, ila wewe kwny maelezo yako hukummaanisha huyo.
 
Nani amekuukiza haya yote? Yana uhusiano gani na hii mada?
 
Maelezo yako hayajitoshelezi.

Hii hufanyikaje ? Au labda kuna mtu au watu walio uliwa kwa kuukataa Uislamu (Wote wale Waislamu walio ritadi hapa tunawaongelea wale Wasio kuwa Waislamu). Unao ushahidi huo ?
 
Maelezo yako hayajitoshelezi.

Hii hufanyikaje ? Au labda kuna mtu au watu walio uliwa kwa kuukataa Uislamu (Wote wale Waislamu walio ritadi hapa tunawaongelea wale Wasio kuwa Waislamu). Unao ushahidi huo ?

Uko sahihi kabisa ostaadh! [emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547]
 
mimi ni mbobevu tena chizi dini, nishakula ban sana
Alaah!!! Kumbe tunaongea na Chizi Maarifa? yee! elewi!!!. pili! Ban siyo sifa kwa mtu mwenye akili timamu! sawa nakupata sifuri drsani ukaitangaza!!

Kumjibu huyu ni sawa na Chizi akikwapua nguo zako wakati unaoga, akakimbia nazo, in turn wewe pia ukatoka mbio kumfukuza akurejeshee nguo zake!!!

nani ataonekana chizi zaidi?
 
Mbona hukuti waislam wakipenda kuudiscuss ukristo?
Hawaijui!! Quran yao pia wamekariri juzuu tu! kwa kiarabu, mtu huyu atajuaje Holy Bible? wakati wanaichukia eti ni haramuu!

Biblia kwenye mitaala ya Historia inahusika, sayansi Imo, Medicine ndo usiseme kabisa, Georafia imo. mfano ndege ya kwanza ilipaa, 1632 BC. AD. PJ, Nk kila hatua unayopiga kielimu utakutana na haya maneno yanayoingiliana na Biblia, kitu ambacho uislamu haufundishi wameanza ivi karibuni tu kuyasoma haya! baada ya kugundua waliingizwa chaka!

Shule za Mission islams walikuwa hawataki kwenda sababu watakula kiti moto! wajanja walipeleka tu watoto wao bila kujali uislamu wao!
 
Sawa, kwa mawazo yako uko sahihi, lakini hakuna Uislam wa kusomwa tu kwenye mitandao, pili Kwenye Uislam tunafuata Quran na Hadith. Ndio maana tunafata vitabu vyetu kwa ajili ya kupata miongozo inayotuhusu sasa kinachoshangaza kwanini muujadili Uislam si muuache! Kwanini mjadili kitu kisichowahusu! Si muwaache waliopelekwa chaka waendelee na wanachoamini, lakini hila zenu ziko wazi kila sehemu mnataka kujiingiza ilimradi mpenyeze yenu kwenye Uislam. Hatwendi mtakavyo ninyi.
Lakum diinukum waliyadiin.
Kwanini muwajadili viongozi wa waislam, kwanini kila siku Mnaujadili Uislam.
Si muendelee na imani yenu, huko mnakoelekea mnaweza kuzusha vita vya kidini kwa ajili tu ya mijadala isiyokwisha kila siku.

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
 
aAstagh! fidhul! Msalie Mtume!!! Walahi ! weye kijana weye! wakufuru kubwa hii! ati kumsema MMSAW vibaya weye! alikuwa mtu wa khaki! yule! utapata shida sana hapa DUNIANI? waombe samahani waislamu...
😅😅😅Hahah mkuu unatania au uko serious??Mtu anampokonya mwanae mke alafu Bado anashikwa ugoni unasema alikuwa wa HAKI?😲
 
Maelezo marefu ila hukujibu swali, swali ni hili..... Ilivyo , niowe na kuzaa na mwanamke wa Kiyahudi mtoto wangu hatokuwa Myahudi bali wa kabila yangu , kwa maana WAYAHUDI WARABU NA MAKABILA MENGI DUNIANI uzao unafuata kwa baba na sio mama, je Yesu ni halali kujigamba kwa uzao wa Daudi na Sulemani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…