Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
Wiki hii nilifika kijiji cha Kinole kuangalia uwezekano wa kununua mananasi na kuyasafirisha, kipindi naendelea na urafiti nikiwa na vijana kadhaa wenyeji wa hapo nilibaini uwepo wa mpasuko mkubwa wa kidini.
Kwanza, wanakijiji waislamu wamejenga upande wao na wakristo wamejenga upande wao.
Pili wanakijiji waislamu hawanunui vitu kwa wakristo na wakristo hawanunui vitu kwa waislamu.
Tatu hawapeani michongo ya pesa, niliona mashamba 3 makubwa wale mabwana wakakataa kunipeleka kwa mmiliki wa shamba latatu kwakuwa ni muumini wa dini nyingine.
Mbele kidogo nikakutana na mtu kwenye shamba lake, nikashuka nikawaacha wale vijana kwenye gari, nikamuuliza hivi lile shamba kule mbele kwenye kona ni lanani nayeye akajibu nila mtu wa imani fulani kwani ulikuwa unataka mananasi? Tunaweza kukuuzia sisi.
Nikarudi nikawapitisha wale vijana nilipo watoa nikaondoka haraka maana niliona ni hatari kuendelea kukaa na WAPUMBAVU.
Kwanza, wanakijiji waislamu wamejenga upande wao na wakristo wamejenga upande wao.
Pili wanakijiji waislamu hawanunui vitu kwa wakristo na wakristo hawanunui vitu kwa waislamu.
Tatu hawapeani michongo ya pesa, niliona mashamba 3 makubwa wale mabwana wakakataa kunipeleka kwa mmiliki wa shamba latatu kwakuwa ni muumini wa dini nyingine.
Mbele kidogo nikakutana na mtu kwenye shamba lake, nikashuka nikawaacha wale vijana kwenye gari, nikamuuliza hivi lile shamba kule mbele kwenye kona ni lanani nayeye akajibu nila mtu wa imani fulani kwani ulikuwa unataka mananasi? Tunaweza kukuuzia sisi.
Nikarudi nikawapitisha wale vijana nilipo watoa nikaondoka haraka maana niliona ni hatari kuendelea kukaa na WAPUMBAVU.