Dini zimefanya wananchi wa Kinole - Morogoro Vijijini kuwa Wapumbavu

Dini zimefanya wananchi wa Kinole - Morogoro Vijijini kuwa Wapumbavu

Moderator Futeni uzi huu wa kizushi ni hatari sana kwa ustawi wa Taifa letu. Mkiufuta naomba mninotify plz.

With much thanks in advance .

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Uzi ni mzuri coz unatoa taarifa kwa mamlaka husika tiss
 
Taarifa imeletwa Kuna watu wajinga wanataka habari ifutwe..? Muhimu ni kwenda site kuthibitisha huku michango ya wadau ikiendelea kupitia Jamiiforum wadau wa usuluhishi wanaweza fika huko na kuondoa tafrani hiyo maana hilo ni bomu tayari siku likiripuka itakuwa hatari sana
 
baada ya kuondoka bila kununua mananasi Yao umebadilisha Nini kwenye msimamo wao?
Nilienda kuangalia uwezekano wa kununua mkuu sikwenda na mafuso kwaajili ya kuyabeba. Labda nikufundishe tu, unapotaka kufanya biashara ya matunda kwanza tafuta soko la uhakika pili tembelea kila point ambayo unadhani utapata kwa bei nafuu tatu chukua magari yako ya mizigo kama huna kakodi ukabebe mzigo baada ya kuset kila kitu. Usipofanya hivyo utakuwa unalia kila siku.
 
Nilienda kuangalia uwezekano wa kununua mkuu sikwenda na mafuso kwaajili ya kuyabeba. Labda nikufundishe tu, unapotaka kufanya biashara ya matunda kwanza tafuta soko la uhakika pili tembelea kila point ambayo unadhani utapata kwa bei nafuu tatu chukua magari yako ya mizigo kama huna kakodi ukabebe mzigo baada ya kuset kila kitu. Usipofanya hivyo utakuwa unalia kila siku.
Sawa.hakukuwa na haja ya wewe kufuatilia mambo yao.maana hauwezi kubabili chochote
 
Sawa.hakukuwa na haja ya wewe kufuatilia mambo yao.maana hauwezi kubabili chochote
Serikali inaweza kufanya jambo ili wapate uelewa, wasije wakaendelea na upumbavu huo, ni hatari.
 
Sasa kwa wale ambao ni ndugu inakuwaje. Mimi nilishakataa kumfeva au kutomfeva mtu kwa sababu ya dini yake.
 
Back
Top Bottom