Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baada ya kuondoka bila kununua mananasi Yao umebadilisha Nini kwenye msimamo wao?Siwezi fumbia macho UPUMBAVU
nathani atakuwa mkristo, huo ukanda una wakristo wengi kuliko waislamNi wa dini ya majority.
Nilienda kuangalia uwezekano wa kununua mkuu sikwenda na mafuso kwaajili ya kuyabeba. Labda nikufundishe tu, unapotaka kufanya biashara ya matunda kwanza tafuta soko la uhakika pili tembelea kila point ambayo unadhani utapata kwa bei nafuu tatu chukua magari yako ya mizigo kama huna kakodi ukabebe mzigo baada ya kuset kila kitu. Usipofanya hivyo utakuwa unalia kila siku.baada ya kuondoka bila kununua mananasi Yao umebadilisha Nini kwenye msimamo wao?
serikali haina diniDuh! Hicho kijiji serikali haikioni mpaka wanakijiji kuishi kwa kujibagua kidini?
Sawa.hakukuwa na haja ya wewe kufuatilia mambo yao.maana hauwezi kubabili chochoteNilienda kuangalia uwezekano wa kununua mkuu sikwenda na mafuso kwaajili ya kuyabeba. Labda nikufundishe tu, unapotaka kufanya biashara ya matunda kwanza tafuta soko la uhakika pili tembelea kila point ambayo unadhani utapata kwa bei nafuu tatu chukua magari yako ya mizigo kama huna kakodi ukabebe mzigo baada ya kuset kila kitu. Usipofanya hivyo utakuwa unalia kila siku.
Mama kuzimukazi katufikisha huko!Wamefikaje huko??
Mbona kama wewe ndio unaifutailia hii mada sana na inanekana sio level yakoSawa.hakukuwa na haja ya wewe kufuatilia mambo yao.maana hauwezi kubabili chochote
sawa level zako wewe.Mbona kama wewe ndio unaifutailia hii mada sana na inanekana sio level yako
huwa inakemea mambo ya udinise
serikali haina dini
Serikali Haina diniSerikali inaweza kufanya jambo ili wapate uelewa, wasije wakaendelea na upumbavu huo, ni hatari.
Wewe ungekuwa na elimu usingeweza kufuatilia mambo yasiyokuwa na maana kwako.Una elimu gani mkuu?
Serikali ifanyeje mkuuDuh! Hicho kijiji serikali haikioni mpaka wanakijiji kuishi kwa kujibagua kidini?