Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini ni kifungo cha kutokujitambua huku ukidhani wewe ndiyo mjuaji zaidi kuliko wengineWiki hii nilifika kijiji cha Kinole kuangalia uwezekano wa kununua mananasi na kuyasafirisha, kipindi naendelea na urafiti nikiwa na vijana kadhaa wenyeji wa hapo nilibaini uwepo wa mpasuko mkubwa wa kidini.
Kwanza, wanakijiji waislamu wamejenga upande wao na wakristo wamejenga upande wao.
Pili wanakijiji waislamu hawanunui vitu kwa wakristo na wakristo hawanunui vitu kwa waislamu.
Tatu hawapeani michongo ya pesa, niliona mashamba 3 makubwa wale mabwana wakakataa kunipeleka kwa mmiliki wa shamba latatu kwakuwa ni muumini wa dini nyingine.
Mbele kidogo nikakutana na mtu kwenye shamba lake, nikashuka nikawaacha wale vijana kwenye gari, nikamuuliza hivi lile shamba kule mbele kwenye kona ni lanani nayeye akajibu nila mtu wa imani fulani kwani ulikuwa unataka mananasi? Tunaweza kukuuzia sisi.
Nikarudi nikawapitisha wale vijana nilipo watoa nikaondoka haraka maana niliona ni hatari kuendelea kukaa na WAPUMBAVU.
Bila shaka kule Dini ya kiarabu imeshamili zaidiKama uko Morogoro nenda kinole ni km kama 50 tu mkuu.
Mind your own business.Michango yako inaonesha jinsi ulivyo, ulifaa kuwa mwanakijiji wa KINOLE.
Uwe na siku njema.
Who is majority by the way?Ni wa dini ya majority.
Jina lake linaeleza yote, kuendelea kubishana naye ni hiari yako!Una elimu gani mkuu?
huku kinole si ndio makazi ya chifu wa kilugulu Chifu Kingalu Mwanabanzi?Wiki hii nilifika kijiji cha Kinole kuangalia uwezekano wa kununua mananasi na kuyasafirisha