Dini zimefanya wananchi wa Kinole - Morogoro Vijijini kuwa Wapumbavu

Wewe ungekuwa na elimu usingeweza kufuatilia mambo yasiyokuwa na maana kwako.
Michango yako inaonesha jinsi ulivyo, ulifaa kuwa mwanakijiji wa KINOLE.
Uwe na siku njema.
 
Dini ni kifungo cha kutokujitambua huku ukidhani wewe ndiyo mjuaji zaidi kuliko wengine
 
Ngoja tutume team ya uchunguzi huko kufatilia πŸ˜„

Ova
 
Alafu watu wa dizaini hii wanakuaga wana hasira zisizo na msingi
 
Moderator Futeni uzi huu wa kizushi ni hatari sana kwa ustawi wa Taifa letu. Mkiufuta naomba mninotify plz.

With much thanks in advance .

πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»
Uzi upelekwe jamiicheck ukweli ujulikane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…