Dini zimefanywa biashara, michango imekuwa mingi

Dini zimefanywa biashara, michango imekuwa mingi

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Salaam!

Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.

Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.

Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.

Kidogo nisahau kuuliza hili swali?

Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
 
ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu

kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.

Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini🤣🤣🤣
 
Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo....mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini.....????
Sasa wewe kenge unalalamika nini?
Si uende kwa mwamposa au kuhani mussa!
tena hama hata leo Ukatoliki hakuna gereza wala minyororo. Kwendraaaaaaaaaaaaaaaaa
 
ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu

kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.

Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini🤣🤣🤣
Hili linafurahisha sana ila uislamu lazima pia wachunge wasiingiliwe na tamaa za makanjanja....
 
Walokole kwa kushambulia na kukosos Roman Catholic hamjambo mnakuja kujisahau kwamba wote mko kwenye the same boat mnamshirikisha Mungu wote ni washirikina af wapigaji kwa waumini wenu.
 
Watu kama ninyi hamsomagi maandiko matakatifu (Biblia) kwa mwongozo wa Roho Mtakatifu afu mnaweweseka mnapoona yanayojiri sasa hivi ilihali yalishatabiriwa kitambo sana kiunabii.

MATHAYO 24.

2. WAKORINTHO 11:14-15

MATHAYO 7:16-20. 21-23. In

1 YOHANA 4:1-6.

ISAYA 8:19-20.

DANIEL 7.

UFUNUO 14.
 
Back
Top Bottom