Dini zimefanywa biashara, michango imekuwa mingi

Dini zimefanywa biashara, michango imekuwa mingi

ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu

kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.

Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini🤣🤣🤣
hahahaa yaani ni sawa na kusema njiani kuelekea kwa mungu kuna shetani anatoza ushuru.
 
ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu

kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.

Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kila sehemu watu wanatumia dini kimaslahi,au hukuona ngumi zilizipinganwa msikitibwa mwanza kisa maokoto.
 
Salaam!

Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.

Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.

Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.

Kidogo nisahau kuuliza hili swali?

Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
Sasa hivi matapeli wa imani wamekuwa wengi sana katika uislamu na ukristo. Tunapigwa sana aisee!!
 
Salaam!

Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.

Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.

Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.

Kidogo nisahau kuuliza hili swali?

Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
Majengo mengi walijenga wakoloni ndiyo maana baraka nyingi zinakwenda kwao. Usitoe
 
Mimi ninavyojua hiyo hata mzazi asipotoa still mtoto atapata Kipaimara hii huwa inasemwa hiyo hela ili wazazi wenye uwezo wachange wasiokuwa na uwezo watabebwa na hiyo hiyo 25,000/=

Hiyo matumizi yake ni pamoja na kupigwa picha za tukio zima Kanisani na kwingineko,so nadhani mzazi wewe ungedondokea kwenye kundi la wazazi wasiokuwa na uwezo na asiyetaka mwanae awe na kumbukumbu nzuri za maisha yake maana hata kumlipia mpiga picha hutaki kisha uone kama mwanao asingepata huduma.

Au unaweza pia ukahama imani kama unaona kuna sehemu pako salama zaidi kwa roho yako.
 
ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu

kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.

Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini🤣🤣🤣
Muanzilishi
58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu

kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.

Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini🤣🤣🤣
Wazushi kama ww. Hawatakiwi kwenye jamii iliyostaarabika.
 
Back
Top Bottom