Dini zimefanywa biashara, michango imekuwa mingi

,😁hao ndio Wateja wenyewe
Hujajibu bado

Tunajua Mali za wizi (ngawira) nusu ya Muhammad Ali spend na mtoto wa miaka 6 Aisha sasa nusu ya Allah ,Allah aliipataje ? au jibril alikuwa anampelekea?

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Jielimishe kuhusu dini yako, mimi pia ni mkatoliki, huwa nafanya kile tu ninachokiweza, sifuatagi mkumbo
 
Sasa hivi matapeli wa imani wamekuwa wengi sana katika uislamu na ukristo. Tunapigwa sana aisee!!

Hebu taja mmoja tu katika masheikh wa kiislamu aliekutapeli, au aliemtapeli muislamu ama asie Muislamu!
 
Hebu taja mmoja tu katika masheikh wa kiislamu aliekutapeli, au aliemtapeli muislamu ama asie Muislamu!
Kiongozi wao alikuwa analipwa consultation fee kabla ya kumuona

Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
 
Kanisa linahitaji huduma. Wewe unafikiri lingekua halihudumiwi lingekua kama unavyoona? Watoa huduma wanahitaji pesa ili kutoa huduma hizo ikiwemo usafi.
Haya hebu toa hiyo afu ishirini isaidie upkeep ya church.
 
Ni majonzi kabisa.
 
Gibberish [emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…