hahahaa yaani ni sawa na kusema njiani kuelekea kwa mungu kuna shetani anatoza ushuru.ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu
kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.
Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini🤣🤣🤣
Huyu ni mimi.Mi hua sishiriki hayo mambo sana, japo nlikuzwa kwenye misingi ya Imani nlipofika kidato cha kwanza nikaambiwa amua ww nikasema npo kama sipo, naweza kaa miaka mitano nikazama Chachi mara moja
Sawa MgonokajiWakristo a.k.a Wavaa Vimini...
Shida kila nikitaka kwenda nakua mzito tu uzingatifu unakua mdogoHuyu ni mimi.
ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu
kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.
Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hivi matapeli wa imani wamekuwa wengi sana katika uislamu na ukristo. Tunapigwa sana aisee!!Salaam!
Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.
Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.
Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.
Kidogo nisahau kuuliza hili swali?
Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
Majengo mengi walijenga wakoloni ndiyo maana baraka nyingi zinakwenda kwao. UsitoeSalaam!
Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.
Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.
Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.
Kidogo nisahau kuuliza hili swali?
Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
hakuna kitu kamahicho.watapigana kwamambo mengine sio helaKila sehemu watu wanatumia dini kimaslahi,au hukuona ngumi zilizipinganwa msikitibwa mwanza kisa maokoto.
Kwenye Uislamu ibada zote malipo yake mbinguni, masheikh na maimamu wote wana kazi zao za kuendesha maisha yao, hakuna mtu anaeishi kwa sadaka na zaka.Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
Kwenye uislam ukizungua unakula punch unaenda kwa mkeoHili linafurahisha sana ila uislamu lazima pia wachunge wasiingiliwe na tamaa za makanjanja....
Muanzilishiukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu
kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.
Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini🤣🤣🤣
Wazushi kama ww. Hawatakiwi kwenye jamii iliyostaarabika.ukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu
kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.
Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini🤣🤣🤣