weenakujua sana husumbui🤣🤣🤣yesu siomungu nifundi kapenta haya leta maandiko yako yauongo🤣🤣Muanzilishi
58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
Hapana siyo kiingilio hiyo hata isipotolewa still tukio litafanyika hiyo huwa wanatoa wale wenye uwezo wasiokuwa na uwezo nao watashiriki pamoja,hilo ni tukio la jamii siyo vyema mtoto huyu apigwe picha yule asipigwe picha kisa alikosa 5,000/= ya mpiga picha.Kiingilio hicho.Kuna shida mahali.
Nashindwa kuelewa muumini wewe umeshindwa vipi kutambua taratibu za Kanisa na hata jamii kwa ujumla,mwanao atapigwa picha za ukumbusho wa tukio lake?Mimi ni romani ila siku hizi hakuna tofauti na kina kuhani musa.
Nimenakili tayari.Watu kama ninyi hamsomagi maandiko matakatifu (Biblia) kwa mwongozo wa Roho Mtakatifu afu mnaweweseka mnapoona yanayojiri sasa hivi ilihali yalishatabiriwa kitambo sana kiunabii.
MATHAYO 24.
2. WAKORINTHO 11:14-15
MATHAYO 7:16-20. 21-23. In
1 YOHANA 4:1-6.
ISAYA 8:19-20.
DANIEL 7.
UFUNUO 14.
Acha kuruka point ya msingiweenakujua sana husumbui🤣🤣🤣yesu siomungu nifundi kapenta haya leta maandiko yako yauongo🤣🤣
Nimekuelewa burudaaa lakini mbona hakuja na picha za askofu isipokuwa mama alilipia tena gharama ya picha kwa mpiga picha binafsi hii haipo kwenye 25000 brudaaa.Nashindwa kuelewa muumini wewe umeshindwa vipi kutambua taratibu za Kanisa na hata jamii kwa ujumla,mwanao atapigwa picha za ukumbusho wa tukio lake?
Kama jibu ni ndiyo,wewe unataka hizo picha nani amlipie?na umeshajiuliza kwamba ktk nyie wazazi mpo wenye uwezo tofauti tofauti?kwamba wewe una uwezo wa kumlipia mwanao picha na chakula akapiga picha na askofu akafurahi vipi kuhusu mimi nisiyekuwa na uwezo unataka mwanangu asibaki na kumbukumbu yoyote maishani?unajisikia vibaya kum'beba mtoto wa muumini mwenzako halafu unajiita Mkatoliki?
Umeshindwa kutofautisha wa ukweli na wa uongo Sio kosa lakoukiristo kwaujimla wake ni biashara.dini yaukweli niuislamu
kunakanisa mahalo mchungaji kuonana namuumini sikuambayo Sio yaibada ni elfu 60 nawaumini wanajazana Hadi wengine wanakosa nafasi yakumuona.
Sasa najiuliza mchungaji kashindwa kuwaombea kawaida Hadi aonane Nao mmojammoja?Tena kwaelfu sitini🤣🤣🤣
Toa hela mtoto awe kipaimara unataka mtoto apigwe bao na shetani kizembeSalaam!
Mimi nafikirishwa sana na hizi dini za leo za kizungu, binafsi mimi ni mkatoliki lakini naona uchafu uchafu tu.
Hawa wakristo tuwape muda tu hii karne ya 21 ikipita najua hatuta kuwepo wengi humu ila ukristo utakuja kuwa kituko cha karne (22) kutokana na yale tunayo yaamini viongozi wetu wanatuletea mapicha picha ya kutufanya sisi ni misukule yao.
Nimejiuliza swali moja tu mimi kama baba mlezi mtoto alifika hatua ya kipaimara, nikaambiwa eti nitoe shilingi elfu 25,000 ili mtoto akae pamoja na askofu. Yaani yeye askofu anakuja kukaa na watoto hiyo siku ya kipaimara wanakula pale sahani ya wali na soda na stori mbili tatu afu imeisha hiyo. Mimi kipaimara changu hakikuwa hivi sasa hii elfu 25 ni ya nini? Mamichango ya zaka ni lundo.
Kidogo nisahau kuuliza hili swali?
Hivi wakuu na huko kwenye uislamu ni hivi hivi?
nakufaham kuliko unavyo jifaham Kuwa hujui kitu😁nasema hivii yesu alikuwa kapenta Sasa kapenta fundí vitanda anaweza Kuwa mungu?🤣🤣🤣🤣🤣Acha kuruka point ya msingi
Huyu alikuwa mpaka anasema anagawana Mali za uizi (ngawira) na mungu wake 😂😂😂🤣
Muanzilishi
58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
ujinga huu hauwezi kuukuta kwenye uislamu.Umeshindwa kutofautisha wa ukweli na wa uongo Sio kosa lako
Embu jibu acha kukwepanakufaham kuliko unavyo jifaham Kuwa hujui kitu😁nasema hivii yesu alikuwa kapenta Sasa kapenta fundí vitanda anaweza Kuwa mungu?🤣🤣🤣🤣🤣
Ustaraabu ni jambo jema matusi ya Nini baba padreSasa wewe kenge unalalamika nini?
Si uende kwa mwamposa au kuhani mussa!
tena hama hata leo Ukatoliki hakuna gereza wala minyororo. Kwendraaaaaaaaaaaaaaaaa
Usinipachike vyeo nisivyostahili bruh hiyo haisaidii unanipa mashaka kama kweli wewe ni mzazi wa mtoto anayepata Kipaimara,unaweza ukahama pia maana kama unashindwa kuelewa vitu vidogo kama hivi halafu unajiita Mkatoliki wewe unaongeza tu wingi wa watu Kanisani na siyo wingi wa Watakatifu jinsi ilivyo target ya Kanisa,yaani Kanisa linaonekana limejaa kumbe limejaa wahuni.Nimekuelewa burudaaa lakini mbona hakuja na picha za askofu isipokuwa mama alilipia tena gharama ya picha kwa mpiga picha binafsi hii haipo kwenye 25000 brudaaa.
Kwenye uislamu wanaingia kwa dirisha la sheihk majini na dawa za kisuna lakini nisiwe muongo hawa jamaa wanatibu hata kama watakuwa hawafuati taratibu za uislamu lakini angalau na hawa hawana magharama mengi na wanaishi uhalisia wa maisha.....wakuangalia nyota ni matapeli....Sasa hivi matapeli wa imani wamekuwa wengi sana katika uislamu na ukristo. Tunapigwa sana aisee!!
Wanaogombea msikiti wanaogombea Nini kama Sio pesaujinga huu hauwezi kuukuta kwenye uislamu.