Ngoja niulizeLini wanafanya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niulizeLini wanafanya?
Amesema wamefanya leo.Lini wanafanya?
Eeee haya hongera zao waloitwaAmesema wamefanya leo.
Wanafanya woteAmesema wamefanya leo.
Wanafanya ijumaa bhana tarehe15Wanafanya wote
Amesema wanaita kwa batches.Wanafanya wote
Hamna kama ujaitwa wakiona bado kuna uhitaji unaitwa tuu maana wanaanza na waliofaulu sana alafu wanashuka chini kutokana na uhitaji waoKama hujaitwa ndo imetoka hvy 😔 jmn
Hamna kama ujaitwa wakiona bado kuna uhitaji unaitwa tuu maana wanaanza na waliofaulu sana alafu wanashuka chini kutokana na uhitaji wao
Duh huo uhitaji sasa 😄.....hapo tuendelee na mambo yetuHamna kama ujaitwa wakiona bado kuna uhitaji unaitwa tuu maana wanaanza na waliofaulu sana alafu wanashuka chini kutokana na uhitaji wao
Di
Duh huo uhitaji sasa 😄.....hapo tuendelee na mambo yet
Ulipata ngapi Kwan...? na uliombea zone gani....? Yani kuna mtu hapa kaniambia alipa 80 mwaka jana na ajaitwa kwenye Oral mmmmh nimejisikia mbaka kuchoka Japanese😭Di
Duh huo uhitaji sasa 😄.....hapo tuendelee na mambo yetu
Kwakweli, ila pamoja na hayo connectionDi
Duh huo uhitaji sasa 😄.....hapo tuendelee na mambo yetu
Niliomba central zone na nilipata 85Ulipata ngapi Kwan...? na uliombea zone gani....? Yani kuna mtu hapa kaniambia alipa 80 mwaka jana na ajaitwa kwenye Oral mmmmh nimejisikia mbaka kuchoka Japanese😭
utaitwa ulifaulu vizuri sana.Kwakweli, ila pamoja na hayo connection
Niliomba central zone na nilipata 85
Hiyo japanese sasa, mwemwee niliona gari la japanese nikiwa makete aisee full kuchoka usiombe upande hiyo gari mbeya to maketeUlipata ngapi Kwan...? na uliombea zone gani....? Yani kuna mtu hapa kaniambia alipa 80 mwaka jana na ajaitwa kwenye Oral mmmmh nimejisikia mbaka kuchoka Japanese😭
Hiyo japanese sasa, mwemwee niliona gari la japanese nikiwa makete aisee full kuchoka usiombe upande hiyo gari mbeya to makete
Mm niliomba northern zoneUlipata ngapi Kwan...? na uliombea zone gani....? Yani kuna mtu hapa kaniambia alipa 80 mwaka jana na ajaitwa kwenye Oral mmmmh nimejisikia mbaka kuchoka Japanese😭