Direct Sales Staff (300 Positions) at NMB Bank September, 2024

Direct Sales Staff (300 Positions) at NMB Bank September, 2024

Di
Hamna kama ujaitwa wakiona bado kuna uhitaji unaitwa tuu maana wanaanza na waliofaulu sana alafu wanashuka chini kutokana na uhitaji wao

Hamna kama ujaitwa wakiona bado kuna uhitaji unaitwa tuu maana wanaanza na waliofaulu sana alafu wanashuka chini kutokana na uhitaji wao
Duh huo uhitaji sasa 😄.....hapo tuendelee na mambo yetu
 
Halafu guys, hizi aptitude tests, it's better kufanya kwa kutumia PC au Simu??
 
Ulipata ngapi Kwan...? na uliombea zone gani....? Yani kuna mtu hapa kaniambia alipa 80 mwaka jana na ajaitwa kwenye Oral mmmmh nimejisikia mbaka kuchoka Japanese😭
Hiyo japanese sasa, mwemwee niliona gari la japanese nikiwa makete aisee full kuchoka usiombe upande hiyo gari mbeya to makete
 
Good morning guys 🖐.
Kuna mtu ana update yoyote kuhusu Dar Zone, naona kimya till now. Au watu wameshaitwa?
 
Back
Top Bottom