Northern Zone wameshafanya Oral.Mm niliomba northern zone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Northern Zone wameshafanya Oral.Mm niliomba northern zone
Good morning guys 🖐.
Kuna mtu ana update yoyote kuhusu Dar Zone, naona kimya till now. Au watu wameshaitwa
Wewe ni hr?Northern Zone wameshafanya Oral.
HapanaWewe ni hr?
Uliapply zone gani?Hivi ndo htujaitwa mpk leo jmniii
Kuna yeyote aliyepata any update kuhusu Dar Zone?Uliapply zone gani?
Umeshajitwa kufanya oral interview na NMB?Hiv ukifanya aptitude test majib ya kufaulu au kufeli unayapataje?? Au wanachukua kuanzia grade gan??
Jamani kama kuna mtu ameshaitwa OralWakianza kuita kwa ajili ya oral tushtuane wadau
watu washaanza kazi kitambooJamani kama kuna mtu ameshaitwa Oral
Una uhakika?watu washaanza kazi kitamboo
Usibabaishwe na watu humu. Kila mtu ni HR.Una uhakika?
Watu wapo kimya, may be yupo sahihi. Ila km yupo mwenye evidence km wa mwanzo aweke kwa niamba ya wengineUsibabaishwe na watu humu. Kila mtu ni HR.
Wote wataacha baada ya 1 weekHii kazi mtaiweza vijana?