Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ivi ni lazima uwe mtu wa sales tu au wanaweza kukupangia sehemu nyinginePass mark zinatofautiana…….Mwaka jana hadi wenye 50 walipigiwa simu
kwan watu wa oral washaanza kuitwaMaswali ya oral direct sales na common kweny interview yanakuwa vp mwenye experience atuelezee jmn
Bado si Kujiandaa tu 😂 ata kama tusipoitwa basikwan watu wa oral washaanza kuitwa
Not permitted kureview test sio kwamba umeznguaMi nauliza Kuna mtu amefanya hii test pale kwny review akaandikiwa not permitted . Au ni wote ?
Not permitted manake haurusiwi kufungua test ulofanya na inaandikwa kwa woteMi nauliza Kuna mtu amefanya hii test pale kwny review akaandikiwa not permitted . Au ni wote ?
80 🥹Hivi passmark ya nmb ni ngap maana mm nilipata 65/100
Tofauti na 80 hamna interview kbs? Ili tufute hilo wazo kabisa jmn80 🥹
Hakuna bhn inategemea na marks watu walio pata Sasa kama wa kwanza kapata 70 je ? Alafu mengine ni bahati piaTofauti na 80 hamna interview kbs? Ili tufute hilo wazo kabisa jmn
😔
Mkuu kwani ni lazima mtu ufanye sales tu au watapanga kutokana na CV na experience ya mtu????Hakuna bhn inategemea na marks watu walio pata Sasa kama wa kwanza kapata 70 je ? Alafu mengine ni bahati pia
Dah ! Yan we wakuuliza hili swali ? Kwani TANGAZO limetoka TANGAZO la kazi gani na iyo test mmefanya test ya kazi gan .mbona unauliza swali kama sio msomi . AiseeMkuu kwani ni lazima mtu ufanye sales tu au watapanga kutokana na CV na experience ya mtu????
😂Dah ! Yan we wakuuliza hili swali ? Kwani TANGAZO limetoka TANGAZO la kazi gani na iyo test mmefanya test ya kazi gan .mbona unauliza swali kama sio msomi . Aisee
Usikurupuke mzee kujibu acha wenge unajua nilimaanisha nini usomi unaingiaje apa Kuna kitu nilitaka ku refer kwa aliyepata mwaka Jana sasa we unakuja mazima tu bila break acha wenge wewDah ! Yan we wakuuliza hili swali ? Kwani TANGAZO limetoka TANGAZO la kazi gani na iyo test mmefanya test ya kazi gan .mbona unauliza swali kama sio msomi . Aisee
Si ndo huyo fala hapo juu namuuliza analeta ngonjera wakati yeye mwenyewe haelewi NMB ni pana sana mtu unatupwa popote tu Kuna mwaka Jana mtu alipangiwa kwenye account verification tu sasa namuuliza analeta ngonjera za sjui usomiHizi sio zile kazi za kuzunguka kitaa unajaribu kutafuta wateja na kulipwa kwa commission ? Yaani hakuna basic....; Kuna Bank Access ilikuwa inatoa sana hizi kazi watu wanaanza baada ya wiki wanaacha yaani mtu unakuta hata nauli yake hairudi kwa siku.....