Director Joan afunga ndoa leo

Amedirect movie gan jamani hebu wekeni picha zake tumuone vizuri
 
Yeye ni celebrity wa nini?
Bongo tuna upungufu wa celebrities?
 
Huyo hapo na mumewe.
 

Attachments

  • 1416661528596.jpg
    69.9 KB · Views: 1,238

kumbe mdananda joan....!!
 
Mmh maharusi wa siku hizi bana, yani hadi siku ya harusi tunabeba na simu zetu jamani, ndo tunataka tu-update kila tukio au?
Sasa yeye haupendi weusi na kajichubua, afu still anaenda kuolewa na mwanaume mweusi mweeeee si angetafuta mweupe sasa. Mtoto akizaliwa mweusi atamchubua au?
 

Hahahahhaha
 

Haha haaaa
 

Atakua anampigisha vitaulo taratibu mpaka awe mweupe
 

binamu hujui tunaishi maisha ya location
 
binamu hujui tunaishi maisha ya location

Aaah tumezidi sasa na sie. Huwakii kupokea simu au text ya kukuharibia siku na mood yote ya sherehe ikaisha. Muachie simu mtu wako wa karibu yeye atatu-update na kila tukio, kama unaona tutachelewa kukuona unavyofunga ndoa eishhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…