Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mzee akifa sio mbaya
Shida iko akifa kijana
Shida iko akifa kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Nisha nae kakatika!? Aisee!!! Inabidi nitoke huku nilipo napitwa na mengiVIjana maarufu wanaenda kwa kasi.
Nisha, Gardner(Babu G), Zuchi, Director
Unamfahamu?RIP director
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Stroke ama kiharusi hutokea ghafla tu nafikiri ni kama fault tu hujitokeza mwilini na huwa mbaya zaidi kama itapiga kichwani maana hupasua mishipa midogo na kusababisha damu kuvilia kichwani.
I lost my aunt on early 2021 sababu ya same case ya stroke iliochapa kichwani. Haikumaliza week tulienda kuzika. Inaumiza sana!
Huyu alipata stroke, ushawahi sikia stroke sasa huyu alipata. Inatokea kwa mtu yyte na ghafla sasa sababu kazisome popote. Ila stroke unaaweza kuwa na shughuli zako za kila siku, mawazo ghafla paap stroke.
Sijasema sababu hazipo nafahamu, na mimi si mgeni wa stroke kwa vijana, i do alot of charities nikiwa bongo i understand the problem.Inakuja kwa ghafla lakini sababu huwa zipo mkuu...
Kuna makundi ya watu ambayo yapo kwenye risk ya kupigwa na kiharusi...
1. Watu wenye asili ya Afrika au wale walatino studies zinaomesha wanakumbwa sana na kiharudi...
2. Watu waiofanya mazoezi
3. Watu wenye matatizo ya shinikizo kubwa la damu, kisukari, rehamu nyingi mwilini
4. Watu wanaokunywa pombe, wenye maradhi kama Covid, HIV
5. Matumizi ya dawa kali kwa muda mrefu
Sijasema sababu hazipo nafahamu, na mimi si mgeni wa stroke kwa vijana, i do alot of charities nikiwa bongo i understand the problem.
Mfundshe mwamba niliyemquote
Hawezi ona kama mquote hyoNimejazia ulipoishia mkuu, kama muendelezo wa comment yako kuleta muunganiko...